kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 496
wewe ulaaniwe kwa kuamini kwako kuwa Lowasa alifuata nguvu za giza Nigeria,una laana kwa Mungu wewe,hivi kweli Pasta wa Nigeria alipokwenda Lowasa ni nguvu za giza,tubu kabla hujapigwa na ghadhabu ya Mungu kwa kiburi chako na kukufuru,Lowasa atawashangaza wengi na hamtaaminiPoor analysis. Nani hajui kwamba wengi wa wabunge wa CCM walikuwa-sponsored na Lowassa? Kushangiliwa hakumaanishi chochote zaidi ya wajibu wa wapambe kwa master wao. Mwisho wa yote maamuzi ya chama hayachukuliwi bungeni, ni kwenye vikao vya chama ambavyo tayari vimeshaamua kwamba yeye na wenzake wapotee. Wewe unashangaa yeye kutawala bunge, mbona alipomuondoa Sitta na kujigawia kamati za bunge wote tulijua kwamba vikaragosi wale walikuwa wake? In this contest, losser ni Lowassa na yeye anajua na ndiyo maana anahangaika hata kufikia kufanya outsourcing ya nguvu za giza kutoka Nigeria. Maji ya shingo!