Gracious
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 1,889
- 1,083
Mkuu kama wewe ni mtanzania unaweza kufahamu wazi kuwa wanasiasa waliowengi wakisema hili hawamaanishi wanalolisema, so kujivua gamba ni kuwageresha tu wananchi. hakuna kitakachofanyika na kitakachobadilika.
Mkuu,si unakumbuka ile story ya "Political road map" iliyotolewa na mheshimiwa msekwa,the gamba issue is merely like usanii.Lets wait and see.