Kauli ya Ndugai itawaprove wrong. Kukopa hovyo na kupeleka kujenga matundu ya vyoo, ndio hela itarudi? Matundu ya vyoo yanaongezaje uwezo wa serikali wa kukusanya kodi za kuweza kurejesha mkopo?
 
Hakuna chochote, uzushi uliozoeleka kila siku, ni kama ule uzushi wenu wa Msoga ndiyo inaongoza Ikulu, Nonsense

Ninakazia "minyukano yenu huko havituhusu."

Katiba mpya ndiyo pekee kinacho tufikirisha.
 
Ninakazia "minyukano yenu huko havituhusu."

Katiba mpya ndiyo pekee kinacho tufikirisha.
Na hiyo katiba haiwezi kupatikana bila Samia na Chama chake kuridhia, na maridhiano hayo yanakuja kwa mazungumzo na siyo kususia kama last borns.
 
Endeleeni na huo uanaharakati wenu tuone utawafikisha wapi, hizo harakati zimeshindwa hata kumpatia dhamana Mkiti wenu ndiyo zitatuletea jambo kubwa kama katiba? Evolve guys, hatupo tena kwenye dunia ya akina Che Guavara

Dunia ya akina Guevara inaishi na itaendelea kuishi.

Uzuri ni kuwa hatuwahitaji.

Kila mtu na ajishindie mechi zake.
 
Dunia ya akina Guevara inaishi na itaendelea kuishi.

Uzuri ni kuwa hatuwahitaji.

Kila mtu na ajishindie mechi zake.
Sawa Chief, Ila sidhani kama uzinjanthropus utawatoka siku za karibuni
 
Inaonekana kamavile unastress na dishi limeyumba kidogo.
Kwani wewe ulitaka hiyo barabara ikajengwe mkoa ama wilaya gani ndio ungeridhika.
 
Inaonekana kamavile unastress na dishi limeyumba kidogo.
Kwani wewe ulitaka hiyo barabara ikajengwe mkoa ama wilaya gani ndio ungeridhika.

Mwenye dish lililoyumba ana reference bora kuliko ulizo nazo wewe?

Pambaneni na hali zenu huko.

Sisi hayatuhusu na wala msituhusishe.

Angalizo: Kumbe wewe ni mshika zamu kwenye lindo? Kwa hakika dish kuyumba na stress haziwezi kuwa mbali nawe.

Hiiiiii bagosha!
 
Kukopa ndiyo mojawapo ya nguzo za uchumi, hata uwe tajiri kivipi lazima ukope na kukopesha ili mzunguko wa fedha uwe imara. Kuna mataifa tajiri lakini yana madeni makubwa mno, kwa hiyo tunatakiwa kukopa hata mara 10 ya deni la sasa.
 

Nimekuuliza ulitaka hizo barabara zilizo jengwa huko chato unazosema ni upendeleo ulitaka zijengwe mkoa,ama wilaya gani ndio ingekuwa sawa na si upendeleo!.

Jibu swali acha kurukaruka kama marage jikoni.
 
Sawa Chief, Ila sidhani kama uzinjanthropus utawatoka siku za karibuni

Si walisema mwenye kicheko bora si ni yule mwenye kucheka mwisho? Wala isiwe taabu tutakumbushana. Inshallah.
 
Nimekuuliza ulitaka hizo barabara zilizo jegwa huko chato unazosema ni upendeleo ulitaka zijengwe mkoa,ama wilaya gani ndio ingekuwa sawa na si upendeleo!.

Jibu swali acha kurukaruka kama marage jikoni.

Nani alikuwa akilipa alipokuwa akiyafanya kwenu?

Huyu naye ahakikishe Zenji ni Ulaya kabisa ili akili ziwakae sawa mamburula nyie.

Hamkujua umuhimu wa nchi kuzingatia katiba huko ila leo?

Sasa hivi linda kaburini jomba maana imeisha hiyo!
 
Si walisema mwenye kicheko bora si ni yule mwenye kucheka mwisho? Wala isiwe taabu tutakumbushana. Inshallah.
Hayo yalikuwa enzi hizo, now tuna AI, mambo mapya kabisa, ukileta usumbufu sana tunakushushia drone then maisha yanaendelea
 
Hayo yalikuwa enzi hizo, now tuna AI, mambo mapya kabisa, ukileta usumbufu sana tunakushushia drone then maisha yanaendelea

Drone mpate wapi si mseme tu kina Goodluck wamesokomeza watu kwenye viroba kwa niaba yenu?
 
Ni kweli ajiuzulu tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 

Tatizo ni nyie, wewe, na wenzako mnotawala hii nchi.

Lazima uwe CCM hata kama huna akili kutawala hii nchi kupata nafasi, kuongoza.

Watanzania wengi wana vipaji, hawana vyama, Wangepata nafasi za uongozi wangefanya vizuri sana.
 
Tatizo ni nyie, wewe, na wenzako mnotawala hii nchi.

Lazima uwe CCM hata kama huna akili kutawala hii nchi kupata nafasi, kuongoza.

Watanzania wengi wana vipaji, hawana vyama, Wangepata nafasi za uongozi wangefanya vizuri sana.
Kazi iendelee 2022
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…