Nape vs Lowassa

Nape vs Lowassa

Status
Not open for further replies.
Ukweli hapa ni usanii hakuna wakuthubutu kuwafukuza hao three guys mtikisiko ndani ya chama ni mkubwa sana endapo watafanya hivyo!

Ndo maana nasema kwamba kuna watu bado kongwa la utumwa halijawatoka. Kama wao wangekuwa wakubwa kuliko chama wangekuwa na moyo wa uthubutu kwa kujiondoa na hapo wangethibitisha umwamba wao. Hawa ni paper tigers, hawana lolote.
 
Wadanganyika bana kwa kuangalia personalities !!! Mi hoi !
 
Maneno matupu hayavunji mfupa. Nilitarajia akina Nape wangekuwa wanaandaa na kutekeza maazimio ya nec, kama yapo. Uvuvuzela wao unaiweka ccm pabaya.
Ngoja nikamwombe Mungu aniepushe na upayukaji.


bya.
 
wote takataka tu, najua hata tukisema siku kumi na mbili hakuna kitakachofanyika kwani JK ni kama yule nyoka asiye na sumu, so hana uwezo wa kufanya maamuzi, nasubiri kifo cha CCM kwa kuendelea kuonyesha kuwa wamejaa ahadi hewa! shame to all magamba, after magamba njooni na kuparua mapezi!
 
jambo ambalo wengi hawalijui ni kuwa lowasa na jk hawana uadui! kumlinganisha na nape ni kama tyson na matumla! lowasa ni mashine ingine, ndie pekee tumaini lililobaki kuiokoa nchi hii...
 
We want leaders with balls! Where is Mubarak today with his rhetoric over the Nile River water rights? Shinyanga, Nzega na Monduli kamwe hawatamsahau.
huyu bwana na nyerere hawaogopi wala kuwababaikia eti wazungu.........Mwalimu alimpa mzungu 24........baada ya kusema serikali ya tanzania ipo mfukoni mwake......... Lowassa kweli ana uwezo huo pia...
 
Hata ile sentensi ya 'watu wasiogope kutoa maamuzi' ilikua ni dongo kwa kina NAPE kua wasiogope, waanze kutoa maamuzi ili yeye ajibu mapigo
 
Nadhani huu wakati mwafaka kwa NAPE kujiondoa katika chama cha CCM na kujichimbia kaburi,sijui ni nani alimdaganya apambane na CAPITALIST LOWASSA NA WENZAKE WAWILI,kwa tukio la jana LOWASSA kushangiliwa kwa nguvu wakati akichangia hotuba ya waziri mkuu ilionyesha ni jinsi gani mtandao wake ulivyo nanguvu ndani ya wabunge wa CCM na ndiyo ule usemi wa kuwa asilimia 90% ya wabunge wa CCM Anawamiliki yeye jana ulidhihirisha kwa uma,NAPE anawakati mngumu sana.

WEWEE, UNAISHI ULAYA NINI? Kushangiliwa kule kwa Lowassa kulitolewa pesa mwanangu! Lowassa hafanyi kitu siku hizi bila kuchochea kwa fedha. Makofi mengi aliyopigiwa Bungeni yalilipiwa; mengi yalipigwa na Wazanzibari ambao inaaminika wanarubuniwa kwa urahisi zaidi kuliko Wabunge wengine. Wagawa fedha wakuu walikuwa Pindi Chana, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, na Peter Serukamba, Mjumbe wa NEC ya CCM!
 
sasa si mngoje siku 90 ziishe ndio
mtoe tathmini zenu?!

taharifa za chama cha magamba zinasema siku zitasogezwa mpaka 120 na si 90 mkuu , inasemekana kulikuwa na mawasiliano yanayojichanganya kati ya wajumbe wa chama ndio maana wakasema siku 90 na wengine wanasema siku 120......
lakini ukijaribu kuangalia misimamo ya wakuu wa chama hiki imepungua sana kwani Mukama anasema si lazima kufukuzana ili kuimarisha chama na wajumbe wengine wanasema ni lazima gamba liondoke , na gamba limeweza kuwasiliana na wajumbe wengi wa NEC kuhusu mustakabali wake na kabla ya kundi hili kwenda kwenye NEC litaongea na wanahabari na kuweka msimamo wao
 
hii beto ni tamu hapa ilipofikia, na ukitaka ufaidi kuiona ni vyema ukaaka kimya jukwaan kama unangalia mieleka vile then mwisho utaona anaechapwa! lets be kwayat tuone mwisho wa mbio hizi
 
Lowasa kashika mpini wa kisu, JK na Nape wameshika makali ya kisu..tuvute subira bado kidogo utaona damu
 
yule dogo ana siku 11
za nini tena?tunamwombea sana,nadhani na LOWASSA anamwombea maana siku hizi kaokoka naenda hadi kwa tb joshua nigeria.sema tunoje september si ndo mwisho wa wanaohusika na UFISADI?
 
Poor analysis. Nani hajui kwamba wengi wa wabunge wa CCM walikuwa-sponsored na Lowassa? Kushangiliwa hakumaanishi chochote zaidi ya wajibu wa wapambe kwa master wao. Mwisho wa yote maamuzi ya chama hayachukuliwi bungeni, ni kwenye vikao vya chama ambavyo tayari vimeshaamua kwamba yeye na wenzake wapotee. Wewe unashangaa yeye kutawala bunge, mbona alipomuondoa Sitta na kujigawia kamati za bunge wote tulijua kwamba vikaragosi wale walikuwa wake? In this contest, losser ni Lowassa na yeye anajua na ndiyo maana anahangaika hata kufikia kufanya outsourcing ya nguvu za giza kutoka Nigeria. Maji ya shingo!
wewe ulaaniwe kwa kuamini kwako kuwa Lowasa alifuata nguvu za giza Nigeria,una laana kwa Mungu wewe,hivi kweli Poasto wa Nigeria alipokwenda Lowasa ni nguvu za giza,tubu kabla hujapigwa na ghadhabu ya Mungu kwa kiburi chako na kukufuru,Lowasa atawashangaza wengi na hamtaamini
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom