Nape vs Lowassa

Nape vs Lowassa

Status
Not open for further replies.
Nape ni kichuguu lowasa ni mlima kilimanjaro mkiwafananisha hamumtrndei nape haki
Ndugu yangu Makupa ulikuwa juu sana kuchangia siku hizi hizi hupati mgao au? Maana umekuwa kimyaaaa!!!
 
Lowasa amerudi toka Nigeria juzi juzi tu' siraha alizonazo Nape atajisalimisha mwenyewe.Lowasa ataondoka madarakan iwapo wananchi wakiamua na sio ccm.Kumbuka sasa hv n Mwenyekiti wa kamati ya bunge,mambo ya nje ulinzi na usalama!

Silaha gani, nguvu za giza? Maana Nigeria inasifika sana kwa kuzalisha na kusambaza nguvu za giza. Emmanuel Kanni anatokea Nigeria. Soma historia yake kama utahitaji kuijua Nigeria na Nguvu za giza. Lowassa bila aibu amekwenda kujifunza na kuchukua nguvu za giza ili kuupata Urais. Namuonea huruma sana, amesahau kabisa kabisa kuwa MUNGU ndie mwenye nguvu za mwisho. Lowassa ameonesha dharau na kutokuwa na imani na dhehebu lake, hawaamini tena tena mapadre na maaskofu wa kanisa lake, amewakimbia, ameenda kwa Rev. Joshua wa Nigeria. Hivi rEV. Joshua ana Biblia tofauti na hizi tunazoziona makanisani? Alichofuata kule ni nini ambacho anakikosa Tanzania?
 
Msigano huu ni mgumu sana na utaendelea kuwa mgumu,lakini mwisho wa siku chama kitagawanyika makundi mawili!!
 
Msigano huu ni mgumu sana na utaendelea kuwa mgumu,lakini mwisho wa siku chama kitagawanyika makundi mawili!!

Ni vizuri zaidi Chama kigawanyike ili tuwaone hadharani waumini wa nguvu za giza wanaoongozwa na mafisadi.
 
nappe mtoto mdogo sana, huwezi hata kidogo kumlinganisha na lowassa, never ever, huwezi kumlinganisha kimawazo, kielimu, kisiasa, kiumri na kifedha. bado hatujagusa swala la kimafia, siajabu kila siku usiku kuna watu wanambaka huyu nepe, acheni utani kabisa wa kujaribu kusema nape vs lowasa, labda mseme JK vs LOWASA au ROSTAM vs LOWASA, au NAPE vs JANUARY MAKAMBA.
 
Nape ni kichuguu lowasa ni mlima kilimanjaro mkiwafananisha hamumtrndei nape haki

Kama kushangiliwa ni kigezo cha kukubalika basi turudi kwenye historia hiyo na tuone ukweli wake wake. Kuna wengine ktk kushangilia huwa wanazomea. Kwa tukio la jana, aliyeshangilwa zaidi Bungeni ni Ole Sendeka, maana yeye alishangilwa kwa vigeregere. TBC hawakumuonesha Ole Sendeka, tunajua kwanini walifanya hivyo. Kuna akina dada wawili pale wapo ktk "pay-roll" ya mafisadi, wanajisahau kuwa Pinda ni boss wao.
 
nappe mtoto mdogo sana, huwezi hata kidogo kumlinganisha na lowassa, never ever, huwezi kumlinganisha kimawazo, kielimu, kisiasa, kiumri na kifedha. bado hatujagusa swala la kimafia, siajabu kila siku usiku kuna watu wanambaka huyu nepe, acheni utani kabisa wa kujaribu kusema nape vs lowasa, labda mseme JK vs LOWASA au ROSTAM vs LOWASA, au NAPE vs JANUARY MAKAMBA.

Hata hao wakubwa walizaliwa, wakakua na sasa wanaitwa wakubwa. Kama unaona na kuamini kuwa Nape anaweza kuwa anabakwa, then, atakayekuwa anafanya hivyo ni Lowassa na kundi lake, na kama hivyo ndivyo, hebu tujiulize, hivi ni kweli tunahitaji Rais mbakaji?
 
Lowasa ananguvu kwenye chama chao,msimwone yupo kimya

Inawezekana ana nguvu za giza kweli. Maana ametoka Nigeria hivi karibuni. Endeleeni kushabikia ujinga ktk nchi yetu, ipo siku watu watalia na kusaga meno kwa ujinga huu. Mafisadi sio watu wa kuwachekea hata kidogo, hata kama ni baba yako.
 
Both of them MUST Leave CCM and it has nothing to lose. Nape akaendeleze CCK na Lowasa akaanzishe chama chake au aende TLP. Then mwendo wa kuku kwa mrija kwa cdm..wao walishafanya mapinduzi watuachie tufanye maendeleo ya kweli kutumia rasilimali zetu.
 
Hata hao wakubwa walizaliwa, wakakua na sasa wanaitwa wakubwa. Kama unaona na kuamini kuwa Nape anaweza kuwa anabakwa, then, atakayekuwa anafanya hivyo ni Lowassa na kundi lake, na kama hivyo ndivyo, hebu tujiulize, hivi ni kweli tunahitaji Rais mbakaji?[/QUOTE]



never ever
 
Ndugu yangu Makupa ulikuwa juu sana kuchangia siku hizi hizi hupati mgao au? Maana umekuwa kimyaaaa!!!
Ndugu yangu kazi ni nyingi mno ndio maaana hujanisikia muda ila punde tu nitarejea kwa kasi kubwa mno
 
Kati ya Lowassa na Nape ni nani aliyopo ktk nafasi ya maamuzi? Lowassa ni Mbunge (CCM) wa Monduli na ni Mwenyekiti wa Kamati ya Nje, Ulinzi na Usalama. Nape ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM na pia ni Mjumbe wa Secretariat ya CCM.
Secretariat inapendekezwa na Kamati Kuu ya Chama na Kuridhiwa na Halmashauri Kuu ya Chama. Inafanya kazi za Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM. Mbunge anateuliwa na wananchi jimboni kwake kwa kazi za maendeleo ya jimbo. Kamati zote za Bunge zipo kwa mujibu wa KANUNI tu. Kazi yao kubwa ni KUSHAURI tu.
lakini kuwa katika kamati ya ulinzi na usalama ni moja ya sehemu nyeti ya nchi kwani yeye hufanya kazi kwa karibu na taasisi nyingi pia historia ya utendaji inaweza kusababisha mtu akawa na nguvu au ikikuangusha ..Nape ni kijana mwenye wadhifa mkubwa lakini bado haonekani kumudu nafasi hii na imefika wakati anadhani yeye ni spika wa chama
 
Wote ni wanasiasa muflisi. Tofauti: mmoja mchumia tumbo, mwingine anajua namna ya kuwatumia wachumia tumbo wapenda umaarufu.
 
Ukweli hapa ni usanii hakuna wakuthubutu kuwafukuza hao three guys mtikisiko ndani ya chama ni mkubwa sana endapo watafanya hivyo!
 
Kama serikali kupitia Pinda watamka wazi kuwa mafisadi yana nguvu itakuwa Nape...
 
Inawezekana ana nguvu za giza kweli. Maana ametoka Nigeria hivi karibuni. Endeleeni kushabikia ujinga ktk nchi yetu, ipo siku watu watalia na kusaga meno kwa ujinga huu. Mafisadi sio watu wa kuwachekea hata kidogo, hata kama ni baba yako.

Ni Tanzania peke yake ambako mwizi anaweza kuwasahaulisha watu, wakamuona ni shujaa. Lakini kwa vile wenye mtazamo huo finyu ni wachache, majahili hao hawataona mwanga wa siku. Ndo maana tunasema kama kweli wana nguvu waunde chama halafu wakinadi waone kama Dovutwa hatawashinda kwa umaarufu.
 
Kama serikali kupitia Pinda watamka wazi kuwa mafisadi yana nguvu itakuwa Nape...

Nguvu yenyewe ni ya kuwapumbaza watu wakawaona ni mashujaa kwa sababu tu wanapenyezewa visenti vya kulipia utu wao unaodhalilishwa.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom