Hapa Jf mmoja wao ni jingalao
Nae ameanza kutaka ukaguzi pia ufanyike kwenye matumzi ya fedha za ziara ya Kinana na Nape.
Yaani ni full migambo wanaruka na kukanyagana!!!
Issue sio hoja issue ni credibility ya mleta hoja! Ndugai alikua radhi kuibaka katiba kufanya kila awezalo kumuwezesha Mwendazake kufanya analojisikia. Leo all over suddenly awe na uchungu na nchi kisa mikopo, we sio kweli!