Nashtuka sana nikipigiwa simu.

Nashtuka sana nikipigiwa simu.

Asalam.
Wakuu tatizo langu nashtuka sana na ringtone ya simu yangu,yaan nikiskia tu imeita mi roho juu nashtuka hadi nahisi naweza kupata cardiac arrest baadae.

Nimejaribu kujikaza kwa muda lakini nimeshindwa,hapa nilipo simu yangu iko silent mode for the last few months lakini hili jambo bado tu linanitesa naweza sikia hata kwa simu ya mtu tofauti na yangu.

Naombeni msaada wenu wakuu nifanye nini kuepuka hili janga mtu unaweza kupotea hivihivi kizembe kabisa.
hudaiwi mkuu?
 
Asalam.
Wakuu tatizo langu nashtuka sana na ringtone ya simu yangu,yaan nikiskia tu imeita mi roho juu nashtuka hadi nahisi naweza kupata cardiac arrest baadae.

Nimejaribu kujikaza kwa muda lakini nimeshindwa,hapa nilipo simu yangu iko silent mode for the last few months lakini hili jambo bado tu linanitesa naweza sikia hata kwa simu ya mtu tofauti na yangu.

Naombeni msaada wenu wakuu nifanye nini kuepuka hili janga mtu unaweza kupotea hivihivi kizembe kabisa.
Pepo hilo la hofu, mpe Yesu maisha yako utaona wokovu wake.
 
Tafuta ringtone ya nyimbo unayo ipenda,alafu isiwe nyimbo iliyo changania sana,unaweza hata kuingia waptrick ukatafuta nyimbo ya country nzuri utaona options ukitaka kudownload,chagua ringtones, alafu toa vibration kabisa kama ipo.
 
Tafuta ringtone ya nyimbo unayo ipenda,alafu isiwe nyimbo iliyo changania sana,unaweza hata kuingia waptrick ukatafuta nyimbo ya country nzuri utaona options ukitaka kudownload,chagua ringtones, alafu toa vibration kabisa kama ipo.
Sawa mkuu ntajaribu kutafta ringtone ya blues au country music maana hz nyingne nshabadr sana
 
Asalam.
Wakuu tatizo langu nashtuka sana na ringtone ya simu yangu,yaan nikiskia tu imeita mi roho juu nashtuka hadi nahisi naweza kupata cardiac arrest baadae.

Nimejaribu kujikaza kwa muda lakini nimeshindwa,hapa nilipo simu yangu iko silent mode for the last few months lakini hili jambo bado tu linanitesa naweza sikia hata kwa simu ya mtu tofauti na yangu.

Naombeni msaada wenu wakuu nifanye nini kuepuka hili janga mtu unaweza kupotea hivihivi kizembe kabisa.
Suffering the same shit...ila nimegungua ni kwa ajili ya kuishi kwa hofu na wasiwasi.
 
Mkuu wewe ni HYPERTENSIVE TAYARI.
Fanya kupima blood pressure,tunza readings zako ikiziwezekana za mara mbili kea siku,kwa muda wa siku tano.
Zikisoma zaidi ya 140/80 mara nyingi,basi kamuone CARDIOLOGIST au Physician.
Usije kupasua mishipa,huenda hata moyo umeshatanuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom