BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,346
- 6,855
Hili bunge ni kama chumba cha wanafunzi wa darasa la tatu!
Alipombambika kesi ya uhujumu uchumi Suleiman Methew alitumia vyombo gani? Awadanganye Wajinga wenzie
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema ni vyema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuisimamia kauimbiu yake ya 'kazi na utu tunasonga mbele' huku utu ukizingatiwa zaidi kila mahali kwani isipokuwa hivyo chama hicho kitang'olewa madarakani.
Ameyasema hayo leo Februari 05, 2026 bungeni na kueleza kuwa utu huo unapaswa kuoneakana kwenye maeneo ikiwemo kwenye vyombo vya dola.
"Tunapoanza mipango ya utekelezaji wa dira hili suala la utu liwe wazi tulione moja kwa moja kwenye mipango ya serikali...tukienda kwenye machinga tuone utu, tukienda kwa wakulima tuone utu, tukienda kwenye matendo ya vyombo vya dola tuone utu" amesema Nape.
Siku vyombo vya dola vikianza kuwa na "utu" nyie mmeondoka.Police stateMbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema ni vyema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuisimamia kauimbiu yake ya 'kazi na utu tunasonga mbele' huku utu ukizingatiwa zaidi kila mahali kwani isipokuwa hivyo chama hicho kitang'olewa madarakani.
Ameyasema hayo leo Februari 05, 2026 bungeni na kueleza kuwa utu huo unapaswa kuoneakana kwenye maeneo ikiwemo kwenye vyombo vya dola.
"Tunapoanza mipango ya utekelezaji wa dira hili suala la utu liwe wazi tulione moja kwa moja kwenye mipango ya serikali...tukienda kwenye machinga tuone utu, tukienda kwa wakulima tuone utu, tukienda kwenye matendo ya vyombo vya dola tuone utu" amesema Nape.
Amini manHuyo ameelewa reverse, Vyombo vya dola vikijali utu CCM ndio itang'oka
Mitandao inawapa watu ujasiri ambao in person hawajawahi hata ku assume kuwa nao. Shikamoo keyboard.Kum la mm yako wewe Nape Nnauye, wewe ni miongoni mwa wahuni wapumbavu kabisa.
Kawekwa benchi katika Baraza la Mawaziri, keshaanza kupayuka, huyu Afisa Kipenyo Mwandamizi ana shida sanaMbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema ni vyema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuisimamia kauimbiu yake ya 'kazi na utu tunasonga mbele' huku utu ukizingatiwa zaidi kila mahali kwani isipokuwa hivyo chama hicho kitang'olewa madarakani.
Ameyasema hayo leo Februari 05, 2026 bungeni na kueleza kuwa utu huo unapaswa kuoneakana kwenye maeneo ikiwemo kwenye vyombo vya dola.
"Tunapoanza mipango ya utekelezaji wa dira hili suala la utu liwe wazi tulione moja kwa moja kwenye mipango ya serikali...tukienda kwenye machinga tuone utu, tukienda kwa wakulima tuone utu, tukienda kwenye matendo ya vyombo vya dola tuone utu" amesema Nape.
Nakuunga mkono huyu maku ni mnafikiKum la mm yako wewe Nape Nnauye, wewe ni miongoni mwa wahuni wapumbavu kabisa.
Hahaha JOJI SimbachaweneNape unachokitafuta utakipata, muulize rafiki yako Jan.
Tatizo la Nape ni kwamba akishatupwa nje ya mfumo huwa anatia huruma. Lakini akipata upenyo anakuwa kama Makonda na MwiguluMbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema ni vyema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuisimamia kauimbiu yake ya 'kazi na utu tunasonga mbele' huku utu ukizingatiwa zaidi kila mahali kwani isipokuwa hivyo chama hicho kitang'olewa madarakani.
Ameyasema hayo leo Februari 05, 2026 bungeni na kueleza kuwa utu huo unapaswa kuoneakana kwenye maeneo ikiwemo kwenye vyombo vya dola.
"Tunapoanza mipango ya utekelezaji wa dira hili suala la utu liwe wazi tulione moja kwa moja kwenye mipango ya serikali...tukienda kwenye machinga tuone utu, tukienda kwa wakulima tuone utu, tukienda kwenye matendo ya vyombo vya dola tuone utu" amesema Nape.
Mnafiq tu mchumiatumbo mkubwa! Mbona hajawahi kukemea mauji aliyofanya Samuya MO29. Na mbona hajawahi kuhoji kuhusu maiti za MO29 zilizotekerezwa kwenye tanuru la Wazo Hill? Msengerema mkubwa!Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema ni vyema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuisimamia kauimbiu yake ya 'kazi na utu tunasonga mbele' huku utu ukizingatiwa zaidi kila mahali kwani isipokuwa hivyo chama hicho kitang'olewa madarakani.
Ameyasema hayo leo Februari 05, 2026 bungeni na kueleza kuwa utu huo unapaswa kuoneakana kwenye maeneo ikiwemo kwenye vyombo vya dola.
"Tunapoanza mipango ya utekelezaji wa dira hili suala la utu liwe wazi tulione moja kwa moja kwenye mipango ya serikali...tukienda kwenye machinga tuone utu, tukienda kwa wakulima tuone utu, tukienda kwenye matendo ya vyombo vya dola tuone utu" amesema Nape.