DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Acha ufinyu wa fikra ,kwani wewe sio mwenyenchi?Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Au wewe na mwana wa nchi?
Acha ufinyu wa fikra ,kwani wewe sio mwenyenchi?Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Mwalimu fufuka please
Bora tujue mbivu na mbichi..Nape kaa kimya ndugu yangu mshukuru Mungu utatumiwa majeshi usicheze na mwenye nchi
anaongea kama mbungeNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Ahahaaa kweli wewe ni Askari Muoga,wenzako wamekamatwa na mafuta ya ndege za mkuu.Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
nape sasa hivi ni mbunge huru ataongea na wanahari kuhusu jimbo lakeNape angekausha tu,anaweza kuvuliwa uanachama kabla ya saa 4 au hata kum-Saanane,Lissu aliwaambia mapemaaaaa
Umewasahau Lukuvi&MahigaNape anajua na alijua kitakacho fuata,Mwigulu ajiandae na mwisho wa yote Makamba lazima atafuata.
Tupo katika kipindi kigumu na cha mpito,Serikali dhaifu hutumia ubabe katika kutawala,Mwisho wa yote wananchi huwa washindi.Leo Natambua kuwa kwanini tuliambiwa tukae kimya.
mm nimekata tamaa sana yani Rais anaogopesha sana dah ni Rais mzuri sana sema mh hata walimu wapya wameanza kuogopa kuwa nani atawaombea vibalimagufuli sio mwenyee nchi na hastahili kuitwa rais wa JMT. Nape kosa lake lipi?
Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Huyu alishindwa kutuachia katiba nzuri, simpendi hata kidogo.