Napinga Uteuzi wa Kagurumujuli kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, hana Sifa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,353
Ifike Mahali viongozi wa Tanzania na hasa Mamlaka ya Uteuzi ijaribu kuwaheshimu Wananchi wake , hata kama ni Wajinga, duni ama Mbumbumbu.

Uteuzi wa Kagurumujuli, kada wa CCM aliyesababisha mauaji ya kijinga ya Akwilina alipokuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, akishirikiana na Lazaro Mambosasa, umelenga kudhalilisha Wananchi wote waliopiga kelele kuhusu mauaji hayo ya kishamba na ni sawa na matusi ya nguoni Kwa familia ya Akwilina.

Kwa kufupisha ni kwamba Kagurumujuli hafai kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa vile ana tuhuma za mauaji, aweza kusababisha mauaji mengine tena.

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia wananchi wa Tanzania kwamba ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI.

Nashauri Uteuzi wake Utenguliwe mara moja.
 
Ifike Mahali viongozi wa Tanzania na hasa Mamlaka ya Uteuzi ijaribu kuwaheshimu Wananchi wake , hata kama ni Wajinga, duni ama Mbumbumbu.

Uteuzi wa Kagurumujuli, kada wa CCM aliyesababisha mauaji ya kijinga ya Akwilina alipokuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, akishirikiana na Lazaro Mambosasa, umelenga kudhalilisha Wananchi wote waliopiga kelele kuhusu mauaji hayo ya kishamba na ni sawa na matusi ya nguoni Kwa familia ya Akwilina.

Kwa kufupisha ni kwamba Kagurumujuli hafai kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa vile ana tuhuma za mauaji, aweza kusababisha mauaji mengine tena.

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia wananchi wa Tanzania kwamba ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI.

Nashauri Uteuzi wake Utenguliwe mara moja.
Nishawaambia yale maridhiano ni danganya toto
CCM haina dhamira nzuri kwa watanzania. Simameni kama chama cha ukombozi dhidi ya mkoloni CCM.

Hizo teuzi ni majibu ya namna gani chama tawala kinavyowaona nyie wapigania haki
 
Back
Top Bottom