Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Jamani jamani, tunataka viongozi manaotoa dira ya dhati kwa maendeleo ya taifa. Kama tunaona ni busara kutaja madhaifu ya mtu m1 m1 kuwa ndiyo mahitaji ya msingi ya mtanzania!? Tumepotea sana. Nyerere ataendelea kuwa "nabii"!