Msaada tutani: Nashindwa kuchangamana na watu

Msaada tutani: Nashindwa kuchangamana na watu

Baba mtakatifu91

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2026
Posts
3,626
Reaction score
7,524
Natumai mmekuwa na wakati mzuri sana wa mapumziko ya leo. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33 ni mfanyakazi kwenye halmashauri X. Nimekuwa na changamoto zifuatazo

1. Nakosa amani watu wanapoweka attention kwangu
2. Nashindwa kuchangia mada ama hoja mezani
3. Nashindwa kukaa na watu kwa muda mrefu mara nyingi natamani niwe peke yangu tu
4. Nashindwa kufanya maamuzi sahihi hata kwa jambo dogo
5. Nashindwa kunusa hatari iliyopo mbele yangu
6. Nashindwa kuanzisha mada
7. Nimepoteza morali ya ujuzi niliosomea na nimekuwa mweupe kichwani
8. Sikubaliki kwa ninayoyafanya

NB: Unaruhusiwa kutumia hata chatgpt
 
Natumai mmekuwa na wakati mzuri sana wa mapumziko ya leo. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33 ni mfanyakazi kwenye halmashauri X. Nimekuwa na changamoto zifuatazo

1.Nakosa amani watu wanapoweka attention kwangu
2.Nashindwa kuchangia mada ama hoja mezani
3.Nashindwa kukaa na watu kwa muda mrefu mara nyingi natamani niwe peke yangu tu
4.Nashindwa kufanya maamuzi sahihi hata kwa jambo dogo
5.Nashindwa kunusa hatari iliyopo mbele yangu
6.Nashindwa kuanzisha mada
7.Nimepoteza morali ya ujuzi niliosomea na nimekuwa mweupe kichwani
8.Sikubaliki kwa ninayoyafanya
NB:Unaruhusiwa kutumia hata chatgpt
Wewe ni Introvert.
Una uwezo na kipaji, lakini uwasilishaji wake kwenye jamii unaathiriwa na kutojiamini. Solution to this is KUJIAMINI. Amini pia kuwa contibutions yako yoyote ile kwenye jamii inamatter sana, na yeyote atakayeidharau atakuwa mjinga.

Accept who you are.
 
Wewe ni Introvert.
Una uwezo na kipaji, lakini uwasilishaji wake kwenye jamii unaathiriwa na kutojiamini. Solution to this is KUJIAMINI. Amini pia kuwa contibutions yako yoyote ile kwenye jamii inamatter sana, na yeyote atakayeidharau atakuwa mjinga.

Accept who you are.
Kwa hapo nimekuelewa sana na ubarikiwe sana mkuu that why Jf is the home of
 
Kwa Hali hiyo utakuwa na mke kweli?..Ni Hali iliyokuanza lini?.

Hali uliyokuwa nayo ni UOGA tu, maana tukisema ww ni mkimya hapo kuna vitu umevitaja haviingiliani na sifa za ukimya maana watu wakimya hawaogopi Kuongea pale wanapotakiwa, watu watulivu Sana hasa kwenye situation zenye kufanya maamuzi nk ww hizi Huna hivyo basi ulichonacho ni ANXIETY, may be overthinking imezidi kwako...

Kwanini usiwe unatoka kwenda kufanya mazoezi, kwanini usiwe unaanza kusoma vitabu (hardcopy) vya maisha na saikolojia hasa vya wenzetu, kwanini usiwe unahudhuria sehemu za ibada na kuomba Kuongea na kiongozi wa kiroho hata mara moja Kwa wiki (private, sio hawa viongozi uchwara), Kwanini siku moja moja usijilazimishe kwenda hata Bar au mgahawa mzuri, kwanini kama (kama wazazi wapo) uwe unafanya kuwapigia simu mara moja au mbili Kwa siku kuwasalimia na maongezi kidogo, kwanini usiwe na darasa na wanasaikolojia wazuri, kwanini usitafute Mzee mmoja mwenye busara hapo ulipo uwe kama rafiki yako nk...

Uliposema hata ulichosomea bado kwenye utekelezaji kazini kichwa Kipo kitupu ndo naona Una Tatizo kubwa Sana....Yaani wewe inabidi utafute wataalamu au utuelezee historia ya maisha yako maana uko mahali pabaya Sana kwakweli...Huwezi kuona ladha ya maisha Kwa Hali uliyonayo sasa hivi, kule Japan na Korea kusini Hali kama yako huwapata vijana wengi Sana.
 
Wewe ni Introvert.
Una uwezo na kipaji, lakini uwasilishaji wake kwenye jamii unaathiriwa na kutojiamini. Solution to this is KUJIAMINI. Amini pia kuwa contibutions yako yoyote ile kwenye jamii inamatter sana, na yeyote atakayeidharau atakuwa mjinga.

Accept who you are.
I feel good like your id
 
Ur introvert guy .

Ukiwa introvert automatically unakuwa hauipendi kuchangamana na watu kwa muda mrefu .

Solution accept ur personality then Fanya kazi kutokana majukumu yako ya kazini uliyopangiwa

Kuhusu kukubalika haisadii chochote wewe sio msaniii wala mfanyabiashara wakukubali wasikukubali don't give a fuc-k (care no one)

Live ur life
 
Ur introvert guy .

Ukiwa introvert automatically unakuwa hauipendi kuchangamana na watu kwa muda mrefu .

Solution accept ur personality then Fanya kazi kutokana majukumu yako ya kazini uliyopangiwa

Kuhusu kukubalika haisadii chochote wewe sio msaniii wala mfanyabiashara wakukubali wasikukubali don't give a fuc-k (care no one)

Live ur lif
Asante sana mheshimiwa umenifanya nijisikie furaha kureply uzi wangu wewe ni mtu mkubwa sana
 
Post no8&4 wamekujibu vizuri
lakini vp lakin muonekano wako unahisi pia unaweza kuchangia kutojiamini?
 
Mimi ni mwembqmbq halafu pia ni superwhite tall pia ni baby face just to mention a few
Ahaaa sawa basi fanyia kazi hizo reply no 4 na no 8 naona wamemaliza
Kama vp ishi humo
Ila jaribu kuchanganyikana na watu mala moja moja sio lazima iwe kila siku
 
Ahaaa sawa basi fanyia kazi hizo reply no 4 na no 8 naona wamemaliza
Kama vp ishi humo
Ila jaribu kuchanganyikana na watu mala moja moja sio lazima iwe kila siku
Asante sana mkuu inaonekana wewe ni mtaalamu wa saikolojia nakupataje?
 
Natumai mmekuwa na wakati mzuri sana wa mapumziko ya leo. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33 ni mfanyakazi kwenye halmashauri X. Nimekuwa na changamoto zifuatazo

1. Nakosa amani watu wanapoweka attention kwangu
2. Nashindwa kuchangia mada ama hoja mezani
3. Nashindwa kukaa na watu kwa muda mrefu mara nyingi natamani niwe peke yangu tu
4. Nashindwa kufanya maamuzi sahihi hata kwa jambo dogo
5. Nashindwa kunusa hatari iliyopo mbele yangu
6. Nashindwa kuanzisha mada
7. Nimepoteza morali ya ujuzi niliosomea na nimekuwa mweupe kichwani
8. Sikubaliki kwa ninayoyafanya

NB: Unaruhusiwa kutumia hata chatgpt
Una hela nikufanyie uganga wa utapeli?
NB:Ulidumaa akili utotoni kutokana na kukosa lishe bora.Haina tiba.Ishi kisanii tu.
 
Kama ambavyo kuna watu waongeaji sana basi kinyume chake kuna watu ambao sio waongeaji hata kidogo,mfano wewe,it's okay ndio maumbile

Lakini pale inapofikia hatua ya kushindwa kuchangamana na watu hata kwa kiasi cha muda mchache hilo ni tatizo,pale unaposhndwa kuonyesha uwezo wako na kikosa morali ya kutumia maarifa ni tatizo

Lakini haya yote yapo kwenye akli yako tu au kwenye mawazo yako na sio hali halisi,kibaya zaidi kile unachoamini ndani ya mawazo yako haijalishi ni halisi au laa ndicho kinachojitokeza kwenye maisha halisi.

Ubongo wa mwanadamu haujui kutofautisha kinachokufurahisha na kinachokuumiza,huwa unafanyia kazi kile ambacho hupewa uzito na fikra zako au hisia zako,sasa utaona kwakuwa unashindwa kuchangamana na watu na kufanya mazungumzo na bilashaka hii hali itakuwa inapewa uzito sana na fikra zako,basi ubongo wako unaona hiki ndio kinachotakiwa kufanyiwa kazi,nacho si kingine ni kukumbusha kwamba usichangamane na watu,usianzishe mada kwakuwa utazingua,usikae na kufanya mazungumzo na watu kwakuwa sio mzungumzaji mzuri

Sasa hakuna kinachoshindikana hapa chini ya jua,hatua ya kwanza ni kurewire ubongo wako na taarifa nyingine tofauti na za awali,kwa kuweka taarifa mpya automatically ubongo utafuta file la zamani na kuinstall file jipya

Anza kufanya yale ambayo yanakupa hofu japo kwa uchache,mathalani unaogopa kuchangia mada,jitahidi kuongea japo kwa uchache,usijali wala kuhofu kuwa je nikiongea pumba watu watanionaje,kumbuka upo kwenye hatua za kuishinda hali hiyo,na tambua kitu kimoja asilimia kubwa ya mambo ambayo huwa tunawaza watu watatuonaje,jua hakuna mwenye muda na wewe,kila mtu ana business zake.


Kwahiyo kadri utakavyo anza kushiriki mazungumzo kidogo kidogo baada ya muda utajenga kujiamini na kuanza kuwa huru dhidi ya hofu na kuwa mwenye kujiamini kwa asilimia Mia moja

Anza hata kuongea au kuchangia mada kwa watu wasiokujua,nenda kijiwe fulani kaa pale kama unavyojua Watanzania huwa tunapiga story hata na tusio wajua,changia pale mazungumzo na utaona jinsi utakavyobadilika,huo sio ugonjwa ni athari tu za kisaikolojia ambazo hutukumba kwenye maisha,labda kutokana na malezi yetu au makuzi yetu
 
Kama ambavyo kuna watu waongeaji sana basi kinyume chake kuna watu ambao sio waongeaji hata kidogo,mfano wewe,it's okay ndio maumbile

L
usio wajua,changia pale mazungumzo na utaona jinsi utakavyobadilika,huo sio ugonjwa ni athari tu za kisaikolojia ambazo hutukumba kwenye maisha,labda kutokana na malezi yetu au makuzi yetu
Asante san
 
Una Autism ukifika 40 itakuwa obvious ila kwa Sasa angalau umeanza kuitambua
Kwa kuongezea tu ni kwamba Kuna saa unakuwa extremely kind na unakuwa mzito kuelewa hisia za wengine
 
Kwani unajali? ‘Em ishi bhana.
Hatuwezi kufanana kabisa mkuu.

Chukulia mfano mimi,mi si mwepesi wa kusamehe na hata nisiposamehewa sijali….lakini kuna watu wanasamehe na kilasiku wanaumizwa na haohao na wala hawajali.

Then what’s next? Wote tunakufa.Yaan ishi mkuu!
 
Back
Top Bottom