JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,716
Hebu fikiria mtu anaamka saa 11 asubuhi ana andaa breakfast, anawaandaa watoto kwenda shule, anasafisha nyumba ndani, anafagia uwanja nje, anaosha vyombo, anafua nguo za familia, anapika chakula, anawapokea watoto toka shule, anafua nguo za shule za watoto, na bado anapata muda wa kutoa uroda wa kuibia kwa vijana/baba wa familia.
Alafu unakuta eti kijana anakuja kuoa slay queen hata kuosha vyombo hawezi tena ana migharama kama yote sijui hela ya saluni, sijui shopping, mafuta ya gari, kucha na bado um-entertain elements au Cape Town fish market.
Alafu unakuta eti kijana anakuja kuoa slay queen hata kuosha vyombo hawezi tena ana migharama kama yote sijui hela ya saluni, sijui shopping, mafuta ya gari, kucha na bado um-entertain elements au Cape Town fish market.