Nape vs Lowassa

Status
Not open for further replies.
Poor analysis. Nani hajui kwamba wengi wa wabunge wa CCM walikuwa-sponsored na Lowassa? Kushangiliwa hakumaanishi chochote zaidi ya wajibu wa wapambe kwa master wao. Mwisho wa yote maamuzi ya chama hayachukuliwi bungeni, ni kwenye vikao vya chama ambavyo tayari vimeshaamua kwamba yeye na wenzake wapotee. Wewe unashangaa yeye kutawala bunge, mbona alipomuondoa Sitta na kujigawia kamati za bunge wote tulijua kwamba vikaragosi wale walikuwa wake? In this contest, losser ni Lowassa na yeye anajua na ndiyo maana anahangaika hata kufikia kufanya outsourcing ya nguvu za giza kutoka Nigeria. Maji ya shingo!
wewe ulaaniwe kwa kuamini kwako kuwa Lowasa alifuata nguvu za giza Nigeria,una laana kwa Mungu wewe,hivi kweli Pasta wa Nigeria alipokwenda Lowasa ni nguvu za giza,tubu kabla hujapigwa na ghadhabu ya Mungu kwa kiburi chako na kukufuru,Lowasa atawashangaza wengi na hamtaamini
 
The only survivor ya Nape ni kuacha kiherehere na visasi visivyo na maana,Hebu angalieni ufisadi unaofanywa na watu walio karibu na dola,lakini kwenye majukwaa wanamhubiri Lowasa ndiyo fisadi,at the end of a day Nape atajkuta ameachwa peke yake na kujimaliza angali na umri mdogo sana,ikiwa wanachikifanya wao ni wasafi kabisa hakika watafanikiwa lakini kama kuna madudu yao na wao wameyaficha hakika Mungu atawaumbua kwa kuwa ni unafiki mkubwa sana.by the way mimi kwangu Lowwasa ni kiongozi shupavu pamoja na mapungufu kama binadamu wengine
 
ni mawazo finyu ya watu wachache km ninyi na kumbuka kupigiwa makof c kufurahisa yanaweza yakamaanisha vingine hata mpoto aliwah nena,nape ataendelea kufanya kazi aliyoagizwa na nadhan wengi mnasahau kuwa anayofanya nape si maamuzi yake binafsi ila anasimamia kile alichoagizwa akifanye kwa nafasi yake
 
kumbuka nape hasimami km nape anasimama km chama mnamuandama bure kwa ufnyu wenu wa mawazo

punguza jazba mkuu kusema Nape anatekeleza matakwa ya chama vilevile kuna kundi la wanachama wengine wenye mwelekeo tofauti na wake na wenye nguvu na ushawishi katika chama kuliko Nape na mwenyekiti Jakaya kikwete , kwahiyo unapojadili basi kuwa na wazo ikibidi chama kigawanyike na vitoke vyama viwili tofauti na si kwamba Nape na JK ndio wenye chama hicho
 
Kazi ya vuvuzela ni kutoa kelele sasa nape atawezaje kuka kimya?nape hatonyamaza mpaka mafisadi watoke kwani hiyo ndiyo ajenda yake ndani ya chama.kazana kijana kujaribu kukirudisha chama kwenye ramani.
 
kazi hipo nadhani ni wakati wa kuviziana ila najua mwisho mnyonge atachinjwa tu
 
The only survivor ya Nape ni kuacha kiherehere na visasi visivyo na maana,Hebu angalieni ufisadi unaofanywa na watu walio karibu na dola,lakini kwenye majukwaa wanamhubiri Lowasa ndiyo fisadi,at the end of a day Nape atajkuta ameachwa peke yake na kujimaliza angali na umri mdogo sana,ikiwa wanachikifanya wao ni wasafi kabisa hakika watafanikiwa lakini kama kuna madudu yao na wao wameyaficha hakika Mungu atawaumbua kwa kuwa ni unafiki mkubwa sana.by the way mimi kwangu Lowwasa ni kiongozi shupavu pamoja na mapungufu kama binadamu wengine

nape amefanya tuwasahau akina karamagi , akina Zakia meghji na wengine na kubaki na lowassa tu
 
Nasikia Nape amesema mungu ndio anajua vita yake na lowassa alitumwa tu na yeye akakubali kwa sababu aliona ni wakati muafaka wa kutaka kulipiza kisasi kwani lowassa na makamba walitaka kumfukuza kwenye chama kipindi kile cha umoja wa wamama wa CCM (UVCCM) alipotaka kugombea uenyekiti wake na wakamzuia kwa kigezo cha umri na alipopiga kelele wakataka kumtimua chamani ndio akaibuka na skendo ya ufisadi wa jengo la UVCCM la ubia na PATEL
 
None will go out, but NAPE kawekewa governor tayari. Angalia kama ataendelea na ishu zake mbofumbofu. EL ana uwezo wa kufanya chochote, hategemea chama kumjenga. Anatafuta umaarufu na madaraka tu
 
Nashawishika kuamini CCM hawataweza kumuondoa Mmasai Lowassa ndani ya chama.Ninaamini Mh.Lowassa ana nguvu kubwa ndani ya chama kuliko hata Mwenyekiti hasa inapokuja katika NEC. Hivyo sioni dalili ya Lowassa kung'oka come September na hivyo hivyo sioni kitakachozuia Lowassa kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM mwaka 2015. kwa haya naweza kusema kwa uhakika na kujiamini na kwamba sitameza maneno yangu hata kwa dawa!
 
JK NDO ANAWAUZA WOTE,akikutana na Nape anamwambia kijana endelea mpaka kieleweke,====Akikutana na swaiba Lowassa anamwambia nachana na vuvuzela la nape we jari mamabo yako tupo pamoja.
 
JK NDO ANAWAUZA WOTE,akikutana na Nape anamwambia kijana endelea mpaka kieleweke,====Akikutana na swaiba Lowassa anamwambia nachana na vuvuzela la nape we jari mamabo yako tupo pamoja.

sasa kama mwenyekiti wa chama anawabeza watendaji wake ndani ya chama kweli kuna chama hapo?
 
Nashawishika kuamini CCM hawataweza kumuondoa Mmasai Lowassa ndani ya chama.Ninaamini Mh.Lowassa ana nguvu kubwa ndani ya chama kuliko hata Mwenyekiti hasa inapokuja katika NEC. Hivyo sioni dalili ya Lowassa kung'oka come September na hivyo hivyo sioni kitakachozuia Lowassa kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM mwaka 2015. kwa haya naweza kusema kwa uhakika na kujiamini na kwamba sitameza maneno yangu hata kwa dawa![/QUOTE

Harakati za kisiasa ndani ya chama zimekigawa chama na sasa wamefika wakati wanataka kutoa wanachama kafara ili kutaka kuokoa chama na hapa ndipo panafika wakati watu wameamua ni heri kumtoa kafara mwenyekiti kuokoa chama
 
January Makamaba: tunapokuwa kwenye vikao vya chama tena vikubwa yeye MNAUYE NAPE ANAGOJEA aseme msimamo wake kisha ndio aje na mawazo yake , na wakati wote mawazo yake uendana na mawazo ya mwenyekiti sijui ili la kujivua gamba limeanza kwa mwenyekiti au Nape lakini cha msingi ni chama lazima kiwe na watu wenye mawazo huru
 
wewe ulaaniwe kwa kuamini kwako kuwa Lowasa alifuata nguvu za giza Nigeria,una laana kwa Mungu wewe,hivi kweli Pasta wa Nigeria alipokwenda Lowasa ni nguvu za giza,tubu kabla hujapigwa na ghadhabu ya Mungu kwa kiburi chako na kukufuru,Lowasa atawashangaza wengi na hamtaamini
<br />
<br />
Kama hakufuata hivyo tujuze alichokifuata nigeria
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom