Nashindwa kumuelewa

Nashindwa kumuelewa

Pole mdogo wangu ila huna mpenzi tena hapo. Anza kujipa mazoezi ya kumsahau na anza kwa kumchunia wala usimwambie muachane. Ukikaa kimya siku tano na hajakutafuta ujue machweo ndo yashafika.
Halafu siku nyingine usimpe mwanaume hela kama hajakuambia ana tatizo atakugeuza mama mlezi wake. Atakua anajikalisha kimya uwe unampa..
Jeuri mwenzie kusudi mpotezee huyo shemeji keshafundishwa katerero anaona miuono ya paka chongo sio kitu
Yaan huyu binti kanisikitisha sana kwenye hilo suala la hela, kweli ubatizo wa moto unamhusu huyu ili akili ikae sawa.
 
Mmh we nae nn unahangaika na kujipendekeza hvo akimute nawe mute jamaa anakata mawasiliano taratbu sema we umeshupaza shingo yan angekuwa mm nahis angeshakuwa the study of past events
 
Binafsi njia sahihi ya ww kufahamu sio kumpgia cm,bali ni kufunga safar haadi kwake then jarbu kuongea nae kwa undani ni nin tatzo lake.
Naamin atakueleza km ni sabbu za kimapenz atakwambia na km ni zake binafsi atakwambia
 
Mmh we nae nn unahangaika na kujipendekeza hvo akimute nawe mute jamaa anakata mawasiliano taratbu sema we umeshupaza shingo yan angekuwa mm nahis angeshakuwa the study of past events
Afu jamaa yako atakuwa anaishi na mwanamke mwingine ko anajiiba jaribu kufatilia
 
Back
Top Bottom