Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,220
Nyote ongeeni siku 11 zijazo zitajulikana mbivu na mbichi.
Zimefika siku hizo ulizosema, hakuna lolote linalotokea na litakalotokea. Still ni kufanyana wajinga, kujivua gamba ni sawa na kusema iba iba iba halafu sema nimeacha wizi, huchukuliwi hatua zozote. Huu ni uswahili pia, ni kuwazuga watu.
Nape Nnauye can be as loud as he wants, lakini atakuwa NAPE kama kweli ataproduce results ambazo Tanzania inazitaka. Sio kuwavua magamba na kuwaonesha rangi zao, wafikishwe mahakamani waadhibiwe na kurudisha pesa walizotuibia.