Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 575
sasa uo mkutano auwatingish cdm hata wawepo mawazari
SASA WEWE MKIGOMA NI KAFU, IMEKUAJE TENA LEO UMEHAMIA CCM??
kale kamsemo ka wanakafu kuliwa na ccm ni kweli?
nimekwambia mimi nipo hapa nyumbani ujiji kigoma nawasikia wanaongea, mimi nilichofanya ni kuripoti kosa langu ni lipi? mpaka unitukane? mwezi wa mfungo huu.
hivi posho za propeganda mtandaoni za pale lumumba zimetoka? nitonye mshikaji nami niwahi changuimekuwa ndio mazungumzo katika kila kona na vijiwe, wengi wao wamesema tumechoka na hiki chama cha cdm kwa ubaguzi wanaoufanya kwa zitto kabwe kwa kuwa tu katangaza nia yake ya kugombea urais anakuwa anapigwa vita na watu wa kaskazini, wanasema kigoma ilikuwa ngome ya chadema lakini sasa tumechoka na chama, tunaamua kurudi CCM kwanza wametekeleza kwa 90% yale yote waliyoahidi kwa mkoa wetu, hatuoni sababu ya kuendelea tena kukikumbatia chama kina choendesha endesha siasa zake kwa kutumia udini na ukabila!!! tunarejea kwa mama. walisema wakazi hao wa ujiji.
njooni huku tuwakadhi hizi kadi za chadema muwapelekee huko moshi, tumekichoka chama hiki kwa ukabila na udini.
Jamani hata kama mnalipwa ili kutuma propaganda zenu humu JF muwe anagalau mnafikiri na kutuma thread ambazo zina mantiki kidogo ili wajinga ndiyo wasiweze kutambua ukweli. Jimbo la Kigoma mjini ni la magamba, iweje leo hii warudishe kadi za CDM? au ni kinyume chake hiyvo tutakuelewa. ungesema jimbo la Kigoma kusini kwa Mh.Zitto sawa sababu kule ni CDM. Au kwa sababu watu wengi hawaijui Kigoma ndiyo maana unaamua kuwachangaya akili zao kwa propaganda hizi? Ungejua Kigoma walivyo na hasira na magamba usinge sema. Hawa ndiyo wameitupa Kigoma tokea uhuru na wamekwisha pata mkombozi wao ambaye ni CDM. Acha upuuzi wako..Pia mbunge wa Kigoma mjini alichakachua kura kwenye uchaguzi wa 2010 na watu wana hasira naye. Watu wanataka waone utekelezaji wa ahadi kwa vitendo na siyo mikutano ya hadhara. Hivi magamba hamuelewi jambo hili? mikutano hii haitowanusuru mtakufa tu!
SASA WEWE MKIGOMA NI KAFU, IMEKUAJE TENA LEO UMEHAMIA CCM??
kale kamsemo ka wanakafu kuliwa na ccm ni kweli?
CCM yapumulia mashine
• Ajali ya mv Skagit, urais 2015 vyaitesa
na Mwandishi wetu
UPEPO wa mabadiliko ya kisiasa uliozikumba nchi nyingi duniani, unaelekea kukiathiri Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho sasa kinahaha kujinusuru kung'oka madarakani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Chama tawala hivi sasa kina msuguano mkubwa wa kiuongozi ambapo baadhi ya viongozi wake wamekuwa wakimshutumu Katibu Mkuu, Willison Mukama, kwa kukwamisha mikakati ya kujiimarisha na kurejesha matumiani yaliyofifia miongoni mwa wanachama wake.
Licha ya Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, wiki hii kukanusha kutokuwa na msuguano na Mukama, makada wa chama hicho wamelidokeza Tanzania Daima Jumapili, kuwa vita ya makundi ya kuwania uongozi na ile ya ufisadi inakitesa chama hicho.
CCM yapumulia mashine
Aisee Janjaweed umeniwahi nguli mwenzangu...
Jamaa itakuwa anawashwa washwa
imekuwa ndio mazungumzo katika kila kona na vijiwe, wengi wao wamesema tumechoka na hiki chama cha cdm kwa ubaguzi wanaoufanya kwa zitto kabwe kwa kuwa tu katangaza nia yake ya kugombea urais anakuwa anapigwa vita na watu wa kaskazini, wanasema kigoma ilikuwa ngome ya chadema lakini sasa tumechoka na chama, tunaamua kurudi CCM kwanza wametekeleza kwa 90% yale yote waliyoahidi kwa mkoa wetu, hatuoni sababu ya kuendelea tena kukikumbatia chama kina choendesha endesha siasa zake kwa kutumia udini na ukabila!!! tunarejea kwa mama. walisema wakazi hao wa ujiji.
imekuwa ndio mazungumzo katika kila kona na vijiwe, wengi wao wamesema tumechoka na hiki chama cha cdm kwa ubaguzi wanaoufanya kwa zitto kabwe kwa kuwa tu katangaza nia yake ya kugombea urais anakuwa anapigwa vita na watu wa kaskazini, wanasema kigoma ilikuwa ngome ya chadema lakini sasa tumechoka na chama, tunaamua kurudi CCM kwanza wametekeleza kwa 90% yale yote waliyoahidi kwa mkoa wetu, hatuoni sababu ya kuendelea tena kukikumbatia chama kina choendesha endesha siasa zake kwa kutumia udini na ukabila!!! tunarejea kwa mama. walisema wakazi hao wa ujiji.
mwezi huu situkani nipo kwenye mfungo, najua nakujua wewe ni katonta ndio maana inakuuma.