Nape: Lowassa kapoteza sifa ya kugombea

Nape: Lowassa kapoteza sifa ya kugombea

Acha kupotosha watu weka chote nilichosema. Nilichosema ni kuwa yeyote anayekiuka taratibu za chama katika mchakato ANAJIONDELEA SIFA za kuwa mgombea wa chama hichi!(Labda Chama kiamue kutofuata taratibu zake chenyewe, na kikiziacha hakina namna ya kuendelea kuaminiwa)! Sasa si swala la Lowassa ni swala la KILA ANAYEKIUKA TARATIBU!kama naye anakiuka anaingia kwenye mkumbo huo, sio kwasababu ni Lowassa ila kwasababu ni mwana CCM na taratibu za CCM haziruhusu! Sio swala la Nape ni swala la taratibu,kanuni na sheria zilizowekwa kabla hata Nape hajazaliwa!

Haiwezekani watu wagawe rushwa hovyo tukae kimya tu kisa anayegawa flani!!!! Hivi kuna uwezekano wa kuingia na kiti moto msikitini ukapigiwa makofi?!! Unaweza kupigiwa makofi na kupewa uongozi wa kanisa wakati humwamini Yesu Kristo?!! Watanzania tusiogope kusema ukweli maana ndio utakaoiponya nchi yetu.
Kama mnamgombea ana sifa atachaguliwa tu huna haja ya kuongezea sifa zake kwa rushwa! Haya si yangu ya CCM, na ni kwa madiwani, wabunge na hata urais!
HERI YA MWAKA MPYA 2014!

Nape umeeleweka hata kama unachokisema sicho unachomaanisha kwani uvunjaji wa kanuni na taratibu za chama chenu sio kitu cha ajabu, wewe unajua. Naendelea kukupa hamasa ya kusema unachoamini ili kujenga taswira yako itakayokupambanua ndani ya jamii ya watanzania. Rushwa na Ufisadi ni sehemu ya maisha ya wanasiasa wengi ndani ya CCM, unajua hilo ila lipo juu ya uwezo wako kimaamuzi. Ndio maana wengine wanakuona kama upo CCM kimaslahi zaidi kuliko kubomoa uozo uliokithiri!!! Nakutakia mapambano mema. HERI YA MWAKA MPYA, 2014.
 
  • Thanks
Reactions: prs
sakata la Nape na lowasa limeendelea baada ya Nape jana kumwambia kwa kutangaza nia kabla ya wakati wake amepoteza sifa ya kuteuliwa kupitia chama cha mapibduzi.
maoni yangu: Nabe acha kushindana na Lowasa au umesahau ulivyobanwa kule dodoma ukitakiwa kupeleka ushahidi wa ufisadi wa lowasa vinginevyo umuombe msamaha, ukakomea kumpigia magoti, umesahau ulishatangaza siku 90 vinginevyo ungemg'o mpaka leo Siku 90 imegeuka miaka 90..

source: mwananchi/rfa

Nape hajui alisemalo,E.L anafanya siasa akiwa anaelewa kanuni,taratibu na sheria za chama alipo,Nape ni vyema akatulia tu na kuwaacha watu wakafanya siasa.
 
Nangoja nikomelee msumari wa mwisho......endelezeni mada mana nimesoma utetezi wa Nape hapo juuu!!
 
[JFMP3][MENTION]safar;8268232]Nape punguza mdomo usijifanye mungu mtu,mimi naunga mkono lowasa kuwa mgombea kwasababu uweza anawo sababu anayo mwisho
anamaamuzi magumu nchi itanyooka


true


Kweli mkuu
 
Hawa walitangaza nia lini? Sina hakika kama ni kweli labda kama unazungumza hisia za vyombo vya habari.

Utakuwa wewe umefufuka kutoka AHERA leo. Maana siku hizi mliokufa mkafufuka Tanzania ni wengi.

Hizo hizo hisia za vyombo vya habari vilivyomnukuu Lowassa akisema sasa anaanza safari ya mabonde, mito na miiba kwamba ndiyo ametangaza nia ya kugombea URAIS unaviamini.

Lakini vyombo hivyo hivyo vilivyotumia hisia hizo hizo kuonesha hao wagombea "wenu" nao wametangaza nia ya kugombea URAIS "kiaina" hutaki kuviamini.

You're suffering selective amnesia buddy!
 
  • Thanks
Reactions: Sal
Ahamie wapi mzee Mandela angewamaliza Maboers......kisasi sio kktu chema mchakato huu ukianza sio dhambi kuwa kambi unayoona itatuvusha.....wapiga kura wa sasa wana macho ya ndani kuona nazi na corona.
 
Hiyo clip ya kanisani ipo utube mzee .....unaweza kuangalia mwenyewe.
 
sakata la Nape na lowasa limeendelea baada ya Nape jana kumwambia kwa kutangaza nia kabla ya wakati wake amepoteza sifa ya kuteuliwa kupitia chama cha mapibduzi.
maoni yangu: Nabe acha kushindana na Lowasa au umesahau ulivyobanwa kule dodoma ukitakiwa kupeleka ushahidi wa ufisadi wa lowasa vinginevyo umuombe msamaha, ukakomea kumpigia magoti, umesahau ulishatangaza siku 90 vinginevyo ungemg'o mpaka leo Siku 90 imegeuka miaka 90..

source: mwananchi/rfa

MaCCM wamebaki kushupalia mambo ya ZZK vs CHadema Mahakamani kumbe kwao wanaendelea kugawanyika zaidi kimakundi. 2014 tutaona mengi!
 
MaCCM wamebaki kushupalia mambo ya ZZK vs CHadema Mahakamani kumbe kwao wanaendelea kugawanyika zaidi kimakundi. 2014 tutaona mengi!

aise kamanda yani hao mafisadi wote wawili nape na lowasa watajua sisi ni nani mwaka huu na urais wa mwaka kesho tunacheza nao kama vile bayern munich,tunakaba wote;tunashambulia wote.peoplessssssssss!
 
Umesema Kweli Nape. siku zote ukweli ubaki kuwa ukweli na uongo tusiupake rangi nzuri then tuseme ni ukweli. Ukweli unatuweka Huru.
 
Nape hana lolote la maana zaidi ya uropokaji!

Mkuu TUKUTUKU yawezekana hana la maana lakini kwa hili aliloongea lina maana na ukweli mtupu na si vyema tukajikita katika Character assasination...watu siyo static wanabadilika na kwa hili Nape aungwe mkono.Mambo mengi yanayofanywa kwa sasa na hao watafuta urais ni kinyume kabisa na sheria za nchi kuhusu Rushwa au ushawishi wa Rushwa na kwa mara ya kwanza tunaweza tukapata Rais ambaye ni Bingwa wa Rushwa.

Nijambo la kushangaza unapokuta mambo ya hovyo namna hii yanaendelea na Serikali inatazama tu anachokifanya NAPE ndicho kilitakiwa kitamkwe na serikali iliyoko madarakani.
 
Acha kupotosha watu weka chote nilichosema. Nilichosema ni kuwa yeyote anayekiuka taratibu za chama katika mchakato ANAJIONDELEA SIFA za kuwa mgombea wa chama hichi!(Labda Chama kiamue kutofuata taratibu zake chenyewe, na kikiziacha hakina namna ya kuendelea kuaminiwa)! Sasa si swala la Lowassa ni swala la KILA ANAYEKIUKA TARATIBU!kama naye anakiuka anaingia kwenye mkumbo huo, sio kwasababu ni Lowassa ila kwasababu ni mwana CCM na taratibu za CCM haziruhusu! Sio swala la Nape ni swala la taratibu,kanuni na sheria zilizowekwa kabla hata Nape hajazaliwa!

Haiwezekani watu wagawe rushwa hovyo tukae kimya tu kisa anayegawa flani!!!! Hivi kuna uwezekano wa kuingia na kiti moto msikitini ukapigiwa makofi?!! Unaweza kupigiwa makofi na kupewa uongozi wa kanisa wakati humwamini Yesu Kristo?!! Watanzania tusiogope kusema ukweli maana ndio utakaoiponya nchi yetu.
Kama mnamgombea ana sifa atachaguliwa tu huna haja ya kuongezea sifa zake kwa rushwa! Haya si yangu ya CCM, na ni kwa madiwani, wabunge na hata urais!
HERI YA MWAKA MPYA 2014!

Hapo ndipo nakukubali Kijana Nape Mnauye.Kwa wagombea wa CCM ambao wameonesha "ndoto" zao wewe Nape unawazidi kwa mbali.Kama vipi bora wewe utangaze "ndoto".Hivyo vijisenti wanavyo gawa kwanza wametuibia.2015 watajieleza waliko vipata.
Heri ya Mwaka mpya Mh.
 
kwani huyo lowasa hakiwa waziri katika weizara ya ardhi yeye ndiye aliye muuzia bagdad viwanja vya mnazi moja mpaka nyerere akalia machozi wananchi wakaenda wakavamia wakabomoa face yote ndipo serekali wakamkamata bagdada na baadaye hakafungu miaka mitatu huku lowasa akibadilishiwa wizara kwani amishajirekebisha?
 
Nape haogopi hata wazee..!! Lowasa ni mzee, mheshimiwa, mchapakazi, tajiri, sio mchoyo, ni mfadhili wa ndani, mwenye kuthamini watu, mtoaji wa zaka, sadaka na michango makanisani, mwezeshaji wa vijana, n.k.

Ugomvi wangu na watu kama wewe ni kutoweka akili inayostahili kuonekana JF.

Hayo uliyoyaweka hapo juu ni sifa za mtu kuwa Rais wa nchi kweli. Sifa za jumla kama hizo za mtu wa watu, mpole mcahapakazi, n.k. hiyo ndo sifa ya kuomba Urais? JF turudi kwenye fikra na hoja zinazojenga akili za wengine pia. Ktk msg yako hiyo sioni lolote la kujifunza na kusema, naam, kweli.

Mimi kama m-TZ ninachojua Lowasa amehusika ktk wizi na ishara zilimfanya aachie nafasi ya PM. sasa wewe unamfanya anafaa kwa vijineno vya jumla kiasi hicho?
 
Nape una kazi kaka kupambana na hayo makundi ya watu wenye fedha na mbinu chafu katika kufikia malengo yao.muombe mungu sana
 
Acha kupotosha watu weka chote nilichosema. Nilichosema ni kuwa yeyote anayekiuka taratibu za chama katika mchakato ANAJIONDELEA SIFA za kuwa mgombea wa chama hichi!(Labda Chama kiamue kutofuata taratibu zake chenyewe, na kikiziacha hakina namna ya kuendelea kuaminiwa)! Sasa si swala la Lowassa ni swala la KILA ANAYEKIUKA TARATIBU!kama naye anakiuka anaingia kwenye mkumbo huo, sio kwasababu ni Lowassa ila kwasababu ni mwana CCM na taratibu za CCM haziruhusu! Sio swala la Nape ni swala la taratibu,kanuni na sheria zilizowekwa kabla hata Nape hajazaliwa!

Haiwezekani watu wagawe rushwa hovyo tukae kimya tu kisa anayegawa flani!!!! Hivi kuna uwezekano wa kuingia na kiti moto msikitini ukapigiwa makofi?!! Unaweza kupigiwa makofi na kupewa uongozi wa kanisa wakati humwamini Yesu Kristo?!! Watanzania tusiogope kusema ukweli maana ndio utakaoiponya nchi yetu.
Kama mnamgombea ana sifa atachaguliwa tu huna haja ya kuongezea sifa zake kwa rushwa! Haya si yangu ya CCM, na ni kwa madiwani, wabunge na hata urais!
HERI YA MWAKA MPYA 2014!
Nape Nnauye
Haya tuambie ni nani ndani ya CCM Katangaza nia ya Kugombea Urais 2015 hivyo basi kupoteza sifa za kuchaguliwa na Chama.
Kama jibu ni Hakuna, huoni kuwa watu tutakuona mwehu aisee kwa Kukurupuka na hili tamko ??????
 
Last edited by a moderator:
Acha kupotosha watu weka chote nilichosema. Nilichosema ni kuwa yeyote anayekiuka taratibu za chama katika mchakato ANAJIONDELEA SIFA za kuwa mgombea wa chama hichi!(Labda Chama kiamue kutofuata taratibu zake chenyewe, na kikiziacha hakina namna ya kuendelea kuaminiwa)! Sasa si swala la Lowassa ni swala la KILA ANAYEKIUKA TARATIBU!kama naye anakiuka anaingia kwenye mkumbo huo, sio kwasababu ni Lowassa ila kwasababu ni mwana CCM na taratibu za CCM haziruhusu! Sio swala la Nape ni swala la taratibu,kanuni na sheria zilizowekwa kabla hata Nape hajazaliwa!

Haiwezekani watu wagawe rushwa hovyo tukae kimya tu kisa anayegawa flani!!!! Hivi kuna uwezekano wa kuingia na kiti moto msikitini ukapigiwa makofi?!! Unaweza kupigiwa makofi na kupewa uongozi wa kanisa wakati humwamini Yesu Kristo?!! Watanzania tusiogope kusema ukweli maana ndio utakaoiponya nchi yetu.
Kama mnamgombea ana sifa atachaguliwa tu huna haja ya kuongezea sifa zake kwa rushwa! Haya si yangu ya CCM, na ni kwa madiwani, wabunge na hata urais!
HERI YA MWAKA MPYA 2014!

Sometimes unazungumza kizalendo na kikomavu sana Nape hadi nahisi kama naona replica ya Comrade Mosses Nnauye!!, Ila wakati mwingine maneno yako huyatoa bila kuyaweka katika beam balance, mfano ile kauli kuwa wanao taka serikali tatu ni wazee wanaosubiri kufa, naamini unao uwezo wa kusimamia na kutekeleza baadhi ya mambo muhimu kwa mustakabali wa Taifa lakini unakwamishwa na mfumo uliomo, endelea kupaza sauti naamini hata wasipoisikia sauti hiyo bali mwangwi utakuwa unawarudia tu. Wabillahi Tawfiq.
 
Acha kupotosha watu weka chote nilichosema. Nilichosema ni kuwa yeyote anayekiuka taratibu za chama katika mchakato ANAJIONDELEA SIFA za kuwa mgombea wa chama hichi!(Labda Chama kiamue kutofuata taratibu zake chenyewe, na kikiziacha hakina namna ya kuendelea kuaminiwa)! Sasa si swala la Lowassa ni swala la KILA ANAYEKIUKA TARATIBU!kama naye anakiuka anaingia kwenye mkumbo huo, sio kwasababu ni Lowassa ila kwasababu ni mwana CCM na taratibu za CCM haziruhusu! Sio swala la Nape ni swala la taratibu,kanuni na sheria zilizowekwa kabla hata Nape hajazaliwa!

Haiwezekani watu wagawe rushwa hovyo tukae kimya tu kisa anayegawa flani!!!! Hivi kuna uwezekano wa kuingia na kiti moto msikitini ukapigiwa makofi?!! Unaweza kupigiwa makofi na kupewa uongozi wa kanisa wakati humwamini Yesu Kristo?!! Watanzania tusiogope kusema ukweli maana ndio utakaoiponya nchi yetu.
Kama mnamgombea ana sifa atachaguliwa tu huna haja ya kuongezea sifa zake kwa rushwa! Haya si yangu ya CCM, na ni kwa madiwani, wabunge na hata urais!
HERI YA MWAKA MPYA 2014!
Yani CCM ingekuwa na vijana japo watano wenye kijikariba chako hakika mambo mengi sana yangekuwa sivyo yalivyo leo toka JK kaingia ulingoni.Asante kwa kutetea kile unachokiamini ila chama chako kwa wazito da inakuwa ngumu unayoyatetea kutekelezeka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom