Namuunga mkono Nape, Lowasas hafai na hawezi kuwa Rais wa nchi ambayo ina wananchi wengi tu wasiopenda rushwa, hawa waliomo humu wanaomtetea Lowassa hawana uchungu na nchi yetu, ni wachumia tumbo na wabinafsi wamewaweka rehami mpaka watoto wao kwa ulafi wao, tusiwaruhusu watukatishe tamaa, haijalishi uropokaji wa Nape cha muhimu amekua consistent katika hilo, kama mafisadi hawakutoswa wakulaumiwa sio Nape ni unafiki na undumila kuwili wa mwenekiti wa chama chao, wote tunajua hatua ya kuwavua magamba mafisadi ni muhimu kwa muhtabali wa taifa letu, Nape did his job sasa angefanyaje wakti mwenyekiti wake hana uwezo wa kufanya maamuzi magumu na anajipendekeza kwa mafisadi? Big up Nape historia ndio itakayokuponya wakati hawa unaopambana nao hawaponi