Ww nae fala tuu, kwamba kuua wengi kwa siku moja ndio kosa ila kuua mmoja mmoja sio kosa?Kosa si kosa kosa kurudia kosa,, CCM na magenge ya wahuni waliojivika joho la Polisi wasirudie ya tar 29 okt '25
😂😂😂😂😂Naskia anamlaani dereva wake kwa kumtoroka usiku wa manane pindi tu tangazo la kutumbuliwa Uwaziri lilipotangazwa.
Yote hatuyataki.Anapigiwa debe na nani na uzuri wake ni upi?
Sorce ya maujai ya oct 29 ni yeye kwa kauli zake ... 'Maridhiano ni baada ya uchaguzi'...
WaTZ tusiwe wepesi sana kusahau
Hahahahahaaaaa grammar boy.How do you feel to login in with different ID's frequently , does it sound normal for a sane person ?
Cc : loose Nut Mcmillan de Maghayo
Ameanza kuiva ninamfundisha kwa muda mrefu.Hahahahahaaaaa grammar boy.
But the ID looks genuine. It’s been on the platform since 2007. Respect the Elders young manHow do you feel to login in with different ID's frequently , does it sound normal for a sane person ?
Cc : loose Nut Mcmillan de Maghayo
bao la mkono nimewaza punyeto..😂😂 yaonyesha kijana nimekosa adabuMzee wa bao la mkono, MNAFIKII
Nikiongea Kingereza kimya kimya nina sound Kama Obama .Ameanza kuiva ninamfundisha kwa muda mrefu.
Toka hapaKosa si kosa kosa kurudia kosa,, CCM na magenge ya wahuni waliojivika joho la Polisi wasirudie ya tar 29 okt '25
Huyu Nape akitumbuliwaga anakuwaga na akili kidogoMbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema ni vyema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuisimamia kauimbiu yake ya 'kazi na utu tunasonga mbele' huku utu ukizingatiwa zaidi kila mahali kwani isipokuwa hivyo chama hicho kitang'olewa madarakani.
Ameyasema hayo leo Februari 05, 2026 bungeni na kueleza kuwa utu huo unapaswa kuoneakana kwenye maeneo ikiwemo kwenye vyombo vya dola.
"Tunapoanza mipango ya utekelezaji wa dira hili suala la utu liwe wazi tulione moja kwa moja kwenye mipango ya serikali...tukienda kwenye machinga tuone utu, tukienda kwa wakulima tuone utu, tukienda kwenye matendo ya vyombo vya dola tuone utu" amesema Nape.
Sio lahis kusema kua sis tumekosea Kwa sababu sku ZOTE mzazi Huwa anajiona akoseiMbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema ni vyema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuisimamia kauimbiu yake ya 'kazi na utu tunasonga mbele' huku utu ukizingatiwa zaidi kila mahali kwani isipokuwa hivyo chama hicho kitang'olewa madarakani.
Ameyasema hayo leo Februari 05, 2026 bungeni na kueleza kuwa utu huo unapaswa kuoneakana kwenye maeneo ikiwemo kwenye vyombo vya dola.
"Tunapoanza mipango ya utekelezaji wa dira hili suala la utu liwe wazi tulione moja kwa moja kwenye mipango ya serikali...tukienda kwenye machinga tuone utu, tukienda kwa wakulima tuone utu, tukienda kwenye matendo ya vyombo vya dola tuone utu" amesema Nape.