Nape kazaliwa mjini, MTAMA anuani ya bibi yake tu. Baunsa wa kijijini hukoromewa na kijeba mjini.Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Nape kuzaliwa kwake mjini anajua kusoma upepo na madhara yake. Sina shaka na Nape
Nape kazaliwa mjini, MTAMA anuani ya bibi yake tu. Baunsa wa kijijini hukoromewa na kijeba mjini.Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Watu namna yenu ndio mnatoa kiburi kwa akina faru John. Mwana kolomije anakuwaje mwenye nchi ilhali wakati watu wanaitafuta nchi yeye na ukoo wake walikuwa wanatega tetere?Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
We kweli ni askar muoga ambae ulikimbia vita nchini kwenu, kwetu tz hakuna mwenye hati miliki ya nchi hiiNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
contradiction, Serikali dhaifu itapatawa wapi ubabe? Msiwe mnaongea bila kufikiri.Serikali dhaifu hutumia ubabe
Ndio mnajidanganya ivo
Hata huyu alikuwa mbabe!!
Ficha aibu yako kuna mtu ana hati miliki ya nchi zaidi ya Mungu mwache akatumikie wananchi wake jimboni kwake mtama kuna mtu alizaliwa rais au ndio mwisho wa kupiga kura! Time will tellNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Ndo maana ukajiita Askari Mwoga...ndo mabashite wenyewe nyinyi!Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Umesema kweli Manga MLTena kama mcharo huo ndo ubinadam tuwekege na hakiba mana tunabadilika
Mwenye nguvu mpishe nduguwe nawe wale wale, nchi ni ya wanachi na siyo Magu.
Hata kama lakini kumbuka mkubwa yule huwa hakubali kushindwaAtakua kajiuzulu kwa hiyari yake huyu jamaa.
strongly opposed to your comment, ukitaka kujua mambo we sikiliza, he is mature enough to know what/not to say. utashangaa unajua mambo ambayo usingeyajua kama asingeongea. tuliza ball young boyMaisha yanaenda kasi sana.
Mpaka sasa wewe ni hero.
You don't need kupambana nae kwa press conference. Tulia, labda kama unataka kutuambia kuwa umejiuzulu sio kwamba umetumbuliwa. Vinginevyo temana na issues za mkutano na wana habari.
LA msingi kwa politicians jueni namna ya kulinda heshima zenu. Ukiona umetofautiana msimamo na mkuu wako wa kazi hadharani... Amua moja... Kukubaliana nae ( kuvunja kamati au kutopokea taarifa yao) au kujiuzulu. Kuna maisha baada ya uwaziri, ubunge n.k. relax bro, life goes on.
Nape kaa kimya ndugu yangu mshukuru Mungu utatumiwa majeshi usicheze na mwenye nchi