Nashindwa kumuelewa

Nashindwa kumuelewa

Mmh huyo kashapata mchongo mpya. Kati ya vitu au tabia nisizopenda kwa mwanaume ni hizo za kufanyaga kazi za kumbembeleza yeye, hyo kazi nilishafeli. Na wew chekecha akili uamke.. Mwanaume anaekupenda kwa dhati toka moyoni trust me hawezi kukufanyia upuuzi huo.
 
Mmh huyo kashapata mchongo mpya. Kati ya vitu au tabia nisizopenda kwa mwanaume ni hizo za kufanyaga kazi za kumbembeleza yeye, hyo kazi nilishafeli. Na wew chekecha akili uamke.. Mwanaume anaekupenda kwa dhati toka moyoni trust me hawezi kukufanyia upuuzi huo.
Asante dada
 
Ana simu nyingine anayotumia ambayo wewe huijui.Mtu azime simu wiki nzima kwani ye hana watu wengine anaowasiliana tofauti na wew?
 
Ana simu nyingine anayotumia ambayo wewe huijui.Mtu azime simu wiki nzima kwani ye hana watu wengine anaowasiliana tofauti na wew?
Labda. Kuna kipindi alinambia anataka kubadilisha number. Nikamuuliza kwa nini akanijibu 'basi tu'. So labda sababu ni hiyo, alitaka tu kunikwepa
 
Back
Top Bottom