Ngoda95
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 2,690
- 4,919
Then I rest my case with you!!Melo sio mtumishi wa Umma katika muktadha huu...Melo hatakiwi kuchanganya msimamo wake binafsi na misimamo ya wanaJF...leo hii Melo akisema Chadema ni wabadhirifu kwa kuwa wamepeana magari ya umma atakuwa ametoa msimamo wa JF dhidi ya CDM?
Nadhani ndio maana humuoni Melo akiingia humu jamvini kusupport upande flani wa kisiasa ili kuilinda JF .
CAG kutoa maoni yake binafsi huku akiwa kwenye cheo chake ni zaidi ya hatari and it is very unethical na apaswa kuwajibika kutokana na hilo.
Kila la kheri katika kuendelea kutetea chama unachokiamini.