Huwezi kumuelewa Padre Kitima mpaka ukutane nae

Huwezi kumuelewa Padre Kitima mpaka ukutane nae

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,775
Reaction score
37,962
Huwezi kumuelewa Padri Kitima kama bado hujakutana na Changamoto ya wasiojulikana mbali na mengine yote huyu Mzee ni hazina ya Taifa alindwe kwa wivu Mkubwa,, Japo ni mwiba kwa watawala ila ni alama ya msimamo juu ya uanaume na maamuzi magumu huitaji kutumia nguvu kubwa kama unafungua bolt za semi trela ila unahitaji jicho linaloona mbali kutafsiri kile anachokifanya kwangu mimi Padri Kitima ni 'Man of The match kwa siku hizi mbili'

Anayebisha na abishe

Shalom.Baba
 
Back
Top Bottom