Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Binafsi sioni tija yoyote kutumia mabilioni ya shilingi kujenga daraja kwenda Busisi. Kiuchumi hailipi. JPM alipumbazwa na upendeleo wa ukabila.
Hauna uelewa juu ya hili daraja: SIYO DARAJA LA KWENDA BUSISI,ni daraja la busisi....ilinaunganisha mikoa ya mwanza, Kagera pamoja na nchi jirani.....uwe unaelewa kwanza.
 
Njoo na hoja Mkuu, hizo hasira hazisaidii,
Kama kweli tulikuwa hatuna ukabila je
SGR lot 5 ilitakiwa iende wapi kati ya Kigoma na Mwanza?
Reli kuja Mwanza kuna tija kiasi gani kulinganisha kama ingeelekea Kigoma?
Hasa kama ungetangulia Utaifa na si Ukanda?
Kigoma kuna nini? Au mnataka kusafirisha mawese mbona mnawaza kwa kutumia miku#$%.
 
Hivi huonagi japo aibu kila mada unayoileta humu huwa unaishia kutukanwa tu?!
Achana na huyo bwege ndo maana sijamjibu hujue kuna watu wanaleta uzi unaoweza kusababisha wenzao wapewe ban bila sababu, huyo jamaa huwa ana chuki sana na Mwanza, pili mtu kama huyo anazani ilo daraja la busisi litanufaisha wana kanda ya ziwa tu wakati hilo daraja litachochea uchumi wa taifa zima kwa ujumla na kurahisisha usafirishaji kati ya nchi za afrika mashariki.
 
Mwanza bado wanafunzi wanakaa chini, maji ya kunywa shida kwanini JPM hakusambaza maji mwanza nzima kwa gharama isiyozidi billioni 300 kuliko kufuru aliyofanya Busisi?
Hivi elimu zenu huwa zinawasaidia nini? Umuhimu wa hilo daraja unajua lkn? Watu wangapi wanakufa pale? Watu wangapi wanapoteza muda wakiwa wanasubiri ferry? Watu wangapi bidhaa zao zinazama majini? Malory mangapi yanachelewa pale?
 
Binafsi sioni tija yoyote kutumia mabilioni ya shilingi kujenga daraja kwenda Busisi. Kiuchumi hailipi. JPM alipumbazwa na upendeleo wa ukabila.
Umetanguliza chuki badala ya uharisia.

Hapo utaendelea kuteseka na daraj alitakamilika.
 
Binafsi sioni tija yoyote kutumia mabilioni ya shilingi kujenga daraja kwenda Busisi. Kiuchumi hailipi. JPM alipumbazwa na upendeleo wa ukabila.
Wewe ni bonge la mpumbavu,farasi,kidudumtu

Busisi inaunganisha Sengerema,Geita,Bukoba,Kampala,Rwanda,Burundi mpaka Congo

Nyambafu wewe...na wewe lazima ni jitu la kaskazi tu tu
 
Unashangaa kivuko na daraja!! Unashindwa kujiongeza kwamba Daraja likikamilika litasimama badala ya kivuko! Mbona husemi kule masaki na Osterbay kuna barabara ya lami safi na bado limejengwa daraja! Wamejenga daraja la kwenda beach , vipi kigamboni hushangai kuna kivuko na daraja, tena daraja ambalo aliunganishi mkoa wowote.
Huyo mtoa mada amejaa chuki dhidi ya kanda ya ziwa, hivi hayo madaraja yaliyojengwa dar yanatija gani kitaifa?, madaraja ya kuunganisha mtaa na mtaa lkn daraja la busisi lenye tija kitaifa imekuwa nongwa.
 
Hizi ndio products za vijana wa Tanzania hawana mawazo ya mantiki,wanaongea kimhemko,hawana direction,siasa za maji taka zimewajaa,ukanda na ukabila, hii nchi IPO siku itasambaratika vipande vipande....maana ndio vijana hawa hawa soon watakuwa viongozi wa baadaye
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Una akili za kitoto sana, kususa mambo yanapopitia changamoto ni utoto na dalili ya kutokupevuka,

Nilitaka kutoa jibu la kiuchambuzi, ila naona ni kupoteza muda wangu mtu mzima
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.
Chama cha Mazezeta hawawezi kukuelewa.

 
Hizi nchi zinafikika kirahisi kupitia Kigoma. Daraja la Busisi ni matokeo ya ukabila wa Jiwe
Nasema hivi weww ni mpumbavu

Wale watu walikua wanazama na mitumbwi kila wakati wakivusha samaki na mazao ya shambani,na wale ni waTanzania pia na si wanyaRwanda kwamba walivamia nchi mpaka wasihudumiwe,kwa upumbavu wako unaongea hilo ukiwa siyo mkaazi wa eneo hilo,wale wahusika wakiwa mbele yako ukaongea ujinga huu watakuponda mawe ufe shenzi wewe
 
Miradi hiyo siyo kwamba ni mibaya ila swala ni timing, haikuwa ni kipaumbele hasa kwa wakati tulionao.

Moja ya shida ya serikali hizi ambazo mifumo yao ya utawala ni centralized ni misplacement of priorities.

Ndio uzuri wa mfumo wa shirikisho (Federal System of Government), wananchi wa eneo husika ndio wanaamua vipaumbele vyao tofauti na mfumo huu tulionao ambao rais ndiye anaamua vipaumbele.
 
Back
Top Bottom