Nape na ombi la CAG kukagua mikopo; kuna watu wamepanic!

Huo ukaguzi uanzie awamu ya 3 ya mzee wa lupaso, had hii ya 6 ya bibi wa unguja, ili tujue ukweli wote hapa.

Sio awamu 1 tyuuh itakua madangi sasa, khaaaah
 
Mbona kama najua Jidula Mabambasi alishafariki? Samahani lakini yawezekana nina taarifa potofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…