Nashtuka sana nikipigiwa simu.

Nashtuka sana nikipigiwa simu.

Ukweli saivi niko broke ila the most nahisi naweza pokea bad news
Hiyoo huwa ni kutokana na,madeni kama unayoo auu hauko sawa kimahusiano hasa marafiki au kusumbuliwa sana..

Ila mimi imenitesa sana. Kuna kipindi mpaka msg
 
Dalili za pressure, nilikuwa na hilo tatizo, dr alinishauri nisiweke mlio kwenye simu, ni zaidi ya miaka 3 sijui milio ya simu ikoje, nakasirikaga tu nikiwa kwenye dala dala manake kuna simu za kichina milio yake acha kabisa
Kwahiyoo una presha hadi saizi
 
Nishawahi kupitia hali hiyo kipindi nafanya kazi sehemu flani. Kwa kifupi kazi ile ilikua haina muda saa yoyote unapigisa simu. Ikafikia nyakati nikawa nikisikia simu roho inanipasuka nikijua ni ya kazi au malalamiko flani ya kazi ...

Nilifanya ile kazi miezi 8 nikaamua kuiacha maana nilikua naelekea kupata presha...

So jaribu kuangalia nini unaogopa kwenye simu?
Unadaiwa
Una stress za mapenzi
Kazi
Familia
Uoga wa taarifa mbaya

Then baada ya hapo utapata suluhisho....
 
Angalia moja kati ya haya...
Kunywa maji mengi..
Ikilia cm mlio wa kwanza puuza...wa pili sikilizia..ikikaribia kukata ndio upokee..kama ni muhimu kupokea.
Ikilia tu haraka wewe fyonya kwanza..inaleta aina flani ya dharau..hivyo mlio hautakushughulisha..
Act hutarajii
lolote ..kupitia simu.
Weka mlio wa vituko kama bwakila.
Una mawazo sana ..kuwa mkweli...unakuwa deep sana..ndio maana mlio wa simu unakuzingua...rekebisha hilo!
 
Kama ni.mtu wa kukopa kopa bila kulipa milio lazima ikustue
 
Asalam.
Wakuu tatizo langu nashtuka sana na ringtone ya simu yangu,yaan nikiskia tu imeita mi roho juu nashtuka hadi nahisi naweza kupata cardiac arrest baadae.

Nimejaribu kujikaza kwa muda lakini nimeshindwa,hapa nilipo simu yangu iko silent mode for the last few months lakini hili jambo bado tu linanitesa naweza sikia hata kwa simu ya mtu tofauti na yangu.

Naombeni msaada wenu wakuu nifanye nini kuepuka hili janga mtu unaweza kupotea hivihivi kizembe kabisa.
...Una Madeni, kiasi kwamba kila simu yako inapoita unahisi ni Wadeni wako wanakupigia kudai chao??
 
Nishawahi kupitia hali hiyo kipindi nafanya kazi sehemu flani. Kwa kifupi kazi ile ilikua haina muda saa yoyote unapigisa simu. Ikafikia nyakati nikawa nikisikia simu roho inanipasuka nikijua ni ya kazi au malalamiko flani ya kazi ...
Nilifanya ile kazi miezi 8 nikaamua kuiacha maana nilikua naelekea kupata presha...
So jaribu kuangalia nini unaogopa kwenye simu?
Unadaiwa
Una stress za mapenzi
Kazi
Familia
Uoga wa taarifa mbaya
Then baada ya hapo utapata suluhisho....
Sawa mkuu ila uoga unakuja zaidi nahisi naweza kupokea taarifa mbaya.Kuna nilikua nauguza mgonjwa ambaye ni ndugu wa karibu basi kipindi hicho ndo nilipata shida balaa.
 
Mkuu sijajua ila mimi kitu kikubwa nilipunguza stress za maishaa nilianza maisha mengine mapyaa. Hadi marafiki nilipunguzaa.
Hadi beer nili stop. Niliacha hata kupokea simu natumia msg mpaka leo.
Sawa mkuu i think Cha msingi ni ku start over,kubadili mfumo mzima wa maisha.
 
...Una Madeni, kiasi kwamba kila simu yako inapoita unahisi ni Wadeni wako wanakupigia kudai chao??
Tatizo mshazoea ujanja ujanja tu mpaka ikitokea situation Kama hii unajua ni madeni,sina madeni mkuu sidaiwi popote
 
Rahisi tu, acha kumiliki simu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom