peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,830
- 21,460
Huyu ni mtoto wa Zelothe Stephen ambaye alikuwa RPC mkoa wa Lindi na alisababisha mauji na chuki kubwa mkoa wa Lindi.
Zelothe Stephen huyu Kwa sasa ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, ambapo ameleta vurugu kubwa sana mjini arusha ndani na nje ya chama.
Amemfanya mbunge wa Jimbo la arusha Mjini amekuwa kama mkimbizi.
Kwa mantiki hiyo, kumteua mtoto wake kuwa Mkurugenzi Handeni ni kudhalilisha wananchi na wanamshauri Rais kwenye uteuzi huu walipitiwa.
Uteuzi wake utenguliwe.
Pia wananchi wa Tanzania wasiache kuwapongeza wafuatao (niwapongeze wafuatao kwa kuteuliwa kwenye nafasi za UDAS):
Na hawa Kwenye nafasi za UDED
Haya mambo 🙌🏼🙌🏼. CCM wanagawana vyeo vya Mama. TANZANIA hahahaa!
Zelothe Stephen huyu Kwa sasa ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, ambapo ameleta vurugu kubwa sana mjini arusha ndani na nje ya chama.
Amemfanya mbunge wa Jimbo la arusha Mjini amekuwa kama mkimbizi.
Kwa mantiki hiyo, kumteua mtoto wake kuwa Mkurugenzi Handeni ni kudhalilisha wananchi na wanamshauri Rais kwenye uteuzi huu walipitiwa.
Uteuzi wake utenguliwe.
Pia wananchi wa Tanzania wasiache kuwapongeza wafuatao (niwapongeze wafuatao kwa kuteuliwa kwenye nafasi za UDAS):
- Geofrey Moses Nauye
- Justice Lawrance Kijazi
- Shauri Selenda Msuya
- Neema Michael Magembhe
- John Kulwa Mgalula
- Ramadhani Salmin Possible
- James Godfrey Mkumbo
- James Francis Chalamila
- Ruth John Magufuli
- Fatima Said Kubenea
- Pendo Daniel Ndumbaro
- Reuben Michael Chongolo
- Neema Fidelis Mfugale
- Said Majaliwa
- Ester Zulu Gama
Na hawa Kwenye nafasi za UDED
- Chiunde Mfaume Kawawa
- Abdul Omari Mtaka
- Tamim Hamad Kambona
- John John Nchimbi
- Joanfaith John Kataraia
- Shadrack M Mhagama.
Haya mambo 🙌🏼🙌🏼. CCM wanagawana vyeo vya Mama. TANZANIA hahahaa!