Nashauri tuwaoe wasaidizi wa ndani ndio wake bora

Hao ndugu ukishawaoa kuna mawili;Wanaweza kubali hivyo hivyo au wakabadilika na kuwa watu wabaya kweli kweli,sasa hapo akibaki hivyo hivyo umewini game,akiwa mbaya kuna mawili, Umpe talaka au uoe mke wa pili,Ukioa mke wa pili kuna mawili;Uongeze matatizo au upunguze matatizo, Ukipunguza matatizo umewini;Ukiongeza matatizo kuna mawili;Uchanganyikiwe au ugangamale.
 
Daaa hizo kazi zote si sugu kali sana atakuwa nazo viganjani?

Hampendi wanawake walaini laini?

Kwako weka washing machine, E-moper, maoven sijui ni majiko ya umeme ya kisasa yale, madish washer na takataka zote zitakazofanya mkeo asiwe na sugu kwenye mikono akiishika mbo@@@ unasikia kushikwa na mwanamama.
 
Daaa hizo kazi zote si sugu kali sana atakuwa nazo viganjani?

Hampendi wanawake walaini laini?

Kwako weka washing machine, E-moper, maoven sijui ni majiko ya umeme ya kisasa yale, madish washer na takataka zote zitakazofanya mkeo asiwe na sugu kwenye mikono akiishika mbo@@@ unasikia kushikwa na mwanamama.
Sawa ushauri huo kampe dogo anayeanza maisha mchoma mahindi au bodaboda
 
Je mke bora anapimwa kwa ufanisi wake kwenye kazi za ndani? Tuanzie hapa
Uwajibikaji na majukumu ndani ya familia. Je wewe ungependa mke anakaa tu nyumba chafu, hapiki, nguo chafu hadi ufagie wewe, upike wewe, ufue nguo wewe? Then badae anataka umtoe out, umpe hela ya shopping, saluni, starehe n.k?
 
Daaa hizo kazi zote si sugu kali sana atakuwa nazo viganjani?

Hampendi wanawake walaini laini?

Kwako weka washing machine, E-moper, maoven sijui ni majiko ya umeme ya kisasa yale, madish washer na takataka zote zitakazofanya mkeo asiwe na sugu kwenye mikono akiishika mbo@@@ unasikia kushikwa na mwanamama.
Alafu hizo siyo kazi za kumfanya beki3 aote sugu, kwa experience yangu mabeki3 wengi wakija home wanakua wamechakaa na maisha ya kijijini ila wakikaa home miezi kadhaa wanabadilika wananawiri, wananona, na ngozi inaanza kung'aa na mikono inakua milaini zaidi inategemea na nyumba ila home beki3 anabadilika anakua kama mtoto wa kishua kabisa pisi kali.
 
Anafanya hivyo kwasababu title yake inamtaka kufanya hivyo, akishabadilika akawa mke basi hatokuwa yuleyule.
Kwa mshahara gani mkuu? Hiyo work ethic ni tabia yake mostly, ndo mana mabeki3 wavivu huwa hawadumu, fikiria beki3 anafanya haya miaka zaidi ya minne bado unahisi ukimuoa atabadilika kweli? Huyo ni wa kuoa mkuu.
 
Alafu hizo siyo kazi za kumfanya beki3 aote sugu, kwa experience yangu mabeki3 wengi wakija home wanakua wamechakaa na maisha ya kijijini ila wakikaa home miezi kadhaa wanabadilika wananawiri, wananona, na ngozi inaanza kung'aa na mikono inakua milaini zaidi inategemea na nyumba ila home beki3 anabadilika anakua kama mtoto wa kishua kabisa pisi kali.
Kama ana mikono milaini isiyo na sugu inapendeza sana.
 
Uwajibikaji na majukumu ndani ya familia. Je wewe ungependa mke anakaa tu nyumba chafu, hapiki, nguo chafu hadi ufagie wewe, upike wewe, ufue nguo wewe? Then badae anataka umtoe out, umpe hela ya shopping, saluni, starehe n.k?
Mkuu, nafikiri hayo mambo ni ya zama za mawe. Wanawake tunaooa sasa hivi wana kazi zao hivyo pale inapowezekana usaidizi wa dada wa kazi unakua ni wa lazima. Vipimo vya mke bora sasa lazima vibadilike, apimwe kwenye maeneo yafuatayo, kwa mtazamo wangu: uaminifu (honesty and decency); malezi ya watoto kama mnao; mahusiano yake na wakwe na rafiki zako; ushiriki wake na mchango wake kwenye ujenzi wa familia na rasilimali zake; na mwisho namna anavyojituma kitandani.
 
Ukimuoa na yeye atatafuta house girl atakaekuwa anaamka muda huo wakati yeye akiwa kalala
 
Sana, yani beki3 anaosha vyombo tu na kufua anapataje sugu mwamba? Kazi za kike hizo siyo kupiga suluhu kupasua miamba
We sema beki3 wako ndo unampa hizo kazi sababu unamjali. Ila kuna beki tatu au mama wa nyumbani wana sugu sababu ya kazi.
 
Sasa si anafanya hivyo sababu ni ajira yake hiyo, kama wewe tu unavyopambana na kazi yako.
 
Back
Top Bottom