<br />Tunasubiri utekelezaji wa kujivua gamba CCM kama ni kweli au danganya toto.
hahaaa! hapo ni kichuguu na mlima!
: Nape will ultimately go.
Sounds like everybody in Magamba party is going. We should wish them all a good journey.
<br />huwa tunasema vita vya panzi ni furaha kwa kunguru, mi naona nape ni gamba jipya na lowassa ni gamba la zamani, sasa cjui vita hii ya hawa magamba(ccm) mshindi nani, waalah! Chadema ndio tutaendela kuwa washindi
Je nini matokeo ya mnyukano kati ya LOWASSA na NAPE katika chama cha magamba? je nani anaelekea kukimbizwa kwenye chama