Nape vs Lowassa

Nape vs Lowassa

Status
Not open for further replies.
Nape muda mwingianautumia kupiga maneno na kuleta matatizo katika taifa letu na tusipoangalia kauli zake zinaweza kuliingiza taifa letu kwenye vita hivyo basi watanzania tumvumilie tu kwani hajui alitendalo kwani ni kilaza tu

Inaelekea Nape ni jembe hasa, ndio maana pro-Chadema JF hamuishi kumuota na kumzungumzia. Mbona livyokua bwana usingizi Chiligati kwenye nafasi ileile hakuwa anajadiliwa sana.
 
Je nini matokeo ya mnyukano kati ya LOWASSA na NAPE katika chama cha magamba? je nani anaelekea kukimbizwa kwenye chama
I belive that the young man lack wisdom thats why he has pick a war he will live to lose.
 
huyu NAPE anamatatizo sana yani anapokuwa kwenye vikao anasema vingine akitoka anasema vingine.......igunga kwenye kikao cha ndani amemuomba Rostam awasaidie kuokoa jimbo sasa sijui anacheza ngoma gani huyu
 
<b>huyu NAPE anamatatizo sana yani anapokuwa kwenye vikao anasema vingine akitoka anasema vingine.......igunga </b><b>kwenye kikao cha ndani amemuomba Rostam awasaidie kuokoa jimbo sasa sijui anacheza ngoma gani huyu</b>
<br />
<br />
Godwine,
ULINISIKIA NIKISEMA USEMAYO??????? Kanywe kahawa kisha urudi tuzungumxe pengine
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Godwine,<br />
ULINISIKIA NIKISEMA USEMAYO??????? Kanywe kahawa kisha urudi tuzungumxe pengine
<br />
<br />
"Jamaini, mimi kijana mwenzenu nimewakosea nini niambien basi" Nape bwana!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Godwine,<br />
ULINISIKIA NIKISEMA USEMAYO??????? Kanywe kahawa kisha urudi tuzungumxe pengine
wewe umechanganyikiwa kwani wewe ni mwenezi wa chama gani?..kama mw/kiti na katibu mkuu wako wanampigia magoti Rosta hiyo inaimanisha nini kwako..umesema unaelimu na siasa unafanya kwa hobi tu..ama kweli hata machangudoa kuna wanaofanya ukahaba kwa hobi tu..CCM wanakutumia vibaya usije ukakitupa chama chako ccj iko siku utakikumbuka..
 
Nape tuambie ile kampeni yako ya kuwangoa mafisadi bado ipo, na je baada ya kugundua hata kikwete ni fisadi mkubwa anaehongwa mpaka suti je huoni sasa ni wakati mwafaka nae kumwandikia barua ya kujivua gamba...
 
Nape tuambie ile kampeni yako ya kuwangoa mafisadi bado ipo, na je baada ya kugundua hata kikwete ni fisadi mkubwa anaehongwa mpaka suti je huoni sasa ni wakati mwafaka nae kumwandikia barua ya kujivua gamba...

cha kushangaza pale Nape katibu mwenezi na mtu ambaye yuko karibu na mwenyekiti ambaye ni rais wa nchi anapiga kelele kuwa anataka kuuliwa hivi hii huyu mtu anafikiri kweli au anafikiri kwa kutumia meya wa dar es salaam(masaburi)
 
Nape yupo sahihi,kama katibu mwenezi anatekeleza majukumu aliyopewa na chama chake, Tatizo la wanachama wamagamba wanamini kuna baadhi ya wajumbe hawapendi kabisa kuguswa ndani ya chama chao, Hakika kama watampa Nape nafasi ya kutekeleza majukum yake chama kitasimama lakini badi reputaion moingoni mwa wataanzania itakua mbaya. Wanakazi kubwa kusonga mbele hadi 2015 kipindi cha uchaguzi
 
<br />
<br />
Godwine,
ULINISIKIA NIKISEMA USEMAYO??????? Kanywe kahawa kisha urudi tuzungumxe pengine


Kuna wakati nilitumia nguvu kubwa kukuelimisha nikadhani tatizo ni la uelewa , kumbe baada ya kujua kuwa wewe umeingia katika mtego wa kutumikishwa na kupewa cheo kwa kuombewa na mtoto wa mwenyekiti ili uwe spika wa kauli zake nilikusikitikia sana na kuona ni Namna gani umeingia katika udhalilishaji wa heshima yako ana utu wako.

Watu wanaokuzunguka na kuendelea kupaza sauti za kukuunga mkono au pia ni sehemu ya unafiki kama unavyofanya wewe dhidi ya Viongozi wengine na ni kitu cha kushangaza kuona mtu na kijana mwenye umri kama wako na wadhifa kama wako ukiwa ni mnafiki mkubwa kiasi hicho

Kitu ninachokushauri kama n kijana unayehitaji kurudisha heshima yako epuka kuwa kalani na kibarua wa Riz 1 kwani wewe ni mtu wa ajabu hivi unapiga kelele za kupambana na ufisadi ukiwa bado Unafugwa katika Tundu la RIZ 1 je unajua usafi wa mtu anayekufuga? au baniani mbaya kiatu chake dawa

Pil nakupa Habari ya namna gani kikao kijacho kitavyokuja kuzima majungu na kelele zako na kuweka picha ya kelele zako ni za kuzunguka na kutaka posho za ukatibu mwenezi sasa naona unaomba kuwatembelea makada walioko Marekani , kwanini marekani na sio India? au uchina? cha msingi umepata kijiwe cha kupiga majungu na kuendelea kupata posho za kuganga njaa

ni heri kuwa mwenye msimamo kuliko kuwa kibaraka wa mtu na akaendelea kukufuga sababu ya fedha na cheo cha wazazi wake





 
Tumependekeza apunguziwe madaraka yake , kwani ni makubwa mno atakivuruga chama dogo huyu

CCM haijafirisika kabisa kukosa mtu wa kuwa katibu mwenezi mpaka hicho cheo apewe Nnape. Sijui ni nini hawa wazee wa CCM walitaka kuonyesha Watanzania.
 
<br />
<br />
Godwine,
ULINISIKIA NIKISEMA USEMAYO??????? Kanywe kahawa kisha urudi tuzungumxe pengine

Ashukum si matusi niwie radhi Ila ndugu umekuwa malaya wa kisiasa kama mwalimu angekuwepo angekuambia huwezi simamia unachokiamini hivyo pumzika . jamii nzima inakuona unaganga njaa tu kwani umekuwa mnafiki kushinda waziri wa habari wa serikali ya sadamu husein yule al seif
 
&#8203;Kwa kauli ya leo lowassa dhidi ya serikali na ajira kwa vijana nadhani ni pigo kwa Chama chote cha CCM, lowassa anamaanisha si yeye pekee kwenye serikali mwenye makosa bali ni Chama na mfumo wote umeoza
 
Bao la kwanza aliunguruma kutokea Monduli kuhusu wale wanaomchafua na kudhihirisha ule usemi wa waswahili kuwa aungurumapo Simba mcheza nani? Hakuna mwana CCM aliyethubutu kujibu. Bao la pili Lowassa amepata majukwaa ya kusemea matatizo ya ajira kwa vijana. Wakati Nape anaongelea nadharia ya kujivua gamba ambayo kwa mtu wa kawaida haina impact, Mzee mzima anagusa pale watanzania wengi wanapotaabika na hivyo kuonekana ni mtetezi. Game ilipo kwa sasa Mzee Lowassa ana bao mbili na Nape bado hajapata kitu. Ushauri kwa wale wanaomtumia Nape kufikisha ujumbe wabadili mbinu haraka sana vinginevyo hii vita itawashinda na hivyo kuipa CDM kazi rahisi sana huko mbeleni. Hongera Lowassa kwa kauli ya leo Mwanza kuhusu ajira za vijana ukiwa na takwimu za kutosha, ingawa dhamira yako inatia shaka.
 
Bao la kwanza aliunguruma kutokea Monduli kuhusu wale wanaomchafua na kudhihirisha ule usemi wa waswahili kuwa aungurumapo Simba mcheza nani? Hakuna mwana CCM aliyethubutu kujibu. Bao la pili Lowassa amepata majukwaa ya kusemea matatizo ya ajira kwa vijana. Wakati Nape anaongelea nadharia ya kujivua gamba ambayo kwa mtu wa kawaida haina impact, Mzee mzima anagusa pale watanzania wengi wanapotaabika na hivyo kuonekana ni mtetezi. Game ilipo kwa sasa Mzee Lowassa ana bao mbili na Nape bado hajapata kitu. Ushauri kwa wale wanaomtumia Nape kufikisha ujumbe wabadili mbinu haraka sana vinginevyo hii vita itawashinda na hivyo kuipa CDM kazi rahisi sana huko mbeleni. Hongera Lowassa kwa kauli ya leo Mwanza kuhusu ajira za vijana ukiwa na takwimu za kutosha, ingawa dhamira yako inatia shaka.

Hii ngoma bado mbichi. Nakumbuka EL alikuwa na bifu na Mzee Malecela kipindi kuelekea kampeni za 1995, Mzee JSM akidai EL alikuwa kijana wake asingemwingilia kwenye kampeni za uraisi, sdasa naona uswahiba wa Nape na Mzee JSM ukichanganya na siasa za kuvuana MAGAMBA tuttegemee rafu nyingi sana kipindi hiki.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom