Nashauri Zuchu atoke WCB haraka maana Diamond anatembelea nyota yake, hakuna mapenzi

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,964
3,895
Ikiwa dhahiri kabisa kuwa zuchu ni Kati ya wasanii watatu wakubwa Tanzania na Africa mashariki boss wake diamond plutnum amekuwa akiingia pesa nyingi sana kupitia nyimbo za zuchu au zile alizomshirikisha zuchu, hivyo diamond kiuhalisia ni chawa wa chinichini wa zuchu.

Kwakuwa zuchu Sasa kimauzo yupo juu sana kushinda diamond, na mgao wake Kama inavyoSemekana ni chini ya asilimia 30 katika kila mauzo basi ni wazi diamond anatumia upepo wa zuchu, na Sasa hivi anazuga kuwa wapo katika mapenzi kitu ambacho no uongo mkubwa, huyo mtu alishindwana na jokate, penny, Natasha na Hawa wote walikuwa ni wife material, Sasa aje kuchukua mzanzibari ambaye ana uzuri wa kawaida Sana tofauti na type za diamond,

Kinachofanyika ni zuchu kutumiwa Kama njia ya kuingiza pesa, nashauri Zuchu atoke Wcb, awarudishie gari lao, na aondoke katika nyumba aliopangishiwa , vinginevyo ataendelea kuwa mzukule wa wcb, ye mwenyewe anapata kiasi kidogo mno , huwezi mwambia hata Kama ana milioni 70 bank Hana.

Nenda Kama alivyoenda harmonize, wewe una potential ya kuwa msanii namba moja east africa. Malebo Lebo yatakuwa stress Kama yalivyompa Vanessa alichoambulia ni Mume wa kinaigeria.

Nawasilisha
 
Shabiki la kondegang kila siku unahangaika na WCB
IMG_20220326_092311.jpg
 
Ikiwa dhahiri kabisa kuwa zuchu ni Kati ya wasanii watatu wakubwa Tanzania na Africa mashariki boss wake diamond plutnum amekuwa akiingia pesa nyingi sana kupitia nyimbo za zuchu au zile alizomshirikisha zuchu, hivyo diamond kiuhalisia ni chawa wa chinichini wa zuchu.

Kwakuwa zuchu Sasa kimauzo yupo juu sana kushinda diamond, na mgao wake Kama inavyoSemekana ni chini ya asilimia 30 katika kila mauzo basi ni wazi diamond anatumia upepo wa zuchu, na Sasa hivi anazuga kuwa wapo katika mapenzi kitu ambacho no uongo mkubwa, huyo mtu alishindwana na jokate, penny, Natasha na Hawa wote walikuwa ni wife material, Sasa aje kuchukua mzanzibari ambaye ana uzuri wa kawaida Sana tofauti na type za diamond,
Kinachofanyika ni zuchu kutumiwa Kama njia ya kuingiza pesa, nashauri Zuchu atoke Wcb, awarudishie gari lao, na aondoke katika nyumba aliopangishiwa , vinginevyo ataendelea kuwa mzukule wa wcb, ye mwenyewe anapata kiasi kidogo mno , huwezi mwambia hata Kama ana milioni 70 bank Hana.

Nenda Kama alivyoenda harmonize, wewe una potential ya kuwa msanii namba moja east africa. Malebo Lebo yatakuwa stress Kama yalivyompa Vanessa alichoambulia ni Mume wa kinaigeria.

Nawasilisha
Niliposoma huu ujinga ulioandika hapa sasa nakubaliana rasmi na Khadija Kopa kwamba kuna kuzaa na kunya, tena wewe yawezekana mama yako amekujamba kabisa.
 
Ikiwa dhahiri kabisa kuwa zuchu ni Kati ya wasanii watatu wakubwa Tanzania na Africa mashariki boss wake diamond plutnum amekuwa akiingia pesa nyingi sana kupitia nyimbo za zuchu au zile alizomshirikisha zuchu, hivyo diamond kiuhalisia ni chawa wa chinichini wa zuchu.

Kwakuwa zuchu Sasa kimauzo yupo juu sana kushinda diamond, na mgao wake Kama inavyoSemekana ni chini ya asilimia 30 katika kila mauzo basi ni wazi diamond anatumia upepo wa zuchu, na Sasa hivi anazuga kuwa wapo katika mapenzi kitu ambacho no uongo mkubwa, huyo mtu alishindwana na jokate, penny, Natasha na Hawa wote walikuwa ni wife material, Sasa aje kuchukua mzanzibari ambaye ana uzuri wa kawaida Sana tofauti na type za diamond,
Kinachofanyika ni zuchu kutumiwa Kama njia ya kuingiza pesa, nashauri Zuchu atoke Wcb, awarudishie gari lao, na aondoke katika nyumba aliopangishiwa , vinginevyo ataendelea kuwa mzukule wa wcb, ye mwenyewe anapata kiasi kidogo mno , huwezi mwambia hata Kama ana milioni 70 bank Hana.

Nenda Kama alivyoenda harmonize, wewe una potential ya kuwa msanii namba moja east africa. Malebo Lebo yatakuwa stress Kama yalivyompa Vanessa alichoambulia ni Mume wa kinaigeria.

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom