Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,724
Atachapa kazi kama kawaida🤩🤩🤩Ukimpandisha cheo tu, anabadilika anakua slay queen pia mkuu na ataomba atafutiwe dada wa kazi na yeye!🤔
Atachapa kazi kama kawaida🤩🤩🤩Ukimpandisha cheo tu, anabadilika anakua slay queen pia mkuu na ataomba atafutiwe dada wa kazi na yeye!🤔
House girl ukimuoa anapanda cheo naye anakuwa slay Queen. Na atatafuta msaidizi apumzikeHebu fikiria mtu anaamka saa 11 asubuhi ana andaa breakfast, anawaandaa watoto kwenda shule, anasafisha nyumba ndani, anafagia uwanja nje, anaosha vyombo, anafua nguo za familia, anapika chakula, anawapokea watoto toka shule, anafua nguo za shule za watoto, na bado anapata muda wa kutoa uroda wa kuibia kwa vijana/baba wa familia.
Alafu unakuta eti kijana anakuja kuoa li slay queen hata kuosha vyombo haliwezi tena lina migharama kama yote sijui hela ya saluni, sijui shopping, mafuta ya gari, kucha na bado uli entertain elements au Cape Town fish market.
We utakua uliumizwa
Kuna tofauti ya mtu ambaye anajua majukumu ya mke na kazi za nyumbani kwa experience na mtu ambaye hajui hata kuosha vyombo. Huyu mwenye experience ana advantage sanaUkweli ni kwamba housegirl hana choice na ndio maana inambidi afanye yote hayo(shida tu) na elewa mtu hubadilika kutokana na standard ya maisha yake na ndio maana unaona watu wengi wenye uwezo wanapenda kutumia gharama sana yaani kila kitu expensive. Uwezo unavyoongezeka matumizi yanaongezeka.House girl akiwa mke hawezi kukutumikia kama housegirl tena actually anaweza kuwa worse ya huyo slay queen...kama wale wanaoenda kuoa mke shamba amlete mjini akijanjaruka rafiki yangu hakamatiki!Utaomba pooo...
Ukiwa kwenye mahusiano unajua mke wa aina gani unaenda kuoa...kama umeoa asiyejua kuosha vyombo na anayetunza kucha fake unategemea nn?Kuna tofauti ya mtu ambaye anajua majukumu ya mke na kazi za nyumbani kwa experience na mtu ambaye hajui hata kuosha vyombo. Huyu mwenye experience ana advantage sana
Nlikua mbioni kuoa housegirl lakn naona mnakatisha tamaa. Nlitaka niagze mdada kutoka shamba huko Mwanza/Tanga aje mjnMahouse girl ni wazuri ila sasa ukishamuweka ndani baba utajua anataka nini, utasikia eti nataka hichi mara kile
Tuendelee kujifukizaHebu fikiria mtu anaamka saa 11 asubuhi ana andaa breakfast, anawaandaa watoto kwenda shule, anasafisha nyumba ndani, anafagia uwanja nje, anaosha vyombo, anafua nguo za familia, anapika chakula, anawapokea watoto toka shule, anafua nguo za shule za watoto, na bado anapata muda wa kutoa uroda wa kuibia kwa vijana/baba wa familia.
Alafu unakuta eti kijana anakuja kuoa li slay queen hata kuosha vyombo haliwezi tena lina migharama kama yote sijui hela ya saluni, sijui shopping, mafuta ya gari, kucha na bado uli entertain elements au Cape Town fish market.
Ukisha muoa housegirl na yeye ana badilika anakuwa kama hao unao waponda,,, maana hata yeye atakwambia mlete house girl.....maana atakuwa amepanda cheo.Hebu fikiria mtu anaamka saa 11 asubuhi ana andaa breakfast, anawaandaa watoto kwenda shule, anasafisha nyumba ndani, anafagia uwanja nje, anaosha vyombo, anafua nguo za familia, anapika chakula, anawapokea watoto toka shule, anafua nguo za shule za watoto, na bado anapata muda wa kutoa uroda wa kuibia kwa vijana/baba wa familia.
Alafu unakuta eti kijana anakuja kuoa li slay queen hata kuosha vyombo haliwezi tena lina migharama kama yote sijui hela ya saluni, sijui shopping, mafuta ya gari, kucha na bado uli entertain elements au Cape Town fish market.
Nimempata mmoja huyo tokabl Tanga aisee anapika balaa. Ndio kwanza hata wiki hana Ila nyumbani tunakula msosi unaozidi kiwango chetu Cha awali.
Aiseee huwa wanapandaga bei mkuu wako kama nyanya zinavo doda sokoni unaeza kuta tenga zima la nyanya ni Tsh. 3000, ila baadae linafikaga mpaka Tsh. 100,000. Wanapandaga bei tunawaita kuku wa kienyeji hawa ni watamu wakiwa mahouse girl ile ladha yao ya kiharufu, papuchi na maziwa OG.Nlikua mbioni kuoa housegirl lakn naona mnakatisha tamaa. Nlitaka niagze mdada kutoka shamba huko mwanza/tanga aje mjn
Sema watu wa siku hizi wabishi sana ..... watu wanajua house girl hawana akili wamesahau kuwa wengine ni wapo hivyo kwa sababu za maisha tuHebu fikiria mtu anaamka saa 11 asubuhi ana andaa breakfast, anawaandaa watoto kwenda shule, anasafisha nyumba ndani, anafagia uwanja nje, anaosha vyombo, anafua nguo za familia, anapika chakula, anawapokea watoto toka shule, anafua nguo za shule za watoto, na bado anapata muda wa kutoa uroda wa kuibia kwa vijana/baba wa familia.
Alafu unakuta eti kijana anakuja kuoa li slay queen hata kuosha vyombo haliwezi tena lina migharama kama yote sijui hela ya saluni, sijui shopping, mafuta ya gari, kucha na bado uli entertain elements au Cape Town fish market.