Ngozi nyeusi ina ngonjera sana maneno mengi vitendo zero! Mwanaume aliamua na akaanza kutekelaza!Miradi hiyo siyo kwamba ni mibaya ila swala ni timing, haikuwa ni kipaumbele hasa kwa wakati tulionao.
Moja ya shida ya serikali hizi ambazo mifumo yao ya utawala ni centralized ni misplacement of priorities.
Ndio uzuri wa mfumo wa shirikisho (Federal System of Government), wananchi wa eneo husika ndio wanaamua vipaumbele vyao tofauti na mfumo huu tulionao ambao rais ndiye anaamua vipaumbele.