Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.
1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.
3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.
4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.
N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi
Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?
Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.
1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.
3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.
4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.
N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi
Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?
Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.