Kipindi cha Magufuli cha awamu ya tano pamoja na madili kuwa magumi lakini kilichopatikana kilifaa hadi nikajenga nyumba si haba Nashukuru Mungu.
Siyo kujenga tu hata tuvituvitu nilinunua, watoto walikula vizuri, na walipendeza siyo haba.
Maduka yangu ya vifaa vya simu kariakoo niliyafunga nikabakisha moja tu baada ya kuzongwa na TRA, nilifunga yote nikabakiza kiduka kimoja tu kipindi cha magufuli.
Lakini kiduka hichohicho kimoja kilinipa faida kubwa nikajenga na mambo mengine yanakwenda.
Awamu ya sita imeingia nikasema alhamdullillah mambo yatakwenda.
Lakini ajabu awamu hii ya sita hata banda la kuku tu limenishinda! Kila pesa nayopata inapiliza kutibu shida ndogondgo za kila siku.
Mara Gesi imeisha, mara umeme, Mara ada, Mara spea, Mara chakula yaani pesa inaishia kwenye mambo ya kila siku tu hakuna jambo jingine nimeweza kufanya awamu ya sita.
kazi yangu ya awamu tano ni ileile ninayo awamu ya sita lakini sioni maendeleo je tatizo ni nini!?
Siyo kujenga tu hata tuvituvitu nilinunua, watoto walikula vizuri, na walipendeza siyo haba.
Maduka yangu ya vifaa vya simu kariakoo niliyafunga nikabakisha moja tu baada ya kuzongwa na TRA, nilifunga yote nikabakiza kiduka kimoja tu kipindi cha magufuli.
Lakini kiduka hichohicho kimoja kilinipa faida kubwa nikajenga na mambo mengine yanakwenda.
Awamu ya sita imeingia nikasema alhamdullillah mambo yatakwenda.
Lakini ajabu awamu hii ya sita hata banda la kuku tu limenishinda! Kila pesa nayopata inapiliza kutibu shida ndogondgo za kila siku.
Mara Gesi imeisha, mara umeme, Mara ada, Mara spea, Mara chakula yaani pesa inaishia kwenye mambo ya kila siku tu hakuna jambo jingine nimeweza kufanya awamu ya sita.
kazi yangu ya awamu tano ni ileile ninayo awamu ya sita lakini sioni maendeleo je tatizo ni nini!?