Nashindwa kumuelewa

Nashindwa kumuelewa

Tulishawahi kuliongea akanijibu kuwa after 3 years..yeye akiwa 30. Sababu ni kuwa at that time ataweza kuimudu familia.
Miaka 3 ni mingi na kuruka vihunzi ni ngumu;kama unampenda siriazi mwambie wewe uko tayari kuishi naye hata sasa hivi cha muhimu wazazi wa pande mbili wafahamiane,harusi mtafanya huko mbeleni maisha yakiwa poa;kama na yeye anakupenda atakubali hilo ombi,vinginevyo atakuwa na mtu mwingine.
 
Pole sana Dada...ila jitaidi na wewe kuanza kumtoa kichwani na moyoni mwako kiutaratibu, ili usijejiumiza.

Na ikiwezekana, jaribu kununua attention yake kwa kumtangazia matatizo, kama vile unaumwa etc....ukiona inanunulika kwa urahisi, basi jua still anakupenda so you have to be patient tu--yataisha. Ila ukiona hali ya tofauti na hiyo....you just jiongeze Dada.
 
Pole sana Dada...ila jitaidi na wewe kuanza kumtoa kichwani na moyoni mwako kiutaratibu, ili usijejiumiza.

Na ikiwezekana, jaribu kununua attention yake kwa kumtangazia matatizo, kama vile unaumwa etc....ukiona inanunulika kwa urahisi, basi jua still anakupenda so you have to be patient tu--yataisha. Ila ukiona hali ya tofauti na hiyo....you just jiongeze Dada.
Sawa dear. Nashukuru
 
Pole sana.

Mtazamo wangu ni kuwa upendo wake umeisha na pengine hana matarajio yoyote nawe.Katika umri alionao hata kama kuna matatizo nadhani kama anakupenda ana future nawewe angekuambia tuu.

Nahofia ukiforce unaweza kuumia mbeleni kwani tabia ya mtu ni ngumu kuiacha.Mtu hawezi kuacha kupokea simu zako halafu adai anakupenda.

Mawasiliano yanareflect mahusiano hivyo hamna mahusiano tena hapo.Mahusiano ya umbali (Dar/Bukoba) bila mawasiliano mazuri hayawezekani.

Jaribu kupima attention yake kwako kama walivyoshauri wengine ila binafsi nakushauri wewe ndiye utangaze nia ya kumwacha kwani akianza yeye utaumia zaidi.

Kila la kheri.
 
Tatizo la simu ndio hili mpenzi akituma sms hajajibiwa oohh hanipendi tena, ngoja nikamuulize bibi wakati wake. Kulikuwa hakuna simu babu akiondoka wiki akirudi hulalamika kama hapendwi?
Nitarudi na mrejesho wa bibi


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Na akipigiwa hapokei je?
Unajua binaadamu kuna baadhi ya siku unahitaji me time, hutaki kusumbuliwa na mtu hata awe mpenzi au bestfriend au wazee. Ikiwa jamaa bado ana upendo atakutafuta tu, lakini kama hakutaki hata salamu hatokupa. Ipo hivi mwanaume akimpenda mwanamke kuna wakati anataka amuowe, sasa unakuta mtu hana kazi hana hela hajui aanze wapi na hofu inatanda kwenye moyo wake ipo siku anaweza kukukosa. Sababu amechanganyikiwa na miaka inakwenda sasa jiulize Jee upendo upo kwenye simu,salamu, pesa au moyoni? Narejea tena anahitaji muda wa kutafakari pekee akimaliza atarudi tu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Unajua binaadamu kuna baadhi ya siku unahitaji me time, hutaki kusumbuliwa na mtu hata awe mpenzi au bestfriend au wazee. Ikiwa jamaa bado ana upendo atakutafuta tu, lakini kama hakutaki hata salamu hatokupa. Ipo hivi mwanaume akimpenda mwanamke kuna wakati anataka amuowe, sasa unakuta mtu hana kazi hana hela hajui aanze wapi na hofu inatanda kwenye moyo wake ipo siku anaweza kukukosa. Sababu amechanganyikiwa na miaka inakwenda jee upendo upo kwenye simu,salamu, pesa au moyoni? Narejea tena anahitaji muda wa kutafakari pekee akimaliza atarudi tu.


Ndukiiiii
Asante kwa kunipa mtazamo mwingine
 
Anakudekea huyo.Na weye zima simu yako kwa juma zima uone muitikio wake ukoje.Kama anakupenda utaona hangaiko lake na kinyume chake anza tafakari jadidi.
 
Tatizo ndo lipo hapo kwenye kufanikiwa kuachana nae. Najitahidi lakini ni ngumu
Nilitaka kutoa ushauri ila kwa hili jibu ngoja nikuache tu walimwengu wakufundishe. Wanasema kenge hasikii mpaka pale damu itakapotoka masikioni. Siombei yakufike hayo lakini nasikitika upo kwenye hiyo njia.
 
Kupenda kusikie kwa mwenzio,mwenzio anaweza akawa anakupenda hasa mwanamke anajitoa kwa kila kitu akiamini wewe ndo mume wa ndoto zake kumbe kidume ata hauna time nae wamtumia tu,some time nawaonea huruma wanawake na kujikta nikiwaombea kwa mungu
 
Yeye yupo Bukoba. Mimi nipo Dar, kwa sababu ambazo zipo nje ya uwezo wetu kwahiyo ni muda mrefu hatujaonana toka August. Na nlishawahi kumuuliza kwa nini kuna muda lazima awe hivyo alichonijibu ni kuwa nimvumilie tu, ananipenda na mm ndo mwanamke wake wa maisha. Ananipa wakati mgumu, na huwa anasema maneno hayo kila nkimuomba explanation
Kiukweli mdogo wangu hapo unapoteza muda, mwanaume anaekupenda ht km hana simu hawezi kukaa zaidi ya siku nne bila kukutafuta au kukupa sababu ya yy kutokuwa hewani.
Changanya akili kabla muda haujazidi kukutupa mkono.
 
Jiongeze dada,hizo siyo dalili nzuri!anakufanyia makusudi tu!unadhani pia atakua kazima simu muda wote huo?atakua na namba nyingine!

Pole sana,kwa uandishi wako unaonekana ni mdada fulani decent usiyekua na experience na haya mambo!
Na huenda huko alipo jamaa kaoa kbs
 
Tulishawahi kuliongea akanijibu kuwa after 3 years..yeye akiwa 30. Sababu ni kuwa at that time ataweza kuimudu familia.
Which means mtakuwa na mahusiano ya miaka 7????
Hapo ndoa sahau,seems like kwako yupo kupata tuition tu.
Chukua hatua mapema, na ki kawaida kwenye mapenzi lazima uumie kwanza ndipo upate ukomavu.
 
Nilitaka kutoa ushauri ila kwa hili jibu ngoja nikuache tu walimwengu wakufundishe. Wanasema kenge hasikii mpaka pale damu itakapotoka masikioni. Siombei yakufike hayo lakini nasikitika upo kwenye hiyo njia.
Na lazima yamfike, bado hana experience ya haya mambo.
Wenzake enzi zetu kabla hatujawekwa ndani ilikuwa ukiona mambo km hizo zimeanza basi ww ndio unakuwa wa kwanza kujiweka kando. Wala hupati maumivu makali, sema unaemuacha sasa ndio balaa ht km hakupendi ila lazima aumie.
 
Ukiona manyoya ujue keshaliwa huyo...
 
Yupo busy na mwingine huko Bukoba na ndio sababu anashindwa kukutafuta
 
Back
Top Bottom