Nashindwa kumuelewa

Nashindwa kumuelewa

Dalili za mvua ni mawingu

Usisubiri akutamkie jiongeze love
 
Wewe ni mtu mzima bana vitu vingine lazima ujiongeze usisubiri mpaka mtu akwambie IT'S OVER una msumbua mshikaji tu
 
Kuna mbadala wako hapo,pia uhusiano wa muda mrefu bila itimisho(ndoa) wengi wanaishia kwenye s.ex tu.Jaribu kuwa kwenye mahusiano yasiyozidi mwaka,ili 'future' yako ijulikane vinginevyo unaweza jikuta unaishia kuwa 'single mother' n.k
 
Jiongeze dada,hizo siyo dalili nzuri!anakufanyia makusudi tu!unadhani pia atakua kazima simu muda wote huo?atakua na namba nyingine!

Pole sana,kwa uandishi wako unaonekana ni mdada fulani decent usiyekua na experience na haya mambo!
 
dada me nakuja pm, sitaki kupoteza muda wakati jimbo liko wazi kitambo!
 
Jiongeze dada,hizo siyo dalili nzuri!anakufanyia makusudi tu!unadhani pia atakua kazima simu muda wote huo?atakua na namba nyingine!

Pole sana,kwa uandishi wako unaonekana ni mdada fulani decent usiyekua na experience na haya mambo!
Nlimuuliza kwanini anazima simu akanijibu 'basi tu'. Asante kwa ushauri mpendwa, though nmeumia
 
Nlimuuliza kwanini anazima simu akanijibu 'basi tu'. Asante kwa ushauri mpendwa, though nmeumia
Hahahahahahahahahahahahahahaha anazima kwa sababu yako wewe Dadaz yangu hautaki hapo ameshakuchoka........... Kila la kheri
 
Mpe mtihani alafu observe reaction yake. Kesho asubuhi mtumie text kua hali yako kiafya sio nzuri then usimtafute tena. Akiuchuna basi safari imefika mwisho tafuta usafiri mwingine.
 
Mpe mtihani alafu observe reaction yake. Kesho asubuhi mtumie text kua hali yako kiafya sio nzuri then usimtafute tena. Akiuchuna basi safari imefika mwisho tafuta usafiri mwingine.
Sawa. Asantee
 
Tulishawahi kuliongea akanijibu kuwa after 3 years..yeye akiwa 30. Sababu ni kuwa at that time ataweza kuimudu familia.
Inawezekana ujana unamsumbua,kwa kujiridhisha hebu jaribu kuongea naye kuhusu matarajio yenu ya ndoa mnataka iwe lini;atakavyokujibu utajua yuko pamoja nawe au hapana
 
Pole sana,jipe muda wa kuchukua hatua,kama ni miezi sita au muda fulani,baada ya hapo ukiona hali ni hiyo hiyo chukua hatua.
 
Back
Top Bottom