Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Give them a Yard, they take a Mile...." Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Sawa Mkuu," Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Hoja ya CAG dhidi ya CCM ni nyepesi mno..na inatatulika.Hoja ya CAG dhidi ya CDM imeonesha wizi wa mchana kweupeKweli wee ni mmja wao wa uliyetafuna fedha za mafao naona C.A.G kapiga pale pale ndomana unaweweseka jingalao
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
We Jamaa MAVI kweli Ww, Kwhyo Assad ni Daktari?Aombe radhi kwa kutamka neno la kitaaluma?!
Hivi daktari akikwambia unaumwa au kinywa chako kinatoa harufu utamuambia akuombe radhi?
Hit direct to the Ntonku
Weakness ni neno ama si neno la kitaaluma?Dhaifu sio neno la kitaaluma ...tuache utani...wahasibu mmekosa maneno ya kitaaluma?
Weakness ni neno la kawaida sana ...sielewi ni kitabu gani cha uhasibu kinadefine kama weakness ni neno la kitaaluma.Weakness ni neno ama si neno la kitaaluma?
Kwamba ikisemwa taasisi fulani ina udhaifu katika utunzaji wa hesabu za matumizi kulingana na bajeti yake ilivyoidhinishiwa itakuwa imetukanwa taasisi hiyo?Weakness ni neno la kawaida sana ...sielewi ni kitabu gani cha uhasibu kinadefine kama weakness ni neno la kitaaluma.
Hebu basi define "Weakness" ili wanataaluma wa Ukaguzi duniani wakuelewe.
Kama ukiiropokea hiyo taasisi bila ushahidi bila shaka utakuwa umeitukana na unapaswa kuchukuliwa hatua.Niletee ushahidi wa CAG wenye kuelezea udhaifu wa bunge page by page.Kwamba ikisemwa taasisi fulani ina udhaifu katika utunzaji wa hesabu za matumizi kulingana na bajeti yake ilivyoidhinishiwa itakuwa imetukanwa taasisi hiyo?
Hivi muwapo huko ccm bongo zenu mnazibinafsisha kwa Nani?
Hebu nikupe mfano mmoja Mfano @Melo mmiliki mwenza wa Jf akaenda Kenya kikazi kule alipoenda kikazi wana idhaa ya kiswahili kupitia Luninga akaalikwa kufanyiwa mahojiano.Kama ukiiropokea hiyo taasisi bila ushahidi bila shaka utakuwa umeitukana na unapaswa kuchukuliwa hatua.Niletee ushahidi wa CAG wenye kuelezea udhaifu wa bunge page by page.
Kwani CAG alisema bunge lina udhaifu katika utunzaji wa hesabu za matumizi kulingana na bajeti?(Hii isingekuwa issue aghalabu)Kwamba ikisemwa taasisi fulani ina udhaifu katika utunzaji wa hesabu za matumizi kulingana na bajeti yake ilivyoidhinishiwa itakuwa imetukanwa taasisi hiyo?
Hivi muwapo huko ccm bongo zenu mnazibinafsisha kwa Nani?
Melo sio mtumishi wa Umma katika muktadha huu...Melo hatakiwi kuchanganya msimamo wake binafsi na misimamo ya wanaJF...leo hii Melo akisema Chadema ni wabadhirifu kwa kuwa wamepeana magari ya umma atakuwa ametoa msimamo wa JF dhidi ya CDM?Hebu nikupe mfano mmoja Mfano @Melo mmiliki mwenza wa Jf akaenda Kenya kikazi kule alipoenda kikazi wana idhaa ya kiswahili kupitia Luninga akaalikwa kufanyiwa mahojiano.
Mtangazaji akauliza swali "Bwana Melo mtandao wenu umekua ukifanya Kazi kubwa Sana ya kufichua maovu mbali mbali yanayofanyika kwenye jamii yakiwahusisha maafisa wa serikali, lakini inaonekana serikali imekua haichui hatua dhidi ya maafisa wake wanaotajwa hilo wewe unalichukuliaje"?
Bwana Melo akajibu " kwa maoni yangu sisi Jf tunapofanya Kazi YETU kuibua uchafu na maovu mbali mbali kwenye jamii alafu serikali ikashindwa kutimiza wajibu wake wakikatiba wa kudhibiti maovu huo kwangu naona ni udhaifu wa serikali yenyewe"
Kwa maoni yako wewe @mjingawao hapo Melo WA Jf katika jibu lake hilo atakua ametamka kwamba "serikali ni dhaifu??!!
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Kama ni lugha ya kitaaluma atumie neno gani? Maana kuna strengths na weaknesses au unataka kusema bunge halina udhaifuAsadi inaelekea anasoma sana maoni ya humu JF. Na anavutiwa sana na ushabiki wa nyumbu ambao chama chao kinakufa kwa ushabiki huo wa kijinga na ujuaji mwingi.
Ushauri wa Kitila ni wa busara sana
Sent using Jamii Forums mobile app