Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Naona ES kajitahidi sana sana kwa kutumia hoja za nguvu!!!!! lakini it so happens kwamba nguvu ya hoja hushinda eventually. Hata aseme nini -- Nape ni msaliti tu kwa CCm -- na kwa vile chama hicho hakina direction, dira, wala credibility, ataachwa tu hivi hivi.

katika ujasiri, huwezi kumlinganisha Nape na Mpendazoe, they are a world apart! Mpendazoe wazi wazi alikihama CCM, akingia CCJ, halafu openly tena akakihama CCJ na kuingia CDM. SO OPENLY. Huyu Nape alijificha ficha hadi amekuja kugunduliwa! Aibu kubwa hii!

Many people including CCM supporters are really tired on how the party is trudging along.
 
- Unajua huwa ni rahisi sana mimi ku-figure out wewe ni nani maana maneno yako huwa ni yale tu kila wakati, very low, huna elimu, dataz vipi, baba yako, vipi huna maneno mengine mapya?

- Unataka dataz gani tena wakati sisi hapa tunakula dataz clear: 468 + 222 + 188 = 878 Million hela za walipa kodi kwa Mwenyekiti wa Chadema zimepitishwa na kamati kuu ya Chadema ambayo yeye mwenyewe Mwenyekiti ni mkuu wake: unataka dataz zipi tena?

Es!
Usitafute sympathy kwa watu sijawahi kusema huna elimu hata siku moja usijihisi ila group ulilojiunga nalo si la weledi kama la zamani kwa hiyo watu wakikujibu kama wanavyojibu hao usilalamike kwa kuwa umelichagua mwenyewe. Mfano tu hapa topic ni Nape mwanzilishi wa CCJ lakini utetezi wako unaleta data zisizohusiana na topic yenyewe maana yake ni nini umezidiwa hoja au huna hoja ni sawa na wanaopindisha hoja za thread huo ni udhaifu.
 
Ukishaisaliti demokrasia ya Tanzania basi ujue nayo itakusaliti. Nape alifanya kosa kubwa kusaliti demokrasia Tanzania, ni dhambi ambayo itamtafuna mpaka anakwenda kaburini. Nape hawezi kufikisha miaka 3 kwenye nafasi yake hiyo.....watch.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Sema what position upelekewe moto!
Ushobokewe wewe bikra? Si washakutoa pale Lumumba long time. Shimo tu kama wenzako, kichwani shimo nyuma shimo.

we zimo kweli kichwani au najibishana na chizi hapa?sioni mantiki ya hoja zako
 
Naona ES kajitahidi sana sana kwa kutumia hoja za nguvu!!!!! lakini it so happens kwamba nguvu ya hoja hushinda eventually. Hata aseme nini -- Nape ni msaliti tu kwa CCm -- na kwa vile chama hicho hakina direction, dira, wala credibility, ataachwa tu hivi hivi.

katika ujasiri, huwezi kumlinganisha Nape na Mpendazoe, they are a world apart! Mpendazoe wazi wazi alikihama CCM, akingia CCJ, halafu openly tena akakihama CCJ na kuingia CDM. SO OPENLY. Huyu Nape alijificha ficha hadi amekuja kugunduliwa! Aibu kubwa hii!

Many people including CCM supporters are really tired on how the party is trudging along.

Kweli kabisa -- Mpendazoe shujaa. Pia kuna wengine awliowahi kuhama CCM na baadaye kurudi -- Wassira, Nsanzugwanko, T. Hizza, Guninita, etc etc walifanya hivyo openly bila woga. Ntagazwa naye alihama chama chake na kuingia CDM openly, hali kadhalika Njelu Kasaka, alihama CCM akaingia CUF na tena kurudi CCM -- alifanya hivyo waziwazi.

lakini kijana huyu Nape muoga kweli kweli!
 
Nape ni mtu wa mambo ya kichini chini -- tena ni mtu wa visasi sana kama vile JK mwenyewe alivyo!
 
Jamani siasa ndiyo zilivyo mwashangaa nini Nape kuanzisha CCJ? Katika siasa ni hatari sana kuwa na marafiki zako tu pembeni yako na ndicho alichofanya Kikwete! Unahitaji maadui na wanafiki pia katika sehemu fulani fulani but u need to know them and monitor them. They are sources of infomation and your secret weapons. Unadhani JK hajui kuwa alianzisha CCJ? Kama hamuamini ngoja muone kama CCM itamchukulia hatua yoyote. Kwa MZYE kumtaja Nape sawa, atachanganya kidogo makundi yaliyomo ndani ya chama hicho ila haitakuwa na impact sana, at least for now. Labda hao wengine...
 
Wakuu zangu,

Hivi kweli hamjachoshwa na hizi siasa zakupakana tope wakati tunahitaji zaidi maendeleo?.. Imefikia hadi Bungeni hakuna kinachozungumzwa cha kulijenga Taifa bali hizi siasa za kupakana tuuu hali Ufisadi unazidi kutambaa kama baka la kutu...

Mwanzo nilipendezewa sana na mwamko wa CCM kushughulikia Mafisadi kutokana na hoja za Chadema, lakini sasa haya malumbano yamekuwa sababu ya kutotekeleza wajibu wenu tumebakia ktk ubishi na malumbano ambayo hayana tija kwa wananchi...

CCM please, mnacheza ngoma ya Chadema pasipo kuelewa kwamba mnapoteza muda.. Kazi ya Chadema kubwa ni kuonyesha mapungufu yenu ktk utekelezaji wa sera zenu, kuwadhoofisha kifikra hadi mpoteze nguvu uhalali wa kuongoza nchi hii sasa mnapopokea tuhuma hizi na kuanza kucheza nazo badala ya kushughulikia ahadi mlizowaahidi wananchi mtakuwa mnapoteza wakati muhimu sana ktk kuonyesha uwezo wenu kuongoza nchi. Chadema hawana jukumu lolote kitaifa zaidi ya kuwaumbua mnapopoteza mwelekeo na CCM kama chama kurekebisha mapungufu hayo kabla haijapoteza kabisa mwelekeo, lakini badala yake CCM imevaa khanga na njuga kuingia ktk ngoma ya mdundiko barabarani wakiacha chungu jikoni kinachemka..

Chama tawala hakitakiwi kushiriki ktk malumbano badala yake kinaonyesha kwa vitendo. Ni lini mtaudhibiti Ufisadi, kukamilisha sera na ilani zenu, ni lini mtalijenga hilo daraja la Kigamboni, ni lini mji wa Kigoma utakuwa Dubai ya Tanzania, ni lini tutaona hizo flyover kulizunguka jiji la Dar, ni lini tutamaliza matatizo ya Umeme, maji, shule na Hospital zenye vifaa na wataalam wa kutosha wakati muda ulibakia ni mfupi sana. Uwekezaji umepungua na kuathiri sana ajira, mzunguko wa fedha unapungua kwa kasi ya ajabu sana. Gharama ya maisha inapanda, wakati uzalishaji unadidimia kiasi kwamba leo hii demand ya mali kubwa lakini wananchi hawana fedha.. Hii ni recession within!

Nape, mkuu wangu, tena mshikaji hizi siasa zako zipeleke ndani ya chama na kuzifanyia kazi. hakikisha unaifanya mabadiliko ndani ya CCM kuhakikisha Ufisadi unapigwa vita kwa nguvu zote. Haya ndio mambo ambayo yanatakiwa kuonyeshwa na wewe mchungaji wa chama tawala badala ya kujiingiza ktk malumbano ambayo utetezi wenu wa kujihami nje ya itikadi hauwezi kuondoa ukweli kwamba CCM imeshindwa kutekeleza hata yale waliyo waahidi wananchi.. Hii siii tu kwa faida ya JK, chama au wewe mwenyewe bali ni dhamana ulopewa na chama ktk kulitumikia taifa kwani kiongozi mzuri huanza usimamizi bora wa kiitikadi ktk ngazi hizi na sii malumbano kutetea nani nafuu ktk Ufisadi..
 
ilikuwa vizuri Mungu hakuweka mawazo na mipango yetu kusomeka katika paji la nyuso zetu. Hata CDM kuna watu hawana nia kabisa na CDM. Likewise CCM wapo wengi kabisa wanavaa mashati ya kijani maana yanapendezesha sherehe. Wanampa mkono Mwenyekiti kanakwamba wako pamoja - ila walaaa, wanamg'ong'a mgongoni.

In politics and struggle for power, remember you always need such people - wanafiki, traitors, beacuse you somehow benefit from having them around you, but alas, watch your step! You need ze Tabwez, Lowassaz, Marandoz, Kabwez, Sittaz, and the like.
Politics is a very interesting game. I like to watch!
 
kwa sasa anapambana na nani?anapambana kuleta maendeleo au anaropoka upuuzi dhidi ya cdm!mwenye akili kidogo ccm ni magufuli maana anatamka ccm inavyojitahidi bila mafanikio sio nnape.nape karithi cheo cha baba yake moses nnauye!

Taratibu basi! Matusi hayana nafasi hapa. Kurithi au kutokurithi nafasi ya baba yake ni somo la siku nyingine. Suala hapa ni kwamba kwa nafasi yake kama Katibu Mwenezi anafanya kazi nzuri. Kama kwa maoni yako Magufuli ni mchapakazi hiyo safi. Lakini hapo utakuwa unazungumzia uchapakazi wake katika nafsi yake kama Waziri. Chadema wananikumbusha mtoto mchokozi ambaye kazi yake ni kuchokoza na kupiga wenzie kila siku. Siku akigeuziwa kibao yeye kelele zake dunia nzima itajua. Matusi ya Chadema yalidumu muda mrefu na wakawa na bahati kwamba mzee Chiligati hakuwa na ubavu wa kupambana nao. Sasa wamekutana na mwenzao na sas ni wakati wa kuanza upya ili watu warejee kwenye hoja za msingi, lakini wajue kejeli wanazozikasirikia sasa hivi ndizo ambazo wenzao CCM wamekuwa wakiziugulia kimya kimya kwa muda wote huu! Inatukumbusha kwamba siasa nzuri ni zile ambazo ni issue based na siyo kuparangana na kuvuana nguo!
 
Mimi namwangalia Nape kwa mtazamo tofauti.Ni mtu anayependa kuiona Tz inapata serikali adilifu lakini anakosa nguvu. Ndio maana hata baada ya kupata ukuu wa wilaya ameendelea kutoa kauli za kimapinduzi, wale wanaoitembelea facebook yake wanajua. Hapa ccm wamempa rungu kichaa wanajua ana uwezo wa kupambana. Tatizo ccm hawataweza kumvumilia. Nape nina uhakika atakuja CDM kabla ya 2015 na atakuja na watu wengi kama Odinga na ataivunja ccm. Nape anafanya kazi kubwa ya kuimarisha upinzani ndani ya ccm na atatu


Kutokea chini ya uelewa wangu, natambau kuwa kila raia anahaki ya kujiunga na chama chochote cha siasa!
Naweza nikakubaliana na Nape kujiunga CDM.
Lakini katu sishauri mbinu hiyo, na nyingine ya kuchukua makapi ya CCM kuyapeleka upande wa "MAGEUZI"
CDM wanaweza "kuwapokea" Nape na wenzake kama washabiki wakawaida wa cdm.
Kuna azina ya watz kubwa tu wenye vipaji na uwezoo na ubunifu na mawazo mapya kuliko hayo makapi.
Hapo kwenye red nadhani ndio litakuwa kosa kuu la CDM.
 
Mimi namwangalia Nape kwa mtazamo tofauti.Ni mtu anayependa kuiona Tz inapata serikali adilifu lakini anakosa nguvu. Ndio maana hata baada ya kupata ukuu wa wilaya ameendelea kutoa kauli za kimapinduzi, wale wanaoitembelea facebook yake wanajua. Hapa ccm wamempa rungu kichaa wanajua ana uwezo wa kupambana. Tatizo ccm hawataweza kumvumilia. Nape nina uhakika atakuja CDM kabla ya 2015 na atakuja na watu wengi kama Odinga na ataivunja ccm. Nape anafanya kazi kubwa ya kuimarisha upinzani ndani ya ccm na atatu


Nape ha fit kwenye vigezo vya chadema ...mi namuona kama yule mdudu anayebiringitaga mavi ya ngombe yule sijui anaitwaje
 
- Mkuu binafsi sijawahi kusikia Nape ametoka CCM, maneno ya CCJ sisi wote hatuyajui, nani alianzisha nani alikuwa behind it, Marando alikuwa mwenyeji san kwenye ndege ya Mkapa, sijawahi kusikia Slaa au Mbowe wakiwa kwenye hiyo ndege, unafikiri ni kwa nini?

- Halafu muulize Marando nani alimpa ubunge wa EAC?

Es!

we sijui unaishi nchni gani, yaani hujui utaratibu wa kupata ubunge wa EAC!! Aligombe Bungeni Dodoma kwa taarifa yako naona ulikuwa umesingia hapo kidogo hapo.
 
- Unajua huwa ni rahisi sana mimi ku-figure out wewe ni nani maana maneno yako huwa ni yale tu kila wakati, very low, huna elimu, dataz vipi, baba yako, vipi huna maneno mengine mapya?

- Unataka dataz gani tena wakati sisi hapa tunakula dataz clear: 468 + 222 + 188 = 878 Million hela za walipa kodi kwa Mwenyekiti wa Chadema zimepitishwa na kamati kuu ya Chadema ambayo yeye mwenyewe Mwenyekiti ni mkuu wake: unataka dataz zipi tena?


Es!

Cr@P at its's best...mzee inaonekana yale mafrustartion ya kura za maoni bdo hayajaisha.....siku hizi unamwaga upupu tu

 
Mbona siwaoni viongozi wa cdm humu kama ilivyokuwa huko nyuma?Ni muhimu wakatoa ufafanuzi kuhusu hili.Kama ni uongo waseme ni uongo na sababu ni so and so.Al Gore alipokuwa akipiga debe kuhusu global warming.Walimponda kutokana na maisha yake aliyokuwa akiishi kutofautiana na yale aliyoyapreach.Mifano kama ya ndege alizokuwa akitumia,energy kwenye nyumba zake nk vilikuwa scrutinized,i mean you gota talk the talk and walk the walk...Kama ni kweli katibu mkuu wa cdm analipwa zaidi ya katibu mkuu wa ccm,then there are some serious questions.

Indeed there are, and sadly those questions have gone unanswered!
 
Wanasiasa walio wengi duniani wana malengo zaidi ya yale wanayowaeleza wananchi. Huwezi kuwa mwanasiasa kama huna madaraka lasivyo utakuwa mwanachama wa chama kama wananchi wengine. Kwa hiyo wote hawa wanafanana sana katika malengo yao katika siasa ya kutaka madaraka. Mpendazo alihama CCM kwa kutaka Madaraka, Nape alitaka kuhama kwa kutaka Madaraka, Dr. Slaa alihama CCM kwa kutaka Madaraka, Tambwe alihama CUF kwa kutaka Madaraka. Hakuna kingine hapo.

Tena bora hata Hizza Tambwe alihama wakati ambao siyo wa uchaguzi. Dr Slaa alihama wakati wa uchaguzi baada ya kushindwa katika contest na kwa sababu aliutaka sana ubunge hakutaka hata kupoteza muda. Akaruka ukuta!
 
Back
Top Bottom