Nape na hii Picha aikate akaseme hajawahi kutaka kujivua gamba, Maskini vuvuzela la Fisadi Kikwete limeshikwa pabaya
Nape na hii Picha aikate akaseme hajawahi kutaka kujivua gamba, Maskini vuvuzela la Fisadi Kikwete limeshikwa pabaya
Wewe unacheza na ahadi nini unafikiri ukiahidiwa leo kesho unakuwa DC inaweza kuchukua mwaka.
"Nape alibadili mawazo ya kutaka kuihama CCM baada ya Rais Jakaya Kikwete kumteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Masasi, kwa kuwa alikuwa na uchu wa madaraka ,".
Msajili wa vyama vya siasa John Tendwa, alikinyima usajili CCJ, 5 Feb 2010. Nape Nnauye ameteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Masasi, 18 Sep 2010..
nakubaliana na wewe kwamba picha iko edited,...Wana JF...Mnyonge mnyongeni Haki yake Mpeni...Hii picha wamei-doctor coz siku hii Nape Hakuwepo hapa.....
Ha ha haa Mkuu Umeanza Kushabikia Gazeti la Mzalendo siku hizi
Wana JF...Mnyonge mnyongeni Haki yake Mpeni...Hii picha wamei-doctor coz siku hii Nape Hakuwepo hapa.....
Sio kushabikia mkuu, ule ufisadi umeniacha hoi bin taabani...
sidhani kama hii picha ni halisi,..
i mean nadhani ni photoshoped,maana kama alikua anaongea
na waandishi wa habari kwanini hawakuripoti toka zamani?
Sawa CCJ KILINYIMWA USAJIL MWEZ feb.2010 na akateuliwa sept.2010 PIA TAMBUA ALIHAIDIWA HUO UKUU JAN.2010...afadhal leo mpendazoe kamtaja mana watu walikuwa na kiu ya kuwajua vigogo sita waanzilish wa CCJ AT LAST LEO WAMEJUA...BADO WATAJUA MENGI
Hiyo picha hapo juu mme-i- photoshop