Nape na mafisadi wa CHADEMA

Nape na mafisadi wa CHADEMA

Ama kweli hakuna mwenye nafuu CCM hata mmoja...badala ya kujibu hoja kwa hoja wao wanakuja na blah!blah!...hoja ya magamba na siku 90 haieleweki, mara wanakuja na hili la mafisadi wa CDM....Slaa aliwaambia anayeona kasingiziwa aende mahakamani wao badala ya kuwasupport waliosingiziwa ili wakisafisha chama wanapiga blah bhah tu
Hoja gani ya kujibiwa?
 
Hivi kweli tumeshindwa kabisa kuamshana na kushindana kwa hoja? Nadhani nape ni makini sana, sidhani kama na yeye ataingia katika mtego wa orodha maana katika mazingira ya azimio la zanzibar, there is a very thin line between fisadi na tajiri. Let us focus on key issues zinazowagusa wananchi jamani, ufisadi upigwe vita but usisimamishe mambo mengine muhimu, kama vita inanoga hivyo, basi tuunde vitengo kwenye vyama vyetu kupiga vita ufisadi e.g. katibu idara ya kupiga vita ufisadi🙂 ili wengine waendelee na mambo mengine muhimu (sina maana vita dhidi ya ufisadi sio muhimu).

Ndugu yangu nilikuwa nakuheshimu sana , tena nikadani wewe ni kijana makini kumbe bure kabisa you deservr to wear that green Gamba, yaani wewe ufisadi unaosababisha nchi isiende unaona tuuache , tujadili nini sasa wewe na rais wako aliyeenda kutembela wagonjwa hospital na kuona tu jinsi wanavyoteseka bila hta kupeleka dawa kwa kuwa hazikuwepo mnafanana for each and everything, usifikiri watu ni wajinga kama wewe ulivyo, pia Nape siyo Makini kama unavyodai, mtu yeyote aliye makini hawezi kuteuliwa na Jk akakubali au tuonyeshe ni kipi alichowahi kufanya Nape akaonekana makini dont rose from now where na uanze kudanganya na kuleta story zenu za magamba hapa
You are young like us lakini unachozungumza it like kimezungumzwa na mzee wa umri wa kingunge , leo watumishi wa umma hawajalipwa mishahara sababu ya ufisadi, barabara haziishi cause of ufisadi,madawa hospital ,mashule, no walimu, mikataba mibovu, viongozi wabovu kama wewe,nchi kukosa dira pamoja na mengine yafananayo na hayo yote ni kwa sababu ya UFISADI

SASA KWA AKILI YAKO UNATAKA TUJADILI NINI?
THINK BEFORE YOU ACT
 
Kwani serikali ya CCM imewahi kuteuwa wanachama kutoka Chadema kuwa viongozi wa juu wa serikali na taasisi zake katika zile nafasi nyeti za kufanza ufisadi?

Nape asituijie na mambo ya ruyzuku ya vyama na kusema eti ndiyo ufisadi, au mambo ya mamilioni machache ambayo hayalingani na mabilioni ya ufisadi ndani ya CCM na serikali yake.
ruzuku mlioyotumia kununua magari machakavu ni ufisadi wa hali ya juu
 
Kwani ufisadi ni nini?
au ufisadi unakua ufisadi pale tu unapo kua unaongoza serikali?
Dr.Slaa alimtaja mangula aliye kua katibu mkuu wa ccm kama fisadi,
au naye pia alikua kiongozi wa serikali?

Tatizo sio kutaja,tatizo ni kuwa na uwezo wa kusimama na kutaja,..
naamini siku itaisha hajafanya kitu,ila wakitaja pia ni mwanza wa
chadema kuondoa magugu,..
kusema kwamba ufisadi wa ruzuku ndogo za chama sio ufisadi tuna jidanganya,...
hao unao waona mafisadi wadogo siku wakishika nchi na level ya ufisadi wao itaongezeka,..

It's time to make chadema clean for the take over,and we need some one outside chadema
to point out the weakness chadema has,...and the time is now.

This is the most candid admission ever to be given by a CDM sympathiser. You have really made a wonderful statement of intent and revealed what other people would sweep under the carpet.
 
Ndugu yangu nilikuwa nakuheshimu sana , tena nikadani wewe ni kijana makini kumbe bure kabisa you deservr to wear that green Gamba, yaani wewe ufisadi unaosababisha nchi isiende unaona tuuache , tujadili nini sasa wewe na rais wako aliyeenda kutembela wagonjwa hospital na kuona tu jinsi wanavyoteseka bila hta kupeleka dawa kwa kuwa hazikuwepo mnafanana for each and everything, usifikiri watu ni wajinga kama wewe ulivyo, pia Nape siyo Makini kama unavyodai, mtu yeyote aliye makini hawezi kuteuliwa na Jk akakubali au tuonyeshe ni kipi alichowahi kufanya Nape akaonekana makini dont rose from now where na uanze kudanganya na kuleta story zenu za magamba hapa
You are young like us lakini unachozungumza it like kimezungumzwa na mzee wa umri wa kingunge , leo watumishi wa umma hawajalipwa mishahara sababu ya ufisadi, barabara haziishi cause of ufisadi,madawa hospital ,mashule, no walimu, mikataba mibovu, viongozi wabovu kama wewe,nchi kukosa dira pamoja na mengine yafananayo na hayo yote ni kwa sababu ya UFISADI

Huu ni umbumbumbu wa hali ya juu. Yaani kwa sababu anafanya ufisadi mdogo aachwe tu asiguswe eti kwa sababu hakuna madhara ya ufisadi huo kwa umma, wakati hizo nazo ni kodi za wananchi? Hivi unadhani mbuyu si ulianza kama mchicha?

Yaani unadhani kukataa uteuzi ndiyo measure ya usafi? Ndugu yangu fungua macho na uache ushabiki uliojaa upofu. Jamaa ana msimamo ulio thabiti na ni msafi lakini dhambi yake ni kwa sababu anagusa pale mnapoona nyie kuwa ni mahali nyeti lakini ufisadi unaoendelea huko CDM tena kwa fungu hilo dogo ni mkubwa na unajiuliza kama wangekuwa wamekalia mabilioni hali ingekuwaje!
 
Mbopo una matatizo makubwa sana.
Upo ki govi govi tu! Hakuna kitu!
 
Kazi kwelikweli, awataje hao mafisadi cdm tupime na kuchukua hatua, lakini yeye alisema barua ziko tayari kuwakabidhi hao mapacha watatu hadi leo kimya na sasa amebadili topic toka kuwashughulikia waliondani ya magamba hadi sasa yuko cdm kushughulikia mafisadi. Kweli sisiem ni Sikio la kufa .................
 
This is the most candid admission ever to be given by a CDM sympathiser. You have really made a wonderful statement of intent and revealed what other people would sweep under the carpet.

If we want to have a better government we have to prepare it now,and we don't need to prepare
it by hiding some facts,...
 
mKUU,
Tuambie mwenzetu umepata wapi taarifa hizi, au hata kama chanzo ni wewe mwenyewe tujuze!

In case list hii ikitajwa, basi itakuwa ni alarming bell kwa cdm ku'stick kwenye kile wanachohubiri kila siku kwa umma wa Watanzania!
Lakini pia, tendo hili linaweza kumharibia sana Nape in case asipokuwa makini, na aka'miss-project! Ataonekana boya fulani lisilojua hasa anachotakiwa kukifanya kwa nafasi aliyopewa katika chama cha magamba!
Namtakia kila la heri kijana huyu!

mkuu hii nimeitoa kwenye gazeti lao la propaganda la
jamba leo,...
kwakua walikua wana waambia wana ccm wenzao,nimeona wakitaja hayo
majina,chadema wasijibu kama ccm kua "sio kweli" ila wayafanyie uchunguzi.
Na kama hao mafisadi wata kuwepo kweli basi chadema ioneshe mfano wa
jinsi itakavo pambana na ufisadi ikichukua uongozi wa Tanganyika,...
kama nilivo sema hapo juu,sijasikia popote akitaja,labda tusubiri magazeti ya kesho
 
Ndugu yangu nilikuwa nakuheshimu sana , tena nikadani wewe ni kijana makini kumbe bure kabisa you deservr to wear that green Gamba, yaani wewe ufisadi unaosababisha nchi isiende unaona tuuache , tujadili nini sasa wewe na rais wako aliyeenda kutembela wagonjwa hospital na kuona tu jinsi wanavyoteseka bila hta kupeleka dawa kwa kuwa hazikuwepo mnafanana for each and everything, usifikiri watu ni wajinga kama wewe ulivyo, pia Nape siyo Makini kama unavyodai, mtu yeyote aliye makini hawezi kuteuliwa na Jk akakubali au tuonyeshe ni kipi alichowahi kufanya Nape akaonekana makini dont rose from now where na uanze kudanganya na kuleta story zenu za magamba hapa
You are young like us lakini unachozungumza it like kimezungumzwa na mzee wa umri wa kingunge , leo watumishi wa umma hawajalipwa mishahara sababu ya ufisadi, barabara haziishi cause of ufisadi,madawa hospital ,mashule, no walimu, mikataba mibovu, viongozi wabovu kama wewe,nchi kukosa dira pamoja na mengine yafananayo na hayo yote ni kwa sababu ya UFISADI

Huu ni umbumbumbu wa hali ya juu. Yaani kwa sababu anafanya ufisadi mdogo aachwe tu asiguswe eti kwa sababu hakuna madhara ya ufisadi huo kwa umma, wakati hizo nazo ni kodi za wananchi? Hivi unadhani mbuyu si ulianza kama mchicha?

Yaani unadhani kukataa uteuzi ndiyo measure ya usafi? Ndugu yangu fungua macho na uache ushabiki uliojaa upofu. Jamaa ana msimamo ulio thabiti na ni msafi lakini dhambi yake ni kwa sababu anagusa pale mnapoona nyie kuwa ni mahali nyeti lakini ufisadi unaoendelea huko CDM tena kwa fungu hilo dogo ni mkubwa na unajiuliza kama wangekuwa wamekalia mabilioni hali ingekuwaje!

usiwe kama pimbi wewe, msimamo gani alio nao au shda na njaa ndiyo zinazomsumbua? msimamo gani mbona alitamaba anatoa barua kwa RA, EL na mzee wa vijisent mbona amekimbia , hiyo ngoma imemshinda hata mkuu wa kaya Vuvuzela litaweza?
Nape mropkaji na mpuuzi kama wewe, sidhani hata kama huwa unatumia akili kufikiri, labda unatumia ngozi sasa baada ya gamba kutoka umejikuta akili nay imeenda ni BORA HATA YUSUF MAKAMBA KULLIKO WEWE NA NAPE
 
Here we are. tumechoka na wimbo wa ufisadi, tubadilishe chorus, tufanye mambo ya msingi.

Sizani kama ufisadi ni wimbo bali ni vita so hatuwezi kuacha kupigana vita hii ya ufisadi no matter umefanyika wapi CDM au CCM Ila kama unaathiri maisha ya mtanzania then lazima ipingwe,
Just imagine kama kila mwananchi akawa ethical kwa kila kitu unadhani Tanzania ingekuwa vipi? Tafakari chukua atua
 
Hivi kweli tumeshindwa kabisa kuamshana na kushindana kwa hoja? Nadhani nape ni makini sana, sidhani kama na yeye ataingia katika mtego wa orodha maana katika mazingira ya azimio la zanzibar, there is a very thin line between fisadi na tajiri. Let us focus on key issues zinazowagusa wananchi jamani, ufisadi upigwe vita but usisimamishe mambo mengine muhimu, kama vita inanoga hivyo, basi tuunde vitengo kwenye vyama vyetu kupiga vita ufisadi e.g. katibu idara ya kupiga vita ufisadi🙂 ili wengine waendelee na mambo mengine muhimu (sina maana vita dhidi ya ufisadi sio muhimu).
Well stated mkuu!
 
Kaongelea hayo hayo maununuz wa magar chakavu na mshahara mil.7.wa dr.slaa
 
Hivi kweli tumeshindwa kabisa kuamshana na kushindana kwa hoja? Nadhani nape ni makini sana, sidhani kama na yeye ataingia katika mtego wa orodha maana katika mazingira ya azimio la zanzibar, there is a very thin line between fisadi na tajiri. Let us focus on key issues zinazowagusa wananchi jamani, ufisadi upigwe vita but usisimamishe mambo mengine muhimu, kama vita inanoga hivyo, basi tuunde vitengo kwenye vyama vyetu kupiga vita ufisadi e.g. katibu idara ya kupiga vita ufisadi🙂 ili wengine waendelee na mambo mengine muhimu (sina maana vita dhidi ya ufisadi sio muhimu).

Mchambuzi heshimu mkuu,
Kwanza Nape sio makini kabisa, angekuwa makini na ujana wake asinge ropoka, kama kweli hawakujadiliana kuwafukuza mafisadi , kwanini aje na uzushi, sasa mafisadi hawafukuzwi na bado mnamwita makini labda umakini CCM unamaana nyingine.

Ndugu Mchambuzi, ukiwa mtaalamu wa uchumi nafikiri unajua kabisa huwezi kuendelea kuendesha nchi kwa kukusanya mapato kama kuna wizi, rushwa, mikataba mibovu na uzembe unaosababisha serikali kushindwa kujiendesha na kuletea wananchi wake maendeleo. Kukataa kuliongelea hili tatizo ni kuficha maradhi.

Wizi, rushwa, mikataba mibovu na aina yote ya ufisadi ndio vinasababisha hasara kubwa sana ya mapato ya taifa. Rushwa imesababisha mpaka leo nchi ipo gizani ikisaidiwa na mikabata mibovu, angali IPTL, Richmond nk. Na Rushwa hii inazaa kukataa miradi yote ya kudumu ya nishati kwani wanakula kwenye mikataba ya mlipuko hawako tayari kuiona serikali wanayoitumikia ikitatua tatizo.

Kama umewahi kungalia ripoti ya CAG utaona fedha nyingi zinavyopotea kwenye mikono ya mafisadi, ukusanyaji wa ushuru, matumizi mabovu ya halamashauri, ikulu, na wizara karibu zote. Nchi ingeweza kujiendesha kwa asilimia kubwa kama tungeziba mianya ya ufisadi wa aina yote kwa asilimia angalau 75.

Mfumuko wa bei unasababishwa na fedha chafu za ufisadi. Leo mtu kaiba bilioni kadhaa anataka kiwanja kwa bei yeyote, wanapandisha bei ya bidhaa kwani hawana jasho na fedha, na tuposema ufisadi tunamaanisha kuanzia rushwa za bandari, TRA, Polisi, mahakama, wizara, hospitali nk. Kama wengi wenye akili wang'eishi kwa pato halali mfumoko wa bei using'ekuwa mkubwa hivyo. Ila kubwa zaidi ni pale serikali inaposhindwa kuziba mianya ya wizi, rushwa, na uzembe hata pale ilipowazi kuona.

Kwa hiyo mheshimiwa mchambuzi, unataka tuakae kimya haya yote yakitokea ukitegemea nchi kuendelea. Kweli mchambuzi nawe hutaki kuwa bilionea kwa pato halali kwa miaka minne kama Riz1? Kwanini tusiambiwe hizo biashara halali au ni kodi za wananchi? Fedha zinazopotea kwa wasteful spending zinaweza kuifanya nchi indelee hata centimeters kadhaa kwa mwaka.

Mtaalalumu yeyote au mshauri yeyote kabla hajashauri lazima ajue matatizo yako kwa kina kabla hajakusaidia kuyatatua. na ni kawaida ya wanaoshindwa kuogopa kusema nini matatizo na wanayaogopa hata kuyataja.

Mchambuzi naomba utuletee kitu zaidi kinachotufanya masikini zaidi ya Rushwa, uzembe, wizi, mikataba mibovu, ubakaji wa demokrasia na kutokuwajibika na kwa neno moja tunaita UFISADI.
 
Hivi kweli tumeshindwa kabisa kuamshana na kushindana kwa hoja? Nadhani nape ni makini sana, sidhani kama na yeye ataingia katika mtego wa orodha maana katika mazingira ya azimio la zanzibar, there is a very thin line between fisadi na tajiri. Let us focus on key issues zinazowagusa wananchi jamani, ufisadi upigwe vita but usisimamishe mambo mengine muhimu, kama vita inanoga hivyo, basi tuunde vitengo kwenye vyama vyetu kupiga vita ufisadi e.g. katibu idara ya kupiga vita ufisadi🙂 ili wengine waendelee na mambo mengine muhimu (sina maana vita dhidi ya ufisadi sio muhimu).

Mchambuzi heshimu mkuu,
Kwanza Nape sio makini kabisa, angekuwa makini na ujana wake asinge ropoka, kama kweli hawakujadiliana kuwafukuza mafisadi , kwanini aje na uzushi, sasa mafisadi hawafukuzwi na bado mnamwita makini labda umakini CCM unamaana nyingine.

Ndugu Mchambuzi, ukiwa mtaalamu wa uchumi nafikiri unajua kabisa huwezi kuendelea kuendesha nchi kwa kukusanya mapato kama kuna wizi, rushwa, mikataba mibovu na uzembe unaosababisha serikali kushindwa kujiendesha na kuletea wananchi wake maendeleo. Kukataa kuliongelea hili tatizo ni kuficha maradhi.

Wizi, rushwa, mikataba mibovu na aina yote ya ufisadi ndio vinasababisha hasara kubwa sana ya mapato ya taifa. Rushwa imesababisha mpaka leo nchi ipo gizani ikisaidiwa na mikabata mibovu, angali IPTL, Richmond nk. Na Rushwa hii inazaa kukataa miradi yote ya kudumu ya nishati kwani wanakula kwenye mikataba ya mlipuko hawako tayari kuiona serikali wanayoitumikia ikitatua tatizo.

Kama umewahi kungalia ripoti ya CAG utaona fedha nyingi zinavyopotea kwenye mikono ya mafisadi, ukusanyaji wa ushuru, matumizi mabovu ya halamashauri, ikulu, na wizara karibu zote. Nchi ingeweza kujiendesha kwa asilimia kubwa kama tungeziba mianya ya ufisadi wa aina yote kwa asilimia angalau 75.

Mfumuko wa bei unasababishwa na fedha chafu za ufisadi. Leo mtu kaiba bilioni kadhaa anataka kiwanja kwa bei yeyote, wanapandisha bei ya bidhaa kwani hawana jasho na fedha, na tuposema ufisadi tunamaanisha kuanzia rushwa za bandari, TRA, Polisi, mahakama, wizara, hospitali nk. Kama wengi wenye akili wang'eishi kwa pato halali mfumoko wa bei using'ekuwa mkubwa hivyo. Ila kubwa zaidi ni pale serikali inaposhindwa kuziba mianya ya wizi, rushwa, na uzembe hata pale ilipowazi kuona.

Kwa hiyo mheshimiwa mchambuzi, unataka tuakae kimya haya yote yakitokea ukitegemea nchi kuendelea. Kweli mchambuzi nawe hutaki kuwa bilionea kwa pato halali kwa miaka minne kama Riz1? Kwanini tusiambiwe hizo biashara halali au ni kodi za wananchi? Fedha zinazopotea kwa wasteful spending zinaweza kuifanya nchi indelee hata centimeters kadhaa kwa mwaka.

Mtaalalumu yeyote au mshauri yeyote kabla hajashauri lazima ajue matatizo yako kwa kina kabla hajakusaidia kuyatatua. na ni kawaida ya wanaoshindwa kuogopa kusema nini matatizo na wanayaogopa hata kuyataja.

Mchambuzi naomba utuletee kitu zaidi kinachotufanya masikini zaidi ya Rushwa, uzembe, wizi, mikataba mibovu, ubakaji wa demokrasia na kutokuwajibika na kwa neno moja tunaita UFISADI.
 
Tunamkaribisha sana tena kwa mikono miwili...!! alete hiyo list watu wataifanyia kazi kama ni ya ukweli...!!! Ila me nataka kumuuliza Nape, vp mbona petrol inayounguza nyumba yakO haidispose anataka kwenda kuanza kuchunguza nyumba za watu kama nazo zina hiyo bizaa ndani..!! JIOKOE KWANZA WW NAPE ACHA KUKURUPUKA...!! MTATEKETEA OOHOOO...
 
Back
Top Bottom