Nasaha za Kitila Mkumbo zimuendee Assad!

Nasaha za Kitila Mkumbo zimuendee Assad!

Huyu asad namjua sana kwa msimamo wake ni ngumu hata rais mwenyewe aseme sidhani kama ataomba huo msamaha
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
 
Dhaifu sio neno la kitaaluma ...tuache utani...wahasibu mmekosa maneno ya kitaaluma?
Sasa mkuu unataka aseme imara wakati sio kweli?we mwenywe hapo kama sio kujipendekeza kwa upande fulani unajua kabisa kua bunge ni dhaifu kidemokrasia isipokua inatumika nguvu nyingi kuzimisha harakati za kuhoji mambo ya msingi rejea kunyanyaswa kwa wabunge wa upinzani na pia kutokuonyeshwa live kwa bunge hii yote ni kujaribu kuficha ubabe wa bunge letu katika kuminya demokrasia ifike mahali watanzania tuwe wakweli tusiendeshwe na unafiki na njaa zetu ikumbukwe haya ni maisha tutapita na tutaiacha Nchi hii kwa watoto na wajukuu wetu sio vizuri kua wanafiki katika mambo ya msingi kiujumla namuunga Mkono Prof Assad Ndugai hana hoja ya msingi kwa nini bunge sio dhaifu isipokuwa anazungumza kwa mihemko na anaendeleza tabia ileile ya ubabe ambao kidemokrasia hauna tija kabisa zaidi ya kutaka kujipendekeza au pengine yuko pale kulinda kundi flani rejea hotuba yake ya jana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ninauliza tu "Udhaifu wa Bunge" na "Bunge dhaifu" matumizi yake yana maana sawa? Maana prof. Assad kasema udhaifu wa Bunge.
 
Sasa mkuu unataka aseme imara wakati sio kweli?we mwenywe hapo kama sio kujipendekeza kwa upande fulani unajua kabisa kua bunge ni dhaifu kidemokrasia isipokua inatumika nguvu nyingi kuzimisha harakati za kuhoji mambo ya msingi rejea kunyanyaswa kwa wabunge wa upinzani na pia kutokuonyeshwa live kwa bunge hii yote ni kujaribu kuficha ubabe wa bunge letu katika kuminya demokrasia ifike mahali watanzania tuwe wakweli tusiendeshwe na unafiki na njaa zetu ikumbukwe haya ni maisha tutapita na tutaiacha Nchi hii kwa watoto na wajukuu wetu sio vizuri kua wanafiki katika mambo ya msingi kiujumla namuunga Mkono Prof Assad Ndugai hana hoja ya msingi kwa nini bunge sio dhaifu isipokuwa anazungumza kwa mihemko na anaendeleza tabia ileile ya ubabe ambao kidemokrasia hauna tija kabisa zaidi ya kutaka kujipendekeza au pengine yuko pale kulinda kundi flani rejea hotuba yake ya jana

Sent using Jamii Forums mobile app
Speaker ni mbabe, anakosea anapopeleka ubabe kwa mtu ambae hababaiki. Prof Assad anajulikana kwa kutoyumbishwa kwa kile anachokiamini, na muumini halisia wa imani yake. Prof Mkumbo tangu ajiingize kwenye mambo ya kisiasa, yy huwa anafuata mkumbo kulingana na upepo unavyovuma, ni aina ya watu ambao leo anaweza kutetea hili na kesho akageuka (kulingana na upepo). Yote kwa yote, kwakua tayari bunge lilishasema kuhusu CAG, likamwita na kumhoji, ni muda muafaka spika akanyamaza na kuangazia maendeleo ya nchi maana kuendelea kumkonalia CAG ni kama kumshurutisha, kitu ambacho hakina mantiki kwa nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika ukaguzi wowote huwa una matokeo mawili makubwa, STRENGTHS na WEAKNESSES.

Bunge letu katika utendaji wake limeonesha na lina STRENGTHS na WEAKNESSES.
Sasa Bunge halitaki ulieleezee WEAKNESSES zake, It simply allows positive signals and not negative ones.

Na katika hili Bunge limefanana na serikali,
Unarefer report ipi ya CAG iliyosema haya??
 
Hawa ndio wale watu wakiwa nje ya chama huwa wanaongoza kwa hoja nzuri sana, wakihamia serikalini wako tayari kuyasaliti mawazo yao mazuri ili wale.
Yuko tayari kuwasaliti umma ili awafurahishe bwana wakubwa.

Kiufupi watu wa aina hii walishiriki kuwafichua ndugu zetu walipojificha ili wauzwe ulaya na marekani kama watumwa ili kuwafurahisha mabwenyenye

Sent using Jamii Forums mobile app
So far sijamuona msomi yoyote aliyemuunga mkono Assad ....nawaona watu aina ya Mange Kimambi ndio wanaompa ujasiri wa mbwa koko
 
Kitila mkumbo anatakiwa aombe radhi kwa kuwasaliti watanzania
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Msamaha huombwa kwa sababu ya kukosea... Vinginevyo ni unafiki uliotukuka
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Kitila Mkumbo tapeli wa kisiasa, mchumia tumbo aliyeingia siasa kwa kufuata mkumbo.
 
Hakika watu hubadilika kama vinyonga kutokana na mazingira yaani KITILA kweli wa kusema maneno hayo.Em aishauri CCM ituombe msamaha watanzania kwa hasara na madhara waliyotusababishia.Maana wao ndio chanzo cha UJINGA,MARADHI NA UMASIKINI wa hii nchi.
 
Asadi inaelekea anasoma sana maoni ya humu JF. Na anavutiwa sana na ushabiki wa nyumbu ambao chama chao kinakufa kwa ushabiki huo wa kijinga na ujuaji mwingi.
Ushauri wa Kitila ni wa busara sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfuteni kazi ili muondokane na neno dhaifu katika ukaguzi,maana imekuwa ni upuuzi kumlazimisha mtu kwa kosa ambalo si lake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom