Nasaha za Kitila Mkumbo zimuendee Assad!

Nasaha za Kitila Mkumbo zimuendee Assad!

" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo

Hakunq kuomba radhi mbele ya ukweli. Wakiona wamedhihakiwa waachie ngazi. Lowasa mbona alikimbia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Unafiki huo.
Kwa wanasiasa inawezekana kuwa kweli lakini kwenye taaluma facts zinabakia kuwa facts tu hata uziweke kichwa chini miguu juu zitabakia kuwa hivyo tuu.
 
Unafiki huo.
Kwa wanasiasa inawezekana kuwa kweli lakini kwenye taaluma facts zinabakia kuwa facts tu hata uziweke kichwa chini miguu juu zitabakia kuwa hivyo tuu.
Facts zipo wapi..
give me a reference
 
Umesoma ripoti ya CAG???? ripoti ile inabakia kuwa fact hadi hapo itakapothibitishwa kuwa otherwise.
Ni ukurasa upi wa hiyo ripoti ulioanisha kuwa bunge ni dhaifu na limeshindwa kuisimamia Serikali
 
Uzuri prof Assad sio prof Mkumbo. Mchumia nchi si mchumia tumbo. Aombe msamaha kwa jambo ambalo hajasema? Mnataka awapigie magoti wala nchi wakati yeye ni mlinda nchi?
Ingekuwa vema sana kama wote wanaokwazwa na prof Assad wangejiuzulu.

Na wenzetu wa magharibi hufanya hivyo,mbona wao wanafik hawajiuzuru kuonyesha kuwa walichukizwa na hilo neno 'dhaifu'?
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo

Mpumbavu huyu traitor!

Ni vizuri wakati unakula ukawa kimya,acha mashauzi na kujifanya unajua kujibu sana...
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Report umeisoma na kuielewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Nimemuelewa kitila mkumbo. Ila sikubakiane nae na suala la kuomba msamaha. CAG akaombe msamaha kwa kosa lipi hasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom