William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
Chadema mbona Nape anawasumbua sana! Mwacheni Nape na CCM yake naona Nape ametawala sana hapa JF! Nape anawapa presha sanaaaaaaaaaaa!
- Incredible mkuu!
Es!
Chadema mbona Nape anawasumbua sana! Mwacheni Nape na CCM yake naona Nape ametawala sana hapa JF! Nape anawapa presha sanaaaaaaaaaaa!
tutasikia mengi mwaka huu, kwani cdm wanacheza makida makida wamekuja na hoja nyingine, wameachana na ufisadi na katiba mpya, kipya sasa ni nape, tangu nape atoa makombora, siku hizi kila kiongozi wa cdm akipanda jukwaani anafungulia kaseti ta wimbo wa nape tu. Angalizo muachane na siasa za jina moja, nape mugeukie namna ya kutatua kero za watz!
Mkipewa tshirt na 10k ya kula ubwabwa chuoni mnakurupuka tu!
Mnusa kinyesi.
- This is very interesting, maana looking at the times lini CCJ ilikufa na lini Nape ameenda kuwa DC Masasi haikubaliani kabisa, however Mpendazoe angeenda mbele zaidi kwamba anamuonaje Marando? Mtei ambaye naye alitokea CCM? anamuonaje Dr. Slaa ambaye naye alitokea CCM na alijitoa tu baada ya kunyimwa nafasi ya kugombea ubunge Karatu? anamuonaje Shibuda? Seif Hamadi? Na yeye mwenyewe anajionaje?
- Point yake ni nini hasa kwamba ni makosa kwa kiongozi kubadili au kutaka kubadili mawazo ya kisiasa? I am lost hapa!, I mean talking about unafiki wa kisiasa? Nani ni mnafiki hapa?
William @ NYC, USA.
Very low mkuu zile hot datas zako siku hizi sizioni au mirija imekatwa kwa vile nakuona umejiunga na viwavi, sikutegemea utashuka kiasi hiki LOL!!.- Halafu Mwenyekiti anawadai Chadema Shillingi Millioni 188 zingine za awali, malori Shillingi millioni 468, vipaza sauti Shillingi Millioni 222, jumla 468 + 188 + 222 = Millioni 878
- Halafu kamati kuu ya Chadema ambayo yeye mwenyewe ni Mkuu wake, imethibitisha alipwe hizo hela na chama, ukistaajabu ya CCM utaona ya Chadema, thaanks Nape tusingeyajua haya!
Es!
- This is very interesting, maana looking at the times lini CCJ ilikufa na lini Nape ameenda kuwa DC Masasi haikubaliani kabisa, however Mpendazoe angeenda mbele zaidi kwamba anamuonaje Marando? Mtei ambaye naye alitokea CCM? anamuonaje Dr. Slaa ambaye naye alitokea CCM na alijitoa tu baada ya kunyimwa nafasi ya kugombea ubunge Karatu? anamuonaje Shibuda? Seif Hamadi? Na yeye mwenyewe anajionaje?
- Point yake ni nini hasa kwamba ni makosa kwa kiongozi kubadili au kutaka kubadili mawazo ya kisiasa? I am lost hapa!, I mean talking about unafiki wa kisiasa? Nani ni mnafiki hapa?
William @ NYC, USA.
Ha ha ha!Because it is now a joke.Hivi kwa nini nikisikia jina la CCJ naanza kucheka?
Kwanini unasema hivyo William!
Hao uliowataja una maana pia walitapika na kulamba matapishi yao kama Nape! yaani aliondoka CCM kwa sababu ya Tamaa ya madaraka na alipopewa cheo fulani alirejea na kugeuka mpango fulani waliopanga kwa maslahi mapana zaidi ya chama husika? Discuss!!
Pia kama kumbukumbu zangu zipo sawa Marando aliwai kutamka hadharani kuwa hajawai kuwa Kada wa CCM hatokuingia CCM Milele kama unaushahi kuwa alikwa Kada wa CCM kama Nape ebu zilete ilitumwombe ufanunuzi.
Peoplezzzzz power!!
We endelea na propaganda tu zisizo na mashiko.
Nape ni kijana aliyeonyesha umbumbumbu wake hadharani. Mtaani tungemwita **** tu!
Very low mkuu zile hot datas zako siku hizi sizioni au mirija imekatwa kwa vile nakuona umejiunga na viwavi, sikutegemea utashuka kiasi hiki LOL!!.
Nape sasa ndio mwanasiasa maarufu bongo! Anatisha yuko juu!
Kwenye bold mfupa uliomshinda Makamba Nape atauweza? hawa jamaa hawafanyi homework kuwa personal attacks hazisaidii hasa kwa mtu hot kama Slaa kwa wakati huu maana nilimsikia Nape akitamba kule Singida kuwa atakwenda na Slaa mguu kwa mguu nikajiuliza hivi wanaCCM walichomtuma ndicho hicho anachokitafuta na je ameshamaliza kusafisha nyumba yake hadi aanze ya jirani matokeo yake badala ya kupigwa kombora na Slaa anapigwa kombora kutoka asikotarajia.CDM wamejikita katika kuzungumzia kero za wananchi na kuwafungua wananchi kuhusu kudai haki zao, Ila huyo bwana mdogo Nape amejifanya kwenda personal, na akaapa kula sahani moja na Dr. Slaa, wacha aonje joto ya jiwe, mfupa kaushindwa fisi mbwa atauweza?? Aangalie timu ilikokuwa nyuma ya personal attacks kwa Dr. Slaa wakati wa kampeni, halafu ajilinganishe na yeye aone ipi inamziki mzito, then ajiulize walimuangusha Dr ?
Very low mkuu zile hot datas zako siku hizi sizioni au mirija imekatwa kwa vile nakuona umejiunga na viwavi, sikutegemea utashuka kiasi hiki LOL!!.