Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Bwana Butola kama unadhani hii ni strength kwa Nape ni mawazo yako wengine tunaona ni kama kijana kadandia treni kwa mbele, unafikiri ndani ya CCM hakuna watu wanaoweza kusema kama anavyofanya yeye, jibu ni rahisi tu wanajijua madhambi yao hawataki kuanzisha vita vya mawe wakati wao wako kwenye nyumba ya kioo, wamemtanguliza Nape kama kafara wao sasa aangalie watakavyomruka hataamini macho yake. Ni hivi karibuni tu utasikia Nape anavutwa shati na kutulizwa amuulize Magufuri na Tibaijuka, si umesikia kuna vigogo sita waanzilishi wa CCJ ambao bado wako CCM na vyeo vyao sasa unadhani watapenda kutajwa kama alivyotajwa Nape.
napita tu
 
Back
Top Bottom