Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 570
- 919
Ndio maana nilishasema degree zinazotumika bongo nizaaina mbili tu za afya na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu.Sina hakika kama VETA wanatoa manesi, madaktar,wafamasia na professionals wengine wengi kwa ajili ya maendeleo ya Taifa,, labda unifumbue kwa hilo mkuu.