M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
sisi tusio kwenye hayo mavyama yenu, tunataka raisi jembe bila kujali itikadi yake.
tunaona hayo mavyama yenu yote yana sera zilizoandikwa kwa maneno mazuri hata kuzidi vitabu vitakatifu lakini ukija kwenye ku-walk the talk ni mediocrity iliyopitiliza! hapa sina haja ya kupoteza muda wa ku-elaborate the obvious.
hizi longolongo za akina Nape, etal ni kupotezeana muda tu....Nape yuko hapo kama ajira na si kwa ajili ya kuwatumikia Watanzania. Kesho tu anaweza kurudi zake CCJ, hata kwenda Chadema anaweza!
so, priority list kwenye nafasi ya uraisi ni hii hapa....
1. Dr Slaa - jasiri, ana msimamo, haogopi kuuwajibisha uzembe
ikishindikana kwa sababu yeyote ile basi tunamchagua huyu hapa....
2. Edo Lowassa - jasiri, ana msimamo, haogopi kuuwajibisha uzembe
see? sifa zao zinashabihiana. na ndizo tunazozihitaji. ama sivyo tukamfufue Sokoine (rip)!
kwangu mimi criteria ya wizi & ufisadi haina mashiko. karibia Watanzania wote ni wezi ama wanakula rushwa...kinachotofautiana ni viwango tu. bisha!
hata wewe hapo unayetaka kuipinga hii hoja yangu, kabla hujaandika kitu chukua dakika moja tu (hata si zaidi) utafakari na ujipime hapo ulipo. mwizi!
tunaona hayo mavyama yenu yote yana sera zilizoandikwa kwa maneno mazuri hata kuzidi vitabu vitakatifu lakini ukija kwenye ku-walk the talk ni mediocrity iliyopitiliza! hapa sina haja ya kupoteza muda wa ku-elaborate the obvious.
hizi longolongo za akina Nape, etal ni kupotezeana muda tu....Nape yuko hapo kama ajira na si kwa ajili ya kuwatumikia Watanzania. Kesho tu anaweza kurudi zake CCJ, hata kwenda Chadema anaweza!
so, priority list kwenye nafasi ya uraisi ni hii hapa....
1. Dr Slaa - jasiri, ana msimamo, haogopi kuuwajibisha uzembe
ikishindikana kwa sababu yeyote ile basi tunamchagua huyu hapa....
2. Edo Lowassa - jasiri, ana msimamo, haogopi kuuwajibisha uzembe
see? sifa zao zinashabihiana. na ndizo tunazozihitaji. ama sivyo tukamfufue Sokoine (rip)!
kwangu mimi criteria ya wizi & ufisadi haina mashiko. karibia Watanzania wote ni wezi ama wanakula rushwa...kinachotofautiana ni viwango tu. bisha!
hata wewe hapo unayetaka kuipinga hii hoja yangu, kabla hujaandika kitu chukua dakika moja tu (hata si zaidi) utafakari na ujipime hapo ulipo. mwizi!