Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Miradi hiyo siyo kwamba ni mibaya ila swala ni timing, haikuwa ni kipaumbele hasa kwa wakati tulionao.

Moja ya shida ya serikali hizi ambazo mifumo yao ya utawala ni centralized ni misplacement of priorities.

Ndio uzuri wa mfumo wa shirikisho (Federal System of Government), wananchi wa eneo husika ndio wanaamua vipaumbele vyao tofauti na mfumo huu tulionao ambao rais ndiye anaamua vipaumbele.
Ngozi nyeusi ina ngonjera sana maneno mengi vitendo zero! Mwanaume aliamua na akaanza kutekelaza!
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi
We ni raia wa wapi? Kwani hiyo reli inaanzia mwanza na kuishia mwanza?
Kuanzia mwanza mpaka dar pote ni usukumani?

Wakisha iacha hiyo miradi watatekeleza ipi ambayo unadhani ni ya muhimu hapa nchini?
 
Utakuwa unaishi Busisi wewe. Serikali ipo Dar.
Nipo kisiwani Lyakanyasi lakini najua Serikali yote ipo Dodoma. Kuna siku sisi wavuvi tulikuja kuonana na Waiziri wa Mifugo na Uvuvi nikaona Ofisi zote za Serikali zipo pale Mtumba Dodoma. Tena sehemu ipo nje ya mji na inapendeza sana.

Tulionyeshwa pia Ikulu wanapaita Chamwino na nikaona nyumba ya Waziri Mkuu. Dodoma inapendeza
 
Alikuwa anapora fedha za watu. Mama hataki kupora (dhulma). Hukusikia Sabaya akijitetea kwamba alitumwa na Jiwe, Mpango na prof. Luoga (bosi wa BOT)??. Jiwe alikuwa mwizi.
Kwani Magufuli alikuwa anapata wapi pesa?
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.


CAG mstaafu ameshauri tuanze kuhakiki madeni ya awamu ya nne ili tuende sawa. Tuache kuchezeana akili. Naona Nape anahangaika na awamu moja tu, kama vile awamu nyingine mambo yalikuwa buli buli. Mkwamo wake wa awamu moja ni mikwamo ya watu wengine wa awamu kadhaa
 
Sioni sababu yenye mantiki ya kusitishwa miradi hiyo yote hususani SGR, daraja la Busisi na bwawa la kufua umeme la mwalimu Nyerere kwa manufaa ya kiuchumi isipokuwa usitishwe miradi ya ununuzi wa ndege uliokusudiwa na serikali kwani zilizopo bado hazijaonyesha matunda toshelevu badala yake pesa hizo zielekezwe kwenye miradi mingine yenye tija kwa Taifa hususani zinazogusa wananchi moja kwa moja mf.kilimo na huduma zingine za kijamii.
Mkuu ifike mahali wastishe kila kitu ambacho kulifanywa awam ya 5 ila waje ma genuine ambao watakuwa na vitu vipya awamu ya sita, kiukwel tumechoshwa na kusikia watu wanavyo mu- underline Mwamba,

Ushauri wangu wasitishe kila kitu, ada za shule zirudi, reli iishie hapo, madaraja makubwa yaachwe!, Cjui vyote viachwe maana awamu ya 5 haikuwa na Cha maana, kulikuwa na uonevu, ukandamizaji wa democracy, uuwaji, unyonyaji , Rushwa ilishamili, kulikuwa hakuna uwajibikaji n.k,

Wawafungulie kesi wote waliokuwepo awam ya 5, ikiwezekana adhabu ya kunyongwa iwe ndo adhabu ya juu, na hvyo nchi itakuwa salama maana watu wa haki watakuwa wameingia, ma genuine, watetz wa wanyonge, wawajibikaji, wanaojua kuendesha nchi vzr..
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Hey buddy

Hate responsibly
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Kwel mkuu na wale waliotufikisha hapo wafungwe/kunyongwa, ili liwe fundisho kwa watu wengine, maana hakuna awam mbaya Kama 5, watu walikuwa hawawajibiki, wanakula Rushwa, wanaonea watu,

Nimeipenda hyo.. waje ma genuine kabisa, maana hao watakuwa wana vision nzr, watatuvusha..
 
Huu upuuzi ukizidi bora tuwe na serikali za county,kila mkoa ujitegemee na unufaike na rasilimali zake.
 
Walikuwepo na Waziri na Manaibu wake walikuwepo. Ofisi nyingi zilikuwa na watendaji
Basi nakushauri rudi tena ukaangalie utakubaliana na mm. Dodoma ni makao makuu kwenye makaratasi tu kwa sasa
 
Back
Top Bottom