Itoye
JF-Expert Member
- Sep 29, 2017
- 531
- 1,026
Kwani dada una plan ya kuishi miaka mingapi hapa duniani, maana yawezekana mwenzetu umepenyezewa nyepesi nyepesi na israel mtoa roho kuwa hana mpango na ww hadi miaka 200+++ ehh! ?
Wakati mwingine nashindwa kuelewa kwa nn mtu ujichagulie kuishi maisha ya huzuni na kusononeka na mashaka mashaka wakati unaweza kuchagua na kuyajenga mambo yako yakaenda vizuri na ukafurahi.
Kuna zile story za sijui "siwezi ishi bila wewe" , "wewe ndio jua langu bila wewe maisha yangu yako gizani", "kama sio wewe siwezi pata mwingine na ndio utakua mwisho wangu" nk nk nk, huu ni uongo uliotukuka, maisha yataendelea tu hata baada ya huyo uliyenaye akiondoka. Usijijaze ujinga kuwa siwezi kuachana naye kwa kua nampenda despite vituko vyote unavyoona sasa vipi akifa je? Na ww utajitoa roho?
Soma alama za nyakati then jiongeze usikatae kuuona ukweli uliopo mbele yako, kuna mkuu mmoja ame-coment kuwa mojawapo ya tabia ya baadhi ya wanaume anapomchoka mtu na kutaka kumtua ni hii ya kum-ignore, sasa ww unataka usubiri hadi uone picha za harusi yake ndio ujue kumekucha?
Anyway kupanga ni kuchagua, kama unataka uendelee kupelekwa pelekwa au unataka uonyeshe thamani yako ww ndio mwamuzi wa mwisho.
Good Morning.
Wakati mwingine nashindwa kuelewa kwa nn mtu ujichagulie kuishi maisha ya huzuni na kusononeka na mashaka mashaka wakati unaweza kuchagua na kuyajenga mambo yako yakaenda vizuri na ukafurahi.
Kuna zile story za sijui "siwezi ishi bila wewe" , "wewe ndio jua langu bila wewe maisha yangu yako gizani", "kama sio wewe siwezi pata mwingine na ndio utakua mwisho wangu" nk nk nk, huu ni uongo uliotukuka, maisha yataendelea tu hata baada ya huyo uliyenaye akiondoka. Usijijaze ujinga kuwa siwezi kuachana naye kwa kua nampenda despite vituko vyote unavyoona sasa vipi akifa je? Na ww utajitoa roho?
Soma alama za nyakati then jiongeze usikatae kuuona ukweli uliopo mbele yako, kuna mkuu mmoja ame-coment kuwa mojawapo ya tabia ya baadhi ya wanaume anapomchoka mtu na kutaka kumtua ni hii ya kum-ignore, sasa ww unataka usubiri hadi uone picha za harusi yake ndio ujue kumekucha?
Anyway kupanga ni kuchagua, kama unataka uendelee kupelekwa pelekwa au unataka uonyeshe thamani yako ww ndio mwamuzi wa mwisho.
Good Morning.

