stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,833
- 22,941
Topic closed...Wazo lako ni zuri lakini tambua wanawake sometimes huwa wanabadilika tabia wakiingia kwenye ndoa kwahiyo mbeleni anaweza akabadilika alafu ukajutia kumuoa. Hili swala la ndoa ni la kumshirikisha Mungu.