Kuna taarifa kua Nape nnnayuye atatoa list ya mafisadi ndani ya chadema,..
naomba mwenye updates atupatie huko aliko,...
update:
inasemekana kumbe alicho ongelea chenyewe ni kile kile cha siku zote,...
huyu mkuu atatueleza zaidi kilicho jili
na huyu anareport hivi:
Huyu ndio msemaji wa CCM au kuna mwingine tumngoje?