Nape vs Lowassa

Nape vs Lowassa

Status
Not open for further replies.
Nape ameunda genge la majangiri ili kushambulia Viongozi wa CCM wanaopingana nae, lakini katika hali ya kumshangaza wamemtumia mkakati wake wa Toka mwanzo na mpaka alivyofikia na inasemekana amelazwa kwenye hospital moja mashuhuru akisumbuliwa na presha

Godwine,
NAKUTUNUKU WEWE NA WALIOKUTUMA DEGREE YA KWANZA YA UONGO, UMBEA NA UZUSHI!!!
 
godwine,
nakutunuku wewe na waliokutuma degree ya kwanza ya uongo, umbea na uzushi!!!

umepona lakini kuanzia jumanne unaanza kuhojiwa na polisi juu ya kesi ya kutaka kumuua lowassa kuwa tayari usije singizia unaumwa tena
 
unadhani ni zana zipi walizonazo NAPE na JK za kuweza kumshinda lowassa kukabiliana nazo kwenye chama cha magamba mpaka wamkimbize

Usalama wa Taifa. Kama waliweza kumpora Dr. Sla uraisi, hawashindwi kumpoteza Lowasa kama mkuu wa magogoni akiamua
 
Usalama wa Taifa. Kama waliweza kumpora Dr. Sla uraisi, hawashindwi kumpoteza Lowasa kama mkuu wa magogoni akiamua
hawakumpora bali ata dr slaa mwenyewe alishirikishwa katika zoezi lile na aliambiwa jumla ya wabunge wote wa upinzani awafiki ata moja ya tatu hivyo kutokana na katiba ya sasa waziri mkuu atatoka kwenye chama chenye wabunge wengi hivyo pia ata kama dr slaa angepewa urais waziri mkuu asingeweza kutoka Chadema angetoka CCM,

pia serikali yake ingedondoshwa na Bunge la CCM muda wowote hivyo kwa ujumla kama wakikaza buti 2015 wakichukua wabunge zaidi ya nusu 50% wanaweza chukua urais , lakini wakishindwa basi CCM tunaendelea na urais wetu wa magumashi unaosababisha NAPE atake kumuua lowassa
 
baada ya nape kuhojiwa naona amekaa kimya sana sijui nini kilimkuta polisi? tumejaribu kumpigia simu kumpa pole lakini hapokei simu yenyewe , jamani wenye taarifa za Nape kuhojiwa na polisi waweke ubaoni
 
EL ana silaha nyingi za kujilipua wenzake wengine c.c.m wanajua akijilipua wanamalizika wote ni yeye NP tu asejua kama anarusha makombora kwa mtu wanamna gani akili zakuambiwa hachanganyi na zake
 
Nape hana uwezo wa kutatua matatizo yake binafsi ataweza ya ccm....imagine aliambiwa na familia ya Nnauye mwaka juzi akapime nao DNA kujua kama kweli ni mtoto wa Mzee Nnauye lakini yeye akagoma na kukimbia baada ya kushuriana na mama yake anaeishi Mwanza.....sasa atawezaje ya CCm hapo wakati yake yanamshinda.
 
​Dogo nape amelazwa kwa presha mwanza na afya yake imeanza kudhofika sababu ya kutaka kupiga kelele pasipo kuwa na hoja za msingi
 
Huwa najiuliza sana hawa watu kama Nape na Januari Makamba wametokea wapi? Just out of nowhere! Tunawaona na kuwasikia kila siku, ila jinsi walivyofika hapo walipo haijulikani. Nape amefikaje kwenye high ranking za CCM???

Pia, huwa najiuliza, kama ni kweli system hii iliwa delete Kolimba, Mwabulambo, Kombe, (na wengine waliokuwa India wanaosemekana wako njiani); hivi ni kweli wamemshindwa Nape????

Mbona hakuna jinsi ya kuwafananisha EL na Nape????

As great thinker, let us think outside the box.....
 
Usalama wa Taifa. Kama waliweza kumpora Dr. Sla uraisi, hawashindwi kumpoteza Lowasa kama mkuu wa magogoni akiamua

lowassa ni mwenyekiti ya kamati ya ulinzi na usalama ambayo mkurugenzi wa usalama wa taifa anaenda kuomba mafungu yapitishwe kwenye kamati ya lowassa. pia mambo yote wanayofanya lazima yawekwe wazi kwenye kamati hii, lowassa yuko karibu na usalama wa taifa kuliko jk
 
@Fisadi Mtoto umenifurahisha sana na post yako. Nape asingeweza kukubali kupima DNA maana anajua kuwa yeye sio biological-son wa marehemu Moses Nauye. Huyu ni mtoto wa Kinyakyusa,baba yake wa kumzaa ni Mnyakyusa na ni mmoja wa mawaziri wa serikali ya Kikwete. Nape mtoto wa Proffesor huyo!! Ndo maana wenye akili tunamshangaa anapojifanya kupambana na mambo ya kina E.Lowasa wakati mambo madogo tu ya kuweza kumtambua baba yake wa damu hajayaweza. Huyo ni Ugonile anayepambana na Subai
 
Godwine,
NAKUTUNUKU WEWE NA WALIOKUTUMA DEGREE YA KWANZA YA UONGO, UMBEA NA UZUSHI!!!

Haya ndo majibu yale yale yaliyomgharimu HAWA NG'UMBI wakati ule wa Mchakato Majimboni. Hamko tayari kusikia mabaya au likisemwa jambo ambalo masikio yako hayapendi kusikia WHY? Ushakuwa mwanasiasa mabaya na mazuri yote yako kuwa tayari kutumia busara na diplomasia katika kujibu yote......
 
Haya ndo majibu yale yale yaliyomgharimu HAWA NG'UMBI wakati ule wa Mchakato Majimboni. Hamko tayari kusikia mabaya au likisemwa jambo ambalo masikio yako hayapendi kusikia WHY? Ushakuwa mwanasiasa mabaya na mazuri yote yako kuwa tayari kutumia busara na diplomasia katika kujibu yote......

Nape ananufaika na Jf ndio maana anatumia majina mbali mbali na kusoma mambo na mwenendo wa siasa za nchi yetu. lakini njia anayotumia kutaka kujijenga ndio imempoteza kabisa, hivyo ni bora arudi tena na afikirie namna ya kutoka pasipo kuja na sera za kujivua magamba kwani mwisho wa siku ndizo zitazomwangusha
 
lowassa ni mwenyekiti ya kamati ya ulinzi na usalama ambayo mkurugenzi wa usalama wa taifa anaenda kuomba mafungu yapitishwe kwenye kamati ya lowassa. pia mambo yote wanayofanya lazima yawekwe wazi kwenye kamati hii, lowassa yuko karibu na usalama wa taifa kuliko jk

Mkuu nchi hii trust no one. Huyo Mkuu wa TISS alirudishwa TZ na JK na kwa Sasa JK na EL ni paka na chui. Nadhani before 2015 tutakuwa tumeshafannya Uchaguzi mdogo wa Monduli.
 
Mkuu nchi hii trust no one. Huyo Mkuu wa TISS alirudishwa TZ na JK na kwa Sasa JK na EL ni paka na chui. Nadhani before 2015 tutakuwa tumeshafannya Uchaguzi mdogo wa Monduli.
kitu hicho nadhani ni ndoto 2012 tarajia wafuasi wa lowassa kushika chama kwenye chaguzi za ndani ya hama baada ya hapo ni kukamilisha ratiba ya 2015. Ni ngumu kupambana na mkulima aliyekupandia shamba lako na wewe ukaenda kuvuna tu
 
Nape hana uwezo wa kutatua matatizo yake binafsi ataweza ya ccm....imagine aliambiwa na familia ya Nnauye mwaka juzi akapime nao DNA kujua kama kweli ni mtoto wa Mzee Nnauye lakini yeye akagoma na kukimbia baada ya kushuriana na mama yake anaeishi Mwanza.....sasa atawezaje ya CCm hapo wakati yake yanamshinda.

Hahahaaa! Kwanza niseme hili la kijinga kabisa kuzungumzwa na watu wazima katika mjadala wa siasa ya nchi lilianzishwa mwaka 2003, wengine hata siasa mlikuwa hamjui ni kitu gani. Lengo likiwa kujaribu kumzuia Nape asiwe Mwenyekiti wa UVCCM, wanaweza kurejea enzi hizo na mpambano ule. Na hili la 2003 linaweza kuwa shule nzuri kwa wale wanaosema Nape katokea wapi, mbona kama kakurupuka tu!!!

Lakini hivi leo nikiitwa Nape .... Inabadili vipi msimamo wangu juu ya matumizi mabaya ya rasilimali za nchi? Maana ndio jambo linaloumiza watu vichwa hasa baada ya kuona ni msimamo usioyumba, hata nikifa leo mbegu niliyoipanda haitapotea, waadilifu na wazalendo watasimamia hili bila kuchoka....

NI KAZI KUBWA SANA KAMA SIO KUTOWEZEKANA KABISA KUTAFUTA MATOPE KWENYE SAKAFU SAFI, BAADA YA KUKOSA MATENDO YA KIFISADI KWA NAPE KWA MUDA WOTE WA SIASA ZANGU ZA KITAIFA, WANABUNI HATA UPUMBAVU ILI MRADI WAMTAJE NAPE WAPATE USINGIZI. NITATETEA RASILIMALI ZA NCHI YANGU MPAKA MWENYEZI MUNGU, NASISITIZA MWENYEZI MUNGU AKIAMUA KUNICHUKUA.

Maneno haya yanaongeza tu morale ya kufanya kazi hasa kwakuwa ni ya kijinga, isipokuwa yananithibitishia kuwa nimepiga kisu kimegusa mfupa so nikiongeza nguvu kidogo naweza vunja mfupa uliowashinda wengi wakaishia kulamba asali mwambani..
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom